Girishoni hajaongea kitaaluma, bali ameongea kisiasa. Nguli wa taaluma ya habari, Walter Lippmann aliwahi kusema "In opinion we seek two sides, but facts have no two sides" Akimaanisha Maoni yana pande mbili, lakini uhalisia hauna pande mbili. Mvua ikinyesha, huhitaji pande mbili ili kuandika...