Mbunge wa Viti Maalum (CUF) mkoa waTabora, Rehema Juma Migila amejiunga na CCM akidai kuridhishwa na utekelezaji wa ilani za chama hicho chini ya uongozi wa Rais Magufuli
Amesema amerudi CCM akiwa na akili zake timamu bila kushinikizwa wala kushikiwa bunduki na pia chama hicho kimekuwa cha...