Kwenu wadau mnaofatilia kiwanda cha mziki huu wa bongo, je ni msanii yupi wa kike unafikiria tunaweza kumpa taji la umalikia katika mziki wa hip hop ya bongo.
Bahadhi ya wasanii waliowai kufanya vizuri katika mziki huu
ZAY B
SISTER P
DADA JOO
RAH P
WITNESS KIBONGE MWEPESI
CHIKU KETO
ROSA LEE...