body

Body-to-body communication is a way of communicating with others through the use of nonverbal communication, or without using speech or verbalization. It can include body language, facial expressions, and other bodily gestures in order to communicate with others without the need of verbal communication. Body-to-body communication accounts for postures, body language, positioning in the environment, nonverbal language, gestures, movements and in general the people as a whole.
This form of communication accounts for roughly up to sixty percent of human conversation and can be expressed in many different forms. Body-to-body communication can be used in collaboration with, as well as in replacement of verbal communication to emphasize the point being made. Substitution of nonverbal for verbal communication is often used when verbal communication does not allow the message to be conveyed or when it is not possible to communicate verbally. This includes over long distances or when there is an interruption verbal communication such as a noise or a distraction. Nonverbal communication can also be used to express a quick message that would otherwise take time to explain if expressed verbally.Human communication consists of both verbal and nonverbal interaction between each other. Nonverbal contributes to human communication in a variety of ways and is an important aspect of social interactions between humans. Nonverbal responses are known to be immediate and honest. Based on studies, body movement is the dominant behavior that defines nonverbal communication.

View More On Wikipedia.org
  1. Eronda

    Uganda Police dismisses Nine of Bobi wines Body Guards

    Nine police officers that were assigned to protect NUP’s Robert Kyagulanyi( Bobi wine) during the presidential election rallies were charged by the Police Disciplinary Unit at the at the Directorate of counter terrorism. They were accused for not accounting for Bobi wine when he disappeared...
  2. Tlaatlaah

    Body language na facial expression zinaeleza wazi kwamba Lissu amekata tamaa, licha ya kujaribu kulazimisha furaha na ujasiri ambao ni wazi hana

    Inasikitisha sana kumuona amechoka phisically na kwakweli mentally ni kama yupo confused. Mbaya zaidi, mamluki na wafuasi wake ndio wanaonyesha kuchoka na kukata tamaa zaidi, licha ya kuhamasishwa kwa vitendo na mtuhumiwa wa uhaini mwenyewe eti waonyeshe furaha na ujasiri ambao wote hawana na...
  3. Red black

    A woman with beautiful body and face is good for a night but a woman with beautiful mind is good for a life time

    Sasa wewe endelea kuchagua makalio na sura nzuri badala ya akili
  4. Mshana Jr

    Body language.. Facial expression vinatambulisha mzigo mzito aliobeba moyoni

    Macho yanaongea .. Sura inasema.. The guilty are afraid...! Yaliyomo moyoni mwa mtu akishindwa kuyadhibiti hujitambulisha kwa uwazi kwenye macho na taswira kupitia sura yake! Furaha Huzuni Fadhaa Sintofahamu Maumivu Uoga Uongo Ukweli Bashasha Kimuhemuhenk Hali zote hizi huweza kutambuliwa kwa...
  5. Waufukweni

    PostGE2025 Hatimaye mwili wa Dainesy wapatikana hospitali ya Kivule, familia yapanga upya siku ya mazishi

    ‎Familia ya Dainesy, msichana wa miaka 28 aliyeuawa na polisi katika tukio la Oktoba 29 huko Tabata, imeupata mwili wa mpendwa wao baada ya siku kadhaa za sintofahamu na mateso ya kutokujua alipopelekwa. ‎Kupitia taarifa ya Esha Buheti, ambaye amejitambulisha kama ndugu wa marehemu, familia...
  6. S

    Hivi kwanini mpaka leo hatutumii body bags kuhifadhia maiti Tanzania!

    Iwe kwa ajali au sababu nyengine yoyote, miili ya wapendwa wetu inakua inaachwa wazi kabisa, unaweza kukuta maiti yupi na boxer tu au yupo uchi, huu sio utu, Wizara ya Afya na Wizara ya mambo Ndani hivi mnashindwaje kuagiza body bag ambayo bei yake ni chini ya dola moja kule China
  7. Ziroseventytwo

    Mnaojua kusoma Body language leo mama alikuwa kati hali gani?

