ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. E

    JamiiForums Tanzania Dk Muchunguzi: Mwaka 2020 Polepole alisimamia mgombea mmoja CCM, waliotaka kugombea walifukuzwa

    Mchambuzi wa masuala ya siasa, Dk Dennis Muchunguzi amekosoa kauli za aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kuhusu uteuzi wa Rais Samia kuwa mgombea pekee aliyepitishwa na mkutano mkuu wa CCM, Januari 19, akisema ni utaratibu wa CCM kwa rais anayegombea awamu ya pili kuwa...
  2. JamiiForums Tanzania GE2025 Haki itendeke CCM nao wanyimwe Ruzuku, Kwa kutofata katiba yao

    Hii nimeipenda sana, na itatumika kama reference siku za mbeleni, sijui Msajili wa vyama atachomoka vipi. Jaji Mtungi amekuwa mwiba mkali kwa kukandamiza CHADEMA, amewafanyia ushetani mkubwa eti katiba yao haikufatwa. Mara paa kimewakuta CCM ambapo ilimpitisha Rais Samia kiharamu bila kufata...
  3. JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Baadhi ya watia nia wa CCM tayari wamepitishwa na kamati kuu kugombea kwenye majimbo yao

  4. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 Yeyote anayetaka CCM iendelee kubaki madarakani baada ya utawala kwa miaka zaidi ya 60 huyo sio mjinga tu ni limbukeni mkubwa

    Mtu yeyote anayetaka CCM iendelee kubaki madarakani hata baada ya utawala kwa miaka zaidi ya 60 huyo sio mjinga tu bali ni limbukeni mkubwa!
  5. JamiiForums Tanzania CCM na Ukatili wa Kimfumo: Taifa Linalozama Katika Giza la Haki Kukanyagwa, Raia Kudhalilishwa na Demokrasia Kugeuzwa Kichekesho

    TUMECHOKA! Kwa herufi kubwa kabisa. Tumechoka kunyanyaswa, tumechoka kuonewa, tumechoka kuishi kama watumwa kwenye nchi yetu wenyewe ilhali tunaambiwa tuna Uhuru wa kuishi, kuongea, na kuamua. Kwani ninyi wa CCM, mko made of what? Si ni binadamu kama sisi? Au damu yenu ni dhahabu na yetu ni...
  6. JamiiForums Tanzania Wana CCM tusisikilize chochote hata kama tulikosea, Mgombea wetu ni mmoja tu

    1 Ni ukweli tulikiuka katiba yetu wenyewe kwenye kuteua Mgombea wetu pale Dodoma. Ila tujikaushe tu hili nalo lipite 2. Tukisema tunarudia mchakato aisee Itakua aibu Sana. Natanguliza shukrani. Insha'Allah mambo yatakaa sawa. Msajili punguza ujuaji kwenye hili. Utauponza
  7. JamiiForums Tanzania Kwani PolePole alianza kuwa mwana CCM Lini?

    Wenye CCM Yao wameanza kuhoji Je huyu aneyejiita mwana CCM aliyesema ameshashika vyeo vikubwa ndani ya CCM. JE ni lini alijiunga na ÇCM? Je ni kweli anataka tumuamini eti anaijua katiba,mienendo na tamaduni za CCM Kuliko wengine?
  8. N

    JamiiForums Tanzania Tangu nianze kufuatilia siasa 2005 sijawahi kuona uchaguzi wenye sintofahamu ndani ya CCM kama huu

    2005 Top 3 waliochujwa Jakaya Mrisho Kikwete Dr Salim Ahmed Salim Prof Mark James Mwandosya Wagombea wengine Frederick Tluway Sumaye John Samwel Malecela Getrude Mongela Patrick Chokala Joseph Sinde Warioba Dr Ali Mohamed Shein Idd Simba Dr Abdallah Kigoda Dr William Shija Source 2015...
  9. JamiiForums Tanzania Hivi ndivyo Mgombea Urais wa CCM anavyopitishwa

    GT Kikwete na Samia waliogopa nini? Unampitisha Mgombea uraisi kwa kusema unadhani tumekubaliana unadhani like seriously?
  10. JamiiForums Tanzania Ukweli mtupu ni kwamba anae weza kuitoa CCM madarakani ni Mungu pekeee

    CCM OYEEEEEE 👉OYEEEEEEEEE CCM SAFIIIIIIIIII SAAAAFIIIIIIIIIIIII Ukweli mtupu ni kwamba anae weza kuitoa CCM madarakani ni Mungu pekeee CCM mitano tena SAMIA SULUHU HASSAN MITANO TENA
  11. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Je huu ni mwanzo wa utamaduni wa kupanga wagombea urais wa Ccm Tanzania bila mchakato wa Kura

    Ni mambo yanayoanzaga kidogo kidogo lakini ghafla yanakuwa utamaduni 2030 sio mbali inaweza kutokea viongozi wakubwa wenye ushawisji kwenye chama wakasema tuna imani na mtu flani (waliemuandaa), apite bila kupingwa. Na sidhani kama kuna mtu mwenye uthubutu wa kuinuka kupinga, mkutano uliopita...
  12. JamiiForums Tanzania Siyo siri, CCM yangu inapitia wakati mgumu!

