chadema

CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ni chama cha kiasiasa nchini Tanzania ambacho kilianzishwa tarehe 28 Mei 1992 na mwanasiasa mkongwe Edwin Mtei, aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika miaka 1997 hadi 1979.

Mwaka 2000 CHADEMA hakikuwa na mgombea wa Urais. Mwaka 2005 mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe alikuwa namba tatu kati ya wagombea kumi akapata asilimia 5.88 za kura.

Mwaka 2010 CHADEMA ilipata asilimia 27.1% na mgombea Urais wa chama Wilbroad Peter Slaa na kura 4,627,923 kwa 31.75%.

Hata hivyo CHADEMA imekataa matokeo mengi kutokana na mchakato mzima kuwa mikononi mwa Tume ya Uchaguzi isiyo huru.
  1. John Mrema hatujamfukuza CHADEMA. Puuzeni taarifa Potofu

    Siku ya kufukuzwa ikifika mtataarifiwa Habari potofu imeandikwa kwamba Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imetangaza rasmi kumfuta uanachama Bw. John Mrema. Kwamba hatua hii imefikiwa baada ya kubaini kwamba Bw. John Mrema na kundi lake linalojiita G55 hawana nia njema na...
  2. PreGE2025 Waliosema hakuna kuhama chama wanataka kuharibu chama CHADEMA

    Wakati wa kampeni ndani ya CHADEMA, kuna baadhi ya watu walikuwa wanawaambia wafuasi wa Lissu kuwa "hakuna kuhama chama" kama wakishindwa uchaguzi ule. Leo hii lile kundi lililokuwa linawaambia wenzao kuwa hakuna kuhama chama, lenyewe ndiyo limo kwenye harakati za kutaka kuharibu chama. Mengi...
  3. PreGE2025 Kama sio nguvu ya soda Lissu yuko sahihi ila itabidi awachukulie hatua wote walio kinyume na msimamo wa chama

    Nimeona nitoe maoni yangu kuhusu hii fukuza fukuza iliyoanza huko CHADEMA chini ya Tundu Lissu. Ni jambo limeshangaza wengi kwa chama cha demokrasia kukataa maoni tofauti na kutotaka kabisa mjadala kuhusu maamuzi yaliyofanyika. Kwa upande wangu naona Lissu na genge lake la kamati kuu wako...
  4. PreGE2025 Moto wa No Reform No Election waibabua CCM, Masasi yalipuka kwa Shangwe

    Taarifa zingine za leo zinaonyesha kwamba Timu ya Chadema inayotoa Elimu ya Uchaguzi Huru na Haki huko Kanda ya Kusini imefika Masasi. Unaambiwa Moto uliowaka kwenye Mkutano wa Masasi haujawahi kutokea katika kipindi kirefu mno kwenye eneo hilo Kwa kifupi ni kwamba Wananchi wote wameelewa...
  5. PreGE2025 Kwa Tundu Lissu ameepuka mpasuko mkubwa zaidi ndani ya CHADEMA

    Wataalamu wa mambo wanasema unapokutana na shetani wawili mbele yako chagua shetani mwenye nafuu, kwa kizungu "choose the lesser evil". Kama CHADEMA ingekubali kushiriki uchaguzi ingeenda kukumbana na mpasuko mkubwa zaidi. Watu hawajui hili baada ya Lissu kushinda uenyekiti wa CHADEMA...
  6. Hoja za G55 naomba wasomi na darasa la saba karibuni tujadili hizi hoja za hawa G55 bila kutumia mihemko ya kisiasa bali mantiki

    Wakuu . G55 wamejinasibu Kama wapo tayari kuongia katika uchaguzi October -2025. Hoja zao ni hizi hapa Endapo Chadema isiposhiriki uchaguzi Mkuu watakosa haki ya wao kuendelea kuwa chama kikuu cha upinzani. Na Endapo wasiposhiriki uchguzi chama kitakosa ruzuku hivyo kitashindwa kujiendesha ...
  7. PreGE2025 Godbless Lema acha mara moja kuingilia uhuru wa Vyombo vya Habari, huo udikteta uchwara uishie CHADEMA

    Watanzania wote tumepigwa na butwaa hii tabia mbaya ya kidikteta inayoota mizizi kwenye chama cha Chadema. Baada ya kuwafunga midomo wanachama wa Chadema wasitoe maoni wala mawazo mbadala kwa kutishia kuwafukuza, kuwapa majina mabaya na kuwanyamazisha. Sasa tunaona kiongozi wa Chadema mpya...
  8. I

    PreGE2025 Olengurumwa: Kama kuna mtu anaendeleza tofauti za uchaguzi ndani ya CHADEMA, atakuwa anafanya kosa kubwa sana

    Mwanaharakati wa Haki za Binadamu, Wakili Onesmo Olengurumwa ameandika andiko kupitia kurasa zake rasmi za mitandao ya kijamii kama maoni yake binafsi kuhusu sakata la wanachadema wanaojitambulisha kama G55, ambao wanakosoa mambo mbalimbali yanayoratibiwa na chadema. #### Nimefuatilia Mjadala...
  9. No Reforms No Elections: Kama kweli itatokea ni nini kitawakabili Lissu na CHADEMA

    Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania na sheria za nchi, uchaguzi ni msingi wa demokrasia na haki ya kikatiba (Kwa mfano, Katiba ya Tanzania ya 1977, Kifungu cha 5 na 21). Kutoa vitisho vya "kuharibu uchaguzi" au kuanzisha "uasi" ni uvunjifu wa sheria za Tanzania, kama vile: (1) Kanuni ya Jinai...
  10. PreGE2025 CHASO: G55 ni matokeo ya tamaa ya madaraka, 'Ni waasi wasioitakia mema CHADEMA'

