brazil

  1. T

    TANZIA Nguli wa Soka Duniani, Mbrazili Pele afariki dunia

    Nyota huyo wa zamani wa Santos FC, anayetambuliwa kama mmoja wa Wanasoka bora zaidi wakati wote, alilazwa hospitalini tangu Novemba 29, 2022 huko Sao Paulo Ripoti ya utabibu kabla ya Krismasi ilionyesha alihitaji uangalizi kwa ajili ya ugonjwa wa moyo na figo, na amekuwa akipambana na saratani...
  2. M

    Namba hazidanganyi: Kwa takwimu hizi kwenye mechi kati ya Croatia na Brazil, Argentina aanze tu kutia maji wembe umpitie!

    Takwimu zinaonesha Croatia hakubahatisha kum funga Brazil! Alitawala mpira zaidi, alizuia (clearances) zaidi, na alikuwa makini zaidi kwa asilimia 100 alipopata kulenga goli (shots on target)!! Kwa takwimu hizi, Argentina watie maji mapema vinginevyo watanyolewa kavu kavu!! Match stats...
  3. New FIFA released Record is all About Brazil heritage

    Most FIFA World Cup goals scored : 🇧🇷Brazil - 232 🇩🇪Germany - 227 🇦🇷Argentina - 138 🇮🇹Italy - 128 🇫🇷France - 124 🇪🇸Spain - 106 Most FIFA World Cup winners : 🇧🇷Brazil - 5 🇩🇪Germany - 4 🇮🇹Italy - 4 🇦🇷Argentina - 2 🇺🇾Uruguay - 2 🇫🇷France - 2 🇪🇸Spain - 1 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 England - 1 Most match wins in...
  4. Ningekuwa kocha wa Brazil ningechukua kombe la dunia mapema asubuhi

    Wachezaji ambao nisingewaita ni kama Neymar, Paqueta, Richarlison, Fred, Raphinha na Anthony. World cup sio kwa ajili ya mabishoo na wavivu. Ningembadilisha Martinelli ili acheze winga ya kulia, kushoto angekaa Vinicious halafu namba tisa angesimama Firmino huku namba kumi ningempa Gabriel...
  5. I

    Brazil wametolewa kihaki

    Brazil wameyaaga mashindano ya Kombe la Dunia mwaka 2022 baada ya kufungwa 4-2 na Croatia kwa mikwaju ya penalti. Hakika Brazil ilikuwa ni ile ya akina Pele, Tostao, Garrincha, Didi na wengineo na hata ile ya akina Zico na Falcao vilevile na ya akina Ronaldo de Lima na Ronadinho na ile ya akina...
  6. Kwa mpira wanaocheza Brazil na kukata pumzi kipindi cha pili, nawashauri mashabiki wake waandae machozi na vitambaa vya kuyafutia

    Muda huu Brazil wamejaa matumaini hewa kwamba wao ni bora. Kiufundi, Korea hawakubana njia, waliacha open spaces kila mahali na walikuwa na mfumo mbovu wa kukaba pale walipopoteza mpira. Nikiwaangalia Croatia, ninaona Brazil akienda kukutana na mechi ngumu sana japo wakijitahidi watapita...
  7. M

    Naifananisha Brazil na Yanga SC huku South Korea ikiwa ni Zaalan FC kwa kinachoendelea

    Leo watu wanajipigia tu huku wakiwa wanajisifu kwa kupiga bomu wodi Namba 26 (mochwari) Muhimbili. Wenye akili wote na tunaojua mpira tunajua timu ya kuishangilia, inayopambana na inaweza kufika mbali na ina 99% ya kufika fainali na hata kuwa mabingwa ni Argentina.
  8. Dani Alves kuweka rekodi ya nahodha mkubwa zaidi wa Brazil katika Kombe la Dunia

    Beki huyo anatarajiwa kuiongozi timu yake ya taifa katika mchezo wa kukamilisha Hatua ya Makundi dhidi ya Cameroon, leo Desemba 2, 2022. Alves (39), beki wa kulia ambaye anaichezea UNAM Pumas ya Mexico atapewa nafasi hiyo kwa kuwa tayari timu yake imeshakata tiketi ya kucheza Hatua ya 16 Bora...
  9. Kupinga uchaguzi wa rais Brazil inaruhiswa ila ukipeleka ushahidi wa mchongo na ukashindwa unapigwa fine

    https://www.yahoo.com/news/brazil-election-court-throws-bolsonaro-144821018.html
  10. Brazil au Argentina mmoja bingwa Kombe la Dunia

