caf confederation cup

The CAF Confederation Cup, known as the TotalEnergies CAF Confederation Cup for sponsorship purposes, is an annual association football club competition established in 2004 from a merger of the CAF Cup and the African Cup Winners' Cup and organized by CAF.
Clubs qualify for the competition based on their performance in their national leagues and cup competitions. It is the second-tier competition of African club football, ranking below the CAF Champions League. The winner of the tournament faces the winner of the aforementioned competition in the following season's CAF Super Cup.
Moroccan clubs have the highest number of victories (seven titles), followed by Tunisia with five. Morocco has the largest number of winning teams, with five clubs having won the title. The competition has been won by 13 clubs, five of which have won it more than once. Club Sfaxien is the most successful club in the competition's history, having won the tournament three times. Zamalek are the current defending champions, having beaten RS Berkane in the 2024 final.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    🔴#LIVE MATCH: AS otoho VS Singida black Stars || Mchezo Wa Caf Confederation Cup 1 February 2026

    01 February 2026 Stade Alphonse Massamba-Débat in Brazzaville Kutoka Uwanja wa Alphonse Massamba-Débat jijini Brazzaville, katika pambano muhimu la Kundi C la Kombe la Shirikisho la CAF. Katika pambano la mwisho kati ya timu hizo mbili, lililochezwa Januari 25, 2026 nchini Tanzania, Singida...
  2. stakehigh

    Nyayo Stadium shortcomings cloud Nairobi United’s CAF Confederation Cup match against Azam

    https://www.citizen.digital/article/nyayo-stadium-shortcomings-cloud-nairobi-uniteds-caf-confederation-cup-match-n376141#google_vignette
  3. Kichuguu

    Msimamo wa CAF Champions League na CAF Confederation CUP

    Tupashane msimamo wa kila wiki kwenye mashindano haya japo inaonekana kuwa waarabu wanayatawala sana CAF Champions League CAF Confederation Cup
  4. DuaZaMama

    Singida Black Stars Wapokea 'Goli la Mama' Tsh. 10M Baada ya Ushindi wa CAF Confederation Cup

    Singida Black Stars wamepiga hatua kubwa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kushinda mechi yao ya pili mfululizo kwa kuilaza Rayon Sports ya Rwanda 2-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Baada ya ushindi huo, Rais Samia Suluhu Hassan aliwazawadia shilingi milioni 10 maarufu...
  5. Waufukweni

    GE2025 Gerson Msigwa: Goli la Mama liko Pale Pale – Goli 1 Vilabu shiriki kupewa 5M, Robo 10M, Nusu fainali 20M

    Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo ambaye pia Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa Amezitakia kheri klabu za Tanzania Simba, Yanga pamoja na Singida Black Stars ambazo hii leo zinashiriki katika mashindano ya kimataifa barani Afrika ngazi ya klabu bingwa na shirikisho...
  6. Petro E. Mselewa

    Sasa ni dhahiri kuwa Yanga waliupiga mwingi mwaka 2022, Simba haijafika kiwango kile cha Yanga

    Pamoja na ukweli kuwa Yanga na Simba zote zimecheza fainali ya Kombe la Shirikisho, tena na timu za Afrika ya Kaskazini, Yanga inabaki kuwa na fainali bora kuliko Simba. Yanga ilicheza fainali na USM Algier ya Algeria ikianzia nyumbani Benjamin Mkapa. Ikalala 2-1. Mchezo wa pili kule Algiers...
  7. Expensive life

    Amini nawaambia, Simba SC anakwenda kumfunga RS Berkane, kuhusu kubeba kombe tumwachie Mungu

    Simba sc msimwage damu kuelekea hii mechi, toeni sadaka safi, hakika Mungu atakisia kilio chenu, washirikisheni viongizi wa dini kama mlivyifanya robo fainal. Nyota ya mchezo ipo upande wenu, msije mkafanya makosa, nasisitiza msimwage damu. Turudi kwenye mada, wakuu siyo mara ya kwanza rs...
  8. Just Pray

    Video: Simba safarini kuelekea Zanzibar, Hii Tunabeba

    Kikosi cha wekundu wa Msimbazi Simba tayari kimeanza Safari ya kuelekea kisiwani Zanzibar kwenye mchezo wa Fainali ya kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya RS Barkane, Mchezo huo utapigwa Mein25, 2025 katika dimba la New Amaan Complex.
  9. JanguKamaJangu

    Mabingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) tangu Mwaka 2000

    Mabingwa wa Kombe la Shirikisho Tangu Mwaka 2000 2025: Simba / Berkane ? 2024: Zamalek SC (Misri) 2023: USM Alger (Algeria) 2022: Berkane (Morocco) 2021: Raja Club Athletic (Morocco) 2020: Berkane (Morocco) 2019: Zamalek SC (Misri) 2018: Raja Club Athletic (Morocco) 2017: TP...
  10. Mkalukungone Mwamba

    FT: RS Berkane 2-0 Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025

    RS Berkane VS Simba SC | Fainali CAF Confederation Cup | 17 Mei, 2025 Mashabiki wa Mnyama tayari wameanza kufanya kazi yao Timu imeondoka kambini kwenda uwanjani. Kikosi cha Simba tayari kimewasili Uwanjani Vikosi na mfumo kwa kila timu
  11. Metronidazole 400mg

    Natabiri, Simba atapata Goli la ugenini kule Morocco na litafungwa kwa njia ya kichwa (Kibu D/Mukwala)

