Wakuu bila shaka ni wazima kabisa.
Nilikuwa napenda kuuliza wapi naweza kupata sehemu ina bwawa or mto ambao naweza fanya fishing adventure na camping kwa Dar es salaam?
Natanguliza shukrani.
Wazungu walikibeba hiki kitanda na kukiweka kwenye museum zao. Afrika ilikua na technolojia kabla ya ujio wa Wazungu.
Hiki kitanda kilibebwa katika msafara wa Mfalme na alipopumzika aliwekewa kitanda apimzike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.