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA Students Organisation - CHASO),Leonce Martin amewaita wanachama wa kundi la G55 kuwa ni waasi ndani ya chama, akidai kuwa kundi hilo halina nia njema na mama chama. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar...
  11. PreGE2025 Viongozi wa CHADEMA Tabora: G55 ni wahuni na wasaliti wanakiuka msimamo na maazimio yaliyopitishwa kwenye mikutano halali ya chama

    Viongozi wa Chama Cha Demokrasia Na Maendeleo CHADEMA Mkoa wa Tabora na Kanda Ya Magharibi wakiwemo watia nia wa Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali wametoa msimamo wao kuhusiana na kuibuka kwa kundi ndani ya Chama hicho La G-55 na Kusadiki kusema Kuwa hilo linakiuka misimamo na maazimio...
  12. E

    Utata wa G55 CHADEMA

    Tangu kundi la G55 linalohusisha makada wa Chadema wanaotaka chama hicho kishiriki uchaguzi, kumekuwa na maswali mengi kuhusu malengo ya kundi hilo. Kundi hilo linakuja na msimamo wa kutaka kushiriki uchaguzi kinyume na kampeni ya No reforms No election (Hakuna mmabadiliko, hakuna uchaguzi)...
  13. K

    PreGE2025 Kama CHADEMA watasusia uchaguzi basi wapiga kura kwenye uchaguzi 2025 watapungua kwa asilimia kubwa

    Kuna uamuzi uliopitishwa na CHADEMA ya No Reform No Election na kama wataendelea kushika uamuzi wao huu wapiga kura 2025 watapungua kwa kiasi kikubwa sana. Ni vema Serikali ikafikiria na kufanya uamuzi ili nchi iendelee kuwa na Amani.
  14. UCHAMBUZI: G55 (Mpox) wana hoja dhaifu, mtazamo usioeleweka na mikakati ya duni dhidi ya CHADEMA

    Mwanzoni nilidhani labda ni hisia zangu lakini baada ya kuwasikiliza nikagundua nilikuwa sahihi kwa 100% kuhusu kundi la watia nia wa ubunge 55 kupitia CHADEMA maarufu kama G55 ama Mpox ambao wameamua kuja kinyume na msimamo wa Chama chao kuhusu agenda ya No reform, No election. Hapa chini ni...
  15. K

    PreGE2025 Anayeona NO REFORM NO ELECTION haina maana kwake mlango uko wazi kwenda vyama vingine

    No reform No Election limewatia tumbo joto hasa wasaka tonge. Slogan hii ilianzishwa na Wana CHADEMA wote na leo wanapotaka nafasi za Rais, Ubunge na Udiwani wanatoka wazi kuukana slogan yao. Ndugu zangu tumbo ni mbaya sana. Wengi pale CHADEMA wako kwa nafasi ya matumbo yao na siyo kuitetea...
  16. PreGE2025 CHADEMA inajichinja na kujikaangaa kwa mafuta yake yenyewe

    Wailianza kwa mbwembwe sana chini ya uongozi mpya kwamba, mapambano ya kidemokrasia dhidi ya maslahi mapana ya wanachadema na wananchi wote wa Tanzanzania, sasa yanapata pumzi mpya, uelekeo mpya na yatakua yana sura mpya kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania october2025. Na wanachadema wengi...
  17. Uwepo wa G55 ndani ya CHADEMA kunaonesha tangu mwanzo mapandikizi yalikuwepo

    Salaam wakuu, Ninachokiona kwa sasa kuibuka kwa kundi la G55 ndani ya CDM inadhihirisha kulikuwepo na mapandikizi waliozoea kutumia chama kama mtaji kwa faida zao binafsi.
  18. PreGE2025 Hoja 6 za kwanini No Election lazima itekelezwe ikiwa Reforms hizi hazijafanyika

    https://youtu.be/--J45XU5LAs?si=_xbKbAZN1lVA2KpD Mh. Tundu Lisu ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema ameeleza kwa undani na urahisi sana mabadiliko 6 ambayo Chadema inadai, Katika mkutano wa leo wa uliofanyika Nachingwea. Sikliza kwenye link hiyo kuanzia dakika ya 27 Naomba CHADEMA Media...
  19. M

    Yanayoendelea CHADEMA ni marudio tu ya historia

    Kumewahi kuwa na mapambano ya kambi 2 tofauti ndani ya vyama vya upinzani toka mwaka 1995 CUF ya Maalim Seif Vs CUF ya Prof Lipumba KNCCR ya Agustine Mrema Vs NCCR ya Masumbuko Lamwai NCCR ya James MBATIA Vs NCCR ya Joseph Selasini Sasa ni CHADEMA ya Tundu Lissu Vs CHADEMA ya Freeman Mbowe...
  20. Pendekezo la kesi- icc dhidi ya serikali ya Tanzania- wanasheria CHADEMA amkeni na mfanye kazi- fofofo- hamtatoboa na hiyo no reform no election

    PENDKEZO LA KESI- ICC DHIDI YA SERIKALI YA TANZANIA- WANASHERIA CHADEMA AMKENI NA MFANYE KAZI- FOFOFO HAIWATOI KWENYE NO REFORM NO ELECTION. NAWAPA MUONGOZO BILA MALIPO. Kichwa: Pendekezo la Uchunguzi wa Uhalifu wa Kisiasa na Ukiukaji wa Haki za Binadamu katika Serikali ya Tanzania Kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…