Copper(I) fluoride or cuprous fluoride is an inorganic compound with the chemical formula CuF. Its existence is uncertain. It was reported in 1933 to have a sphalerite-type crystal structure. Modern textbooks state that CuF is not known, since fluorine is so electronegative that it will always oxidise copper to its +2 oxidation state. Complexes of CuF such as [(Ph3P)3CuF] are, however, known and well characterised.
Wagombea muombeane heri!. Maana hivi vifo vinazidi sana. Na kunagharama mtu alishazifanya za kampeni na mambo mengine so uchaguzi unapoharishwa kuna mambo yanabadilika kabisa!
===============
Uchaguzi wa Udiwani katika Kata ya Mzinga, Jimbo la Kivule, jijini Dar es Salaam, umeahirishwa kufuatia...
Leo hii inafanyika mkutano wa HADHARA wa KISIASA pale mleba Proffesa Tibaijuka hakumbukwi hata kupewa mic asalimie kudadeki kila zama na zama zake
Yaani mtu kama Masiringi Leo hii hapewi mic kuwatukana alivyozoea hii ni WITO kwao waache kujipendekezaogeni maji mlale CCM ya sasa ni ya Bashiru wa...
08 October 202
Zanzibar, Tanzania
KESI YA CUF DHIDI YA TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YAENDELEA KUSOTA MAHAKAMANI
Wakili wa Bw. Hamad Masoud anayewania kiti cha urais wa serikali ya Zanzibar azungumza, hata ya mwanzo ya mapingamizi kuwa mahakama haiwezi kusikiliza kesi hiyo yaliyoletwa mahakamani...
Akizungumza leo Septemba 15, 2025 Kutoka Kijiwe cha Kivulini, Mikocheni – Hanifa Mgonela, Mwanachama wa chama cha CUF anaweka wazi namna ambavyo suala la ajira Tanzania limekuwa fumbo lililokosa majawabu.
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar ZEC imemuengua Bw.Hamad Masoud Hamad kuwania Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha wananchi- CUF kwa kutokukidhi kigezo cha kuwa wanachama mia mbili katika mkoa wa Kaskazini Unguja huku mgombea wa ACT wazalendo Bw.Othman Masoud Othman akitakiwa mpaka kesho saa tatu...
Msafara Wa Mgombea Urais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Kupitia Chama Cha Wananchi CUF Gombo Samandito Gombo Ulivyosimamishwa Na Mamia Ya Wananchi Wa Kijiji Cha Kasota, Kata Ya Bugurura, Wilaya Ya Geita Vijijini, Mkoani Geita.
Soma pia: Mgombea Urais Samandito Gombo (CUF): Tutahakikisha...
Mgombea wa urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, ameahidi kuwa endapo atashinda Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu, serikali yake itahakikisha elimu inatolewa bure kuanzia darasa la awali hadi chuo kikuu.
Akizungumza jana katika mkutano wa kampeni...
Shuhudia 'vibe' la wananchi na wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) wakiwa katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, kwa ajili ya kushuhudia uzinduzi wa kampeni za chama hicho kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu.
Katika uzinduzi wa kampeni hizo, mgombea Urais wa Jamhuri...
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo amesema akichaguliwa kuwa Rais, mara baada tu ya kuapishwa siku hiyo hiyo atatangaza huduma za afya nchini kuanza kutolewa bure kwa watu wote bila malipo wala kutumia bima.
"Nikimaliza...
Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF Gombo Samandito Gombo anasema serikali yake itahakikisha kuna kodi moja tu kwa kila mtanzania na hakwamba kitambulicho cha NIDA kitatolewa siku moja mtoto anapozaliwa.
Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF Gombo Samandito Gombo anasema wananchi hawapaswi kukata tamaa na wanapaswa kwenda kupiga kura na kuchagua serikali itakayo rekebisha matatizo yanayowakabili.
Chama cha Wananchi CUF kimesema endapo kitaingia madarakani kitahakikisha kinapambana na utekaji wa watu nchini ikiwemo na kuhakikisha kinaimarisha vyombo vya ulinzi na usalama.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Mwanza mgombea urais kupitia CUF Gombo Samandito Gombo amewaomba watanzania...
Wakati dirisha la uchukuaji fomu za uteuzi kwa ajili ya kugombea nafasi za Ubunge likiwa tayari limefunguliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, wagombea wawili wa Chama cha Wananchi CUF, Bw. Nkunyuntila Siwale (Jimbo la Mbozi), ambaye awali aliomba ridhaa ya kugombea nafasi ya Urais, kupitia...
Yanga ni taasisi watu wanatakiwa wajue hili ndani ya taasisi kuna mashabiki na watu aina tofauti-tofauti
Mfano
Kuna mashabiki wa Yanga ni Waislamu
Kuna mashabiki wa Yanga ni Wakristo
Kuna mashabiki wa Yanga ni wapagani
Kuna mashabiki wa Yanga ni wachawi
Kuna mashabiki wa dini ya ki-hindu
Kuna...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Samandito Gombo, akiambatana na Mgombea wake mwenza Husna Abdallah, leo Agosti 13, 2025, amechukua fomu ya kuteuliwa kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025.
Akizungumza na wanahabari mara baada ya...
Siasa ni kama mchezo wa karata. Mjanja anayeweza kuzicheza karata zake vizuri kwa kawaida huibuka mshindi.
Zitto Kabwe ni hodari wa kuucheza huo mchezo. Anajua kuwa kumeguka kwa vyama vikuu vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu vinatoa fursa za kuimarisha chama chake.
Mwaka 2015 chama cha CUF...
Wakuu
Nimekutana na video hii huko mtandaoni.
Huyu ni mgombea wa Urais kupitia CUF anaitwa Mkunyutila Siwale hapa ndo alikuwa anawashawishi wajumbe waweze kumpigia kura ili aweze kugombea Urais kupitia chama cha CUF
Sasa inavyoonekana sijui ni uzee au kukosa confidence lakini kashindwa...
Ndani mtiti nje mtiti. Ndivyo tunavyoweza kusema, baada ya ukumbi wa Shabani Mloo wa Chama cha Wananchi (CUF), uliotakiwa kutumiwa na wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi wa chama hicho ili kupitisha ilani na kuteua majina ya wagombea urais wa Tanzania na Zanzibar, kugeuka uwanja wa ngumi.
Mtiti...
THE CIVIC UNITED FRONT(CUF- Chama Cha Wananchi-Cuf
CUF- Chama Cha Wananchi imepata ushindi kwenye Kesi iliyofunguliwa na ACT- Wazalendo ya kudai Ofisi ya CUF Wilaya ya Kilwa kwamba ni mali yao waliyopewa na Seleman Bungara (BWEGE).
Mahakama jana Julai 30,2025 imetupilia madai hayo (Madai Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.