    Kwanini??, sina taaluma ya coaching ila kwa akili ya kawaida ya kimpira kama umefanikiwa kurejea mechi mbalimbali za hawa RS BERKANE utakubaliana na mimi ni wabovu mno kwenye SET PIECES/free kicks....ni matumaini yangu bench la ufundi wameliona hilo Tegemea kwenye mechi ya kesho JEAN CHARLES...
  12. Mhaya

    Serikali ifanye juu chini mechi ya Fainali ya Simba ipigwe Benjamin Mkapa Stadium, Uwanja wa Zanzibar utangaziwe hali ya Dharula

    Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ishirikiane na TFF na bodi zote na taasisi zinazohusika kuutafutia matumizi ya dharula uwanja wa Zanzibar hili Mechi ipigwe Lupaso kwa maana ya uwanja wa Benjamin Mkapa. Kwanza Simba imeuzoea sana uwanja wa Benjaminj Mkapa kiasi kwamba wanajua...
  13. R

    Zanzibar inaongozwa kwa misingi ya kidini zaidi, hawawezi kuruhusu kufukia vitu uwanjani, Lifanyike lolote mechi ichezwe Mkapa lasivyo tumekwisha

    Zanzibar wapo strict sana kwa kupenda kuonekana ni nchi ya dini, maamuzi mengi hufanyika kwa msingi wa dini katika mambo yao. Uwanja wao hawawezi kuruhusu kuufusha, kuingiza mapaka, kumwaga vitu vya ahabu, waganga waliovaa hirizi, n.k. kama tulivyozoea kuona kwa mkapa Mechi ichezwe kwa Mkapa...
  14. Mpigania uhuru wa pili

    Viongozi wa Simba kwa maksudi walianza kuuza tiketi ilihali uwanja ulikuwa umefungiwa na hawajapewa go ahead

    Ni mambo ya hovyo sana yaani unaanza kuuza tiketi kinyemela ilihali hujapewa go ahead ya uwanja kufunguliwa Tunafahamu uwanja ulifungiwa na jumapili maafisa wa CAF walikuja kuukagua kabla hawajatoa majibu simba kwa maksudi wakaanza kuuza tiketi ilihali hawajapewa go ahead Viongozi wa simba...
  15. NALIA NGWENA

    Za ndanii kabisa: Rs Berkane wameliomba shirikisho la Soka Africa(CAF), Mchezo Wao dhidi Ya Simba Sc siku hiyo wajifunge Misuli tu

    Naaam! Hayawi hayawi Sasa yamekua Mtoto akililia wembe MPE, ndiyo hayo siyo maneno yangu Bali ni maneno ya Wahenga na kiuhalisia kabisa hii fainali Simba SC waliitaka kwa hali na Mali ili wapoze machungu ya Mashabiki Wao Wenye uchu ya makombe na kuona timu Yao ikipiga hatua kimataifa na siyo...
  16. L

    Wakati RS Berkane kamaliza mechi za ligi ya kwao Simba bado anapamabana na mechi zake ngumu

    Ama Kwa hakika Simba hua anashiriki mashindano ya Kimataifa katika mazingira magumu sana tofauti na wapinzani wao wote,yaani wa ndani na nje. RS Berkane wao walishamaliza ligi Yao siku nyingi TU na Sasa kazi Yao ni moja TU,kujifunza kuisoma Simba na kufanya mazoezi dhidi ya Simba TU. Wakati...
  17. Labani og

    Baba Levo: Kama Simba mtabeba kombe mkavunje ghorofa langu

    Mtangazaji wa Wasafi FM, BabaLevo aweka ahadi kama Simba wakishinda Kombe la Shirikisho Afrika, mashabiki wa klabu hiyo waende kuvunja ghorofa lake. Credit: Wasafi FM Hata Mimi ntaweka ahadi ya gari langu Land cruiser v8 Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
  18. L

    Simba hii ya mwaka 2025 ni Simba ya maajabu

    Simba hii ya mwaka 2025 ni Simba ya maajqbu. Imefanya mambo yaliyofanywa na baba zao miaka 32 iliyopita. Kwangu Mimi Simba hii ni moja kati ya kikosi Bora kabisa Cha Simba,hii ni Kwa sababu ya namba zake. Sikatai ubora wa vikosi vya Simba vilovyopita,lakini kikosi hiki ni Cha maajabu sana...
  19. M

    Simba ni timu ya kwanza Tanzania kuingia fainali za Caf mara 2

    Pia itakuwa ni timu ya kwanza Tz kuleta kombe la Caf. Yanga kwa sasa Tuweni wapole tu, hakuna namna. Tuwe wakweli tu kuwa kwasasa hatuna hoja za mabishano na majigambo. Hata itokee Yanga tuchukuwe kombe la ligi kuu na la crdb na hata itokee tumfunge Simba bado haitazidi HESHIMA NA HADHI YA...
  20. ngara23

    Tusilinganishe CAFCC Ile Yanga alochukua medali na hii ya Simba

    Naona baadhi ya wachambuzi na mashabiki wa Simba wasio na ufahamu wa masuala ya Soka wanalinganisha kufuzu Kwa Simba Leo kuwa amefika record ya Yanga Tukumbuke mashindano ya CAFCC ambayo alishiriki zilikuwemo nchi ambayo ni mabingwa wa mataifa Yao kama Yanga, Rivers united, Club Africain n.k...
Back
Top Bottom