A condom is a sheath-shaped barrier device used during sexual intercourse to reduce the probability of pregnancy or a sexually transmitted infection (STI). There are both male and female condoms. With proper use—and use at every act of intercourse—women whose partners use male condoms experience a 2% per-year pregnancy rate. With typical use the rate of pregnancy is 18% per-year. Their use greatly decreases the risk of gonorrhea, chlamydia, trichomoniasis, hepatitis B, and HIV/AIDS. To a lesser extent, they also protect against genital herpes, human papillomavirus (HPV), and syphilis.The male condom is rolled onto an erect penis before intercourse and works by forming a physical barrier which blocks semen from entering the body of a sexual partner. Male condoms are typically made from latex and, less commonly, from polyurethane, polyisoprene, or lamb intestine. Male condoms have the advantages of ease of use, easy to access, and few side effects. Men with a latex allergy should use condoms made from a material other than latex, such as polyurethane. Female condoms are typically made from polyurethane and may be used multiple times.Condoms as a method of preventing STIs have been used since at least 1564. Rubber condoms became available in 1855, followed by latex condoms in the 1920s. It is on the World Health Organization's List of Essential Medicines. In the United States condoms usually cost less than US$1.00. As of 2019, globally around 21% of those using birth control use the condom, making it the second-most common method after female sterilization (24%). Rates of condom use are highest in East and Southeast Asia, Europe and North America. About six to nine billion are sold a year.
Ni lini uliona tangazo la serikali la nafasi za kazi idara ya Usalama wa Taifa? Au ni lini uliona mtu wa kawaida asie na connection yeyote na viongozi wa juu nchini anatamani kufanya kazi Uslama wa Taifa na akanikiwa katika tamanio lake?
Labda ni zile enzi za Nyerere, ambapo wafanyakazi wa...
Nimekumbuka tu kibiti na Tanga alafu nikapata kuwaza mfano Nairob baada ya kujifunza kuwa na vitengo mbali mbali ambavyo kama kutakuwa na tukio mfano ugaidi,mabomu hatari,cyber attack,upelelezi wa kuchunguza uchumi,usalama na n.k
Sasa huku kwetu yani aliyesema tuhamie burundi anakwenda na boda...
Wakuu, hii imeshawahi kukutokea wewe katikati ya show mpira umetatuka chwaaa? Unashangaa Chuma kinaanza kukisugua Chuma kingine mpaka Cheche zinaanza kutoka? Ushawahi kupasukiwa na mpira wewe katikati ya show show?
Siku ya kwanza na ya pili condom huwa inazingatiwa sana
Siku ya tatu na kuendelea mpira hauna thamani tena, mnaaminiana sana,
Baada ya mwezi watu wanaanza kuchokana, wanahama kwa wapya, na huko cycle inajirudia,
1. Kumekua na uhaba wa Kondom za Msaada (toka kwa wafadhili) hapa mashine ya kutolea Kondom (Condom Vending machine) Kona baa Sinza.
2. Inabid watu wapige mbichi ku-kutembelea rim.
3. Tafadhali Mheshimiwa Dr Waziri tukumbuke wapiga Kura wenu.
Dawa za ARV zimekuwa na msaada mkubwa sana kuzuia maambukizi pale waathirika wanapokutana kimwili na ambao hawajaathirika.
Imefikia kipindi mtu anaweza kutembea peku na idadi kubwa lakini akipima kasalimika, mshukuru sana hizo ARV.
Baada ya misaada kusitishwa nchi za Afrika nyingi zipo katika...
Katika kufafanua zaidi kuhusu kusitishwa kwa msaada wa Marekani chini ya utawala Trump Msemaji wa Ikulu ya Marekani akizungumza na vyombo vya habari amesema walipofanya ukaguzi wamekuta Gaza imepewa $million 50( takribani bilioni 100Tsh) kwa ajili ya kununua Condom.
Huu ni uzushi mkubwa sana...
Wakuu swali hili.
Kama ushawai tumia kondom utaungana na mimi sehemu ya mwishi karibu na shina condom huwa haifiki na hii kupelekea wakat wa tendo kulowa au kugusana maji maji
Je, hii haiwezi sababisha maambukiizi?
Kutumia kondomu kwa usahihi ni muhimu kwa ajili ya kinga dhidi ya magonjwa ya
1. Kagua kifurushi: Hakikisha kifurushi cha kondomu hakijapasuka au kuharibika. Angalia pia tarehe ya mwisho wa matumizi.
2. Fungua kwa uangalifu: Fungua kondomu kwa upole kwa kutumia mikono yako. Epuka kutumia meno...
Habari Wana jamii forum,
Mimi ni mfanyabiashara wa duka la rejareja, naomba kuukiza condom gani ni nzuri na Zina utamu Sana niweke dukani kwangu na zitapendwa na wateja na Zina utamu Sana
Nikiwa ndo kwanza nimemaliza darasa la saba miaka ya mwanzoni mwa 90, kuna binti nilimvusha binti ambaye siku hiyo nilikusudia kutumia condom kwa mara ya kwanza. Kwanza sikuwa nafahamu kwa nini niliamua kutumia condom kwa siku hiyo.
Baada ya binti kuzama chumbani mi nikachukua condom nikaenda...
Mkaanzisha na uhamasishaji tuchanjwe. Msaada wa mchele tunakataa sababu hauna manufaa kwetu sisi baadhi ya watu.
Usaid watoe pesa waone kama tutakataa... Mchele hatuwezi chukua peleka majumbani kwetu. Hauna faida kwetu. Next time watoe mkwanja tukanunue mchele hata Kenya( kwa ambao wananunua...
Naanza sasa kupata Hisia kuwa huenda Taifa la Malawi lina Agenda Ovu na ya Siri na Tanzania na Watanzania.
Walianza na kutuletea Panya wao hawa wa sasa wenye Mkia mfupi, wanalia kama wanapiga Miluzi na ambao ukiwawekea Sumu hawafi hawaliwi na Paka na wala hawana Kasi ya Kukimbia kama ikitokea...
Wapo watu akiwamo mgombea urais wa Kenya William Ruto kutetea kwamba hakuna haja ya kutahiri sababu ndivyo tulivyoumbwa
Mkono wa sweta na condom ni sawa na kutumia mafuta ya kujipaka mwilini useme upikie chakula
Huo mkono wa sweta laba uupige stepla iwe condom
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.