    Naiona kabisa Brazil Au Argentina wakichukua Kombe la Dunia kwasababu moja tu, timu nyingi za Ulaya huwa hazina bahati sana zinapocheza Kombe la Dunia nje ya Ulaya. Ukindoa hiyo hoja mwaka huu, Brazil wana kikosi kinachokaribia kile cha mwaka 2002 ingawa siyo kwa asilimia kubwa. Pia Argentina...
  11. 🇧🇷Mashabiki wa Brazil World Cup 2022 Qatar tukutane hapa🇧🇷

    Position No. Player Club Age Caps GK 1 Alisson Liverpool (ENG) 30 56 GK 23 Ederson Manchester City (ENG) 29 18 GK 12 Weverton Palmeiras (BRA) 34 11 DEF 4 Marquinhos PSG (FRA) 28 70 DEF 14 Eder Militao Real Madrid (SPA) 24 23 DEF 3 Thiago Silva Chelsea (ENG) 38 108 DEF 2 Danilo...
  12. Kocha wa zamani wa Brazil, Scolari amethibitisha kustaafu

    Luiz Felipe Scolari, ambaye aliiongoza Brazil kunyakua taji lake la mwisho la Kombe la Dunia 2002 na kuipeleka Ureno hadi fainali ya Ubingwa wa Uropa mnamo 2004, amethibitisha kustaafu ukufunzi wa Soka. Mbrazil huyo mwenye umri wa miaka 74 aliaga baada ya ushindi wa nyumbani wa Athletico wa 3-0...
  13. Neymar afutiwa mashtaka yaliyokuwa yakimkabili kuhusu usajili wake

    Mshambuliaji huyo wa Paris St-Germain na timu ya taifa ya Brazil alikuwa akikabiliwa na mashtaka hayo yaliyohusu usajili wake mwaka 2013 kutoka Santos kuhamia Barcelona akidaiwa usajili huo ulikiuka baadhi ya masuala ya kifedha. Katika kesi hiyo waendesha mashtaka walitaka nyota huyo ahukumiwe...
  14. Bachelet alaani mashambulizi ya Bolsonaro kwa mahakama za Brazil

    Mkuu wa haki za binaadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet amemkosoa vikali Rais Jair Bolsonaro akisema ameongeza mashambulizi yake kwa idara ya mahakama nchini Brazil na mfumo wa upigaji kura kabla ya uchaguzi wa Oktoba. Bachelet ameonya kuwa hali hiyo inasababisha kitisho kwa...
  15. Hawa Wabrazil wa Singida Big Starz si wa kitoto

    Hapa nawacheck naona ligi kuwa ngumu sana kule top 4. Wana nguvu speed, wepesi, control na namna ya ukokotaji wa mpira na zile press ni hatari.
  16. KQ intends to buy 40 flying taxis from Brazil

    Kenya Airways(KQ) has signed a deal that will see it buy 40 flying taxis from two Brazilian firms as part of the airline’s diversification through its new subsidiary Fahari Aviation. The carrier said on Tuesday it had signed a letter of intent (LOI) with EVE UAM, LLC, a subsidiary of Eve...
  17. Neymar mbioni kustaafu kuichezea Brazil

    Nyota wa Brazil, Rodrygo amedai kuwa kuna uwezekano wa nahodha wa timu yake, Neymar akastaafu kuichezea timu ya taifa hilo kisha kumkabidhi yeye jezi namba 10. Neymar ambaye amefunga mabao 74, akishika nafasi ya pili nyuma ya Pele aliyefunga mabao 77 katika historia ya Brazil inadaiwa Michuano...
  18. 2014 Kombe la Soka la Dunia Pigo kubwa kwa Brazil Mafanikio makubwa kwa Mwanahabari aliyejielewa

    Mabadiliko mema kabisa kwa mwanahabari wakati Brazil inapata kipigo kikubwa kilichowahuzunisha si Brazil bali wapenda soka wote duniani. Video clip inajieleza.
  19. Y

    BRAZIL inaenda kuwa bingwa wa Kombe la Dunia 2022

    WAZEE WA SAMBA BALL, ni miaka 20 iliyopita tokea Brazil itwae Kombe la Dunia kwenye ardhi ya Japan na Korea ikiwa na nyota pendwa Ronaldo de Lima, Rivaldo, Cafu, Zee la mashuti Roberto Carlos, Dida, Gilbeto Silva bila kumsahau Ronaldinho Gaucho hakika Brazil ni taifa lililojaliwa vipaji lukuki...
  20. Kifo cha raia wa Congo chazua taharuki Brazil

    Polisi nchini Brazil wamewakamata wanaume watatu kuhusiana na mauaji ya kikatili ya mhamiaji wa Congo mjini Rio de Janeiro. Mauaji hayo yaliyonaswa kwenye video yamesababisha ghadhabu ya umma. Jamaa wanasema Moise Kabagambe alishambuliwa baada ya kumtaka bosi wake alipe mshahara anaodaiwa kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…