    Kwa sasa, CCM inapitia wakati mgumu kiuongozi, pengine kuliko wakati wowote ule wa uhai wake. CCM ilijigeuza kutoka chama cha ukombozi na kuwa chama cha kuleta maendeleo na ustawi kwa wananchi wa Tanzania katka nyanja zote. CCM ni chama kinachoongozwa na watu, watu ambao kila mmoja ana mawazo...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Hawa Hapa wanaotaka Kumyumbisha Rais Samia pamoja na kuigawa na kuleta vurugu ndani ya CCM

    Ndugu zangu Watanzania, Mmewahi kujiuliza ni kwanini Rais Samia akiwa makamu wa Rais Alipangiwa ziara na kuendelea na ziara ndefu Mkoani Tanga mpaka siku anapewa taarifa za kifo cha Hayati Dkt Magufuli ili sasa yeye ndiye autangazie Umma wa Watanzania juu ya taarifa hiyo nzito ambayo haijawahi...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa madiwani viti maalum CCM wilaya ya Mkuranga kura feki zakamatwa

    CCM wameanza kufoji kura huko Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani baada ya kukamarwa kura feki za udiwani wa viti Maalum yaani CCM ni majanga baada sasa wao kwa wao.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Kikwete anamaliza CCM mwekeni pembeni

    Kikwete akiachwa huko CCM mtakuja kujuta. Mna puuza wazalendo wakina Warioba na kumsililiza huyu mzeee mbinafsi atawamaliza. Kikwete anatafuta manufaa yake na familia yake tu hajali lingine. Msishangae yule Mama Samia wa 2021-2022 yuko wapi ametekwa na team kikwete . Yeye anataka tu awaache...
  16. JamiiForums Tanzania Msajili wa vyama vya siasa hatuoni akichukua hatua zozote kwa mgombea batili wa CCM anakomaa tu na CHADEMA

    Msajili wa vyama vya siasa hatuoni akichukua hatua zozote kwa mgombea batili wa CCM anakomaa tu na CHADEMA. Mgombea wa CCM ni batili hakuna mtu aliye simama akapinga hilo na wanaCCM wenyewe wanasema hakufuata katiba ya chama nashangaa msajiri wa vyama vya siasa kaingia mitini anajifanya haoni...
  17. JamiiForums Tanzania Kwa shtuma za uvunjifu wa katiba ya chama wazi wazi ya CCM mwenyekiti alipaswa kujiuzuru

    Kwa shtuma za uvunjifu wa katiba ya chama wazi wazi ya CCM mwenyekiti alipaswa kujiuzuru. Kuna uvunjifu mkubwa wa katiba ya CCM hasa kipindi hiki ikiwemo mchakato wa wagombeaji kupatikana kinyume cha katiba. kama mtu atavunja katiba ya chama basi atavunja katiba ya nchi hatoweza kuheshimu ni...
  18. JamiiForums Tanzania Je mchakato wa kumpata mgombea Urais wa CCM ukoje?

    Baada ya hotuba ya Ndugu Polepole,nimegundua sijui mchakato wa kumpata mgombea Urais wa CCM,naomba kueleweshwa?
  19. JamiiForums Tanzania Mimi sio nabii kuna rushwa za chini chini zinatembea kwa wajumbe wa CCM baada ya vikao kuhairishwa

    Mimi sio nabii kuna rushwa za chini chini zinatembea kwa wajumbe wa CCM baada ya vikao kuhairishwa
  20. JamiiForums Tanzania Tetesi: Makundi MANNE ya URAIS 2025

    Wasalaam!! 1: Kundi la kwanza ni kundi la pure wazalendo wa nchini lenye ushawishi ni kundi linaloongozwa na Tundu Lissu,John Heche, Lema na umma wa wapenda mabadiliko ya kweli, Hawa ni wale ambao hawajawai kuwa serikalini lakini serikali wanaijua nje ndani na uozo wao wote na wakiingia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…