Leo Kibaraka wa CCM mzee Lipumba alikuwa na mkutano hapa Dar, mbona hatupati updates?

Tindo

JF-Expert Member
Sep 28, 2011
58,922
103,241
Leo yule kibaraka wa CCM alikuwa na mkutano wa hadhara hapa dar, je alikuwa na jipya lolote? CCM walikuwa wanamjazia watu ili ionekane bado yuko hai kisiasa na chama chake. Kwa wale walihudhuria huo mkutano hebu watupe nini aliongea, na mahudhurio yalikuwaje?
 
Kwa hii technique ya CCM ya divide and rule wamefanikiwa....watatawala Kwa miaka mingi ijayo...ni tz pekee ambapo upinzani unatuhumiana wao Kwa wao...
 
Leo yule kibaraka wa CCM alikuwa na mkutano wa hadhara hapa dar, je alikuwa na jipya lolote? CCM walikuwa wanamjazia watu ili ionekane bado yuko hai kisiasa na chama chake. Kwa wale walihudhuria huo mkutano hebu watupe nini aliongea, na mahudhurio yalikuwaje?
Alishaenda 5 Star Hotel yake, Buguruni?
Lile godoro lake lingalipo pamoja na briefcase yake yenye mswaki na taulo?
 
Ndio maana wapiga propaganda wa CCM wamekuwa wapole baada ya kuona wamempotezea ramani? Zito Kabwe naye inabidi akae vizuri na Wapemba, maana akiwaudhi kitamkuta kinachomkuata Lipumba sasa. Na kama Lipumba kakosa watu hapa Dar, basi asiyegemee kupata watu huko mikoani.
Leo sijawasikia kabisa. Juzi tu hapa Mkutano wa Chadema ulikuwa kama wao. Leo kimyaaa!
 
Mchumi ambaya hata kubadilisha shati hawezi ni mchumi gani? Laana ile

Wachumi wa bongo wengi wamejaa nadharia, huyo Lipumba ndio walioteuliwa kwenye tume ya Mkapa ya kubinafsisha mashirika ya umma. Kuna siku mzee Mkapa aliongea kwa jazba akimwambia Lipumba alikuwa kwenye kamati ya ubinafsishaji wa mashirika ya umma, inakuwaje amshambulie. Toka siku hiyo Lipumba alikuwa mpole kuhusu kumsema Mkapa.
 
Wachumi wa bongo wengi wamejaa nadharia, huyo Lipumba ndio walioteuliwa kwenye tume ya Mkapa ya kubinafsisha mashirika ya umma. Kuna siku mzee Mkapa aliongea kwa jazba akimwambia Lipumba alikuwa kwenye kamati ya ubinafsishaji wa mashirika ya umma, inakuwaje amshambulie. Toka siku hiyo Lipumba alikuwa mpole kuhusu kumsema Mkapa.
😅😅😅
 
Back
Top Bottom