    Mtuekeze nyie mnaojua kusama lugha ya mwili. Huyu mama alikuwa katika hali gani?
  8. tonicimmobility

    European MP's, human rights' body call for urgent action over Polepole abduction

    The Commission for Human Rights and Good Governance (CHRAGG) and Members of the European Parliament (MEPs) have strongly condemned the alleged abduction of former Tanzanian Ambassador to Cuba, Humphrey Polepole. Polepole, who previously served as CCM Secretary for Ideology, Publicity and...
  9. R

    Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Kama una cha kujifunza utajifuna na kufanya reformation. Hakuna anayejadili ulichokiongea maana wanajua unachowafanyia watanzania na ukweli wa MUNGU unajulikana. Linganisha na trending ya press conference za Polepole! Ina maana watu wanaona substance from his mouth! Lakini kwa vile...
  10. Marmeid

    Kuna umuhimu wowote wakujua body count ya mpenzi wako?

    Kwenye mahusiano mengi wapenzi hua wanatamani kujua body count zao, sasa nilikua naulza je ni sawa ?? Kwa sababu mimi sioni umuhimu wa mpenzi wangu kujua body count yangu kwasababu haina msaada kwake na spendelei kabsa maswali ya mtindo huu
  11. Kakondele

    Body la Tata Lp 909 linauzwa

    Body la Tata linauzwa Ni namba D Exchange na Toyota Coaster au Ros a vitu vyote vipo kasoro injini,giabox na propela ndio havipo. Bei Mil 15 Lipo kibaha mkoa wa Pwani mawasiliano 0759399805
  12. Idugunde

    Body language ya mkuu wa kaya inaonyesha kuwa kisu kiligusa mfupa

    Nimefuatilia kwa umakini hotuba yake alipokuwa anachangia harambee ya shule ya watoto wenye mahitaji maalumu. Body language na facial expression inaonyesha kuwa kisu hajikata nyama peke yake. Mfupa pia umeguswa . Maana alidiriki kutamka kuwa kuwa waliopo pale ni viongozi wa dini wa kweli kisa...
  13. matunduizi

    Wakenya wengi wanaoongea mitandaoni kuiponda Tanzania body language yao ni kama Wanamapepo

    Nimeangalia clip ZAO mara mbili. Mara ya kwanza nawasikiliza mara ya pili naangalia facial expressions na body languages ZAO huku nimemute sauti. Haya ndio nimegundua. 1: Wanaongea kama watu wenye mapepo/majini au akili zilizoruka. 2: Hawana uwezo wa kupangilia hoja. Ni kama watu wanafanya...
  14. Mhafidhina07

    Everything you held from the Member of Parliament or Executive Body just know it is planning like action Movies

    It is just series from the book of Regime(Government) kwa vyovyote ni propaganda za kuondoa watu attention zao. Watu wanapika Movies then we pay to watch it.
  15. C

    Kanisa Katoliki undeni (Parallel) tallying centre ili kujiridhisha na matokeo ya Tume Huru

    1. Kwa hali ilivyo Katoliki ni kama hawana Imani na Tume Huru. Pengine ni wakati sasa na wao wakaunda (parallel) tallying centre ili kujumlisha Kura katika kila kituo. Zambia na DRC kanisa lilisimamia haki hadi leo Jenerali Joseph Kabila kastaafu huko DRC bila hivyo angekua bado madarakani. 2...
  16. Damaso

    Maisha ya Kujikubali: Maana Halisi ya Ujumbe wa Body Positivity

    Katika miaka ya hivi karibuni, dhana ya body positivity imekuwa ikijadiliwa sana kwenye mitandao ya kijamii na katika jamii kwa ujumla. Hata hivyo, mara nyingi maana halisi ya ujumbe huu hupotoshwa au kueleweka vibaya. Body positivity haimaanishi mtu kuwa na mwili mnene na manyama uzembe na...
  17. Crocodiletooth

    Void supplements that enlarge human body parts!

    Pen#s Enlargement Gone Wrong ############## This is a biologically negative outcome caused by some of the so-called penil#s enlargement supplements sold by shady companies. To my fellow young men who are tempted to consume these products in hopes of enlarging their manhood — please, take a...
  18. Echolima1

    Aliyekuwa mlinzi binafsi ( body guard ) wa gaidi Yahya Sinwar ameangamizwa usiku wa kuamkia leo na majeshi ya Israel

    Aliyekuwa mlinzi binafsi wa Gaidi aliyeuwawa YAHYA SINWAR naye ameuwawa na jeshi la anga la Israel baada ya kushambulia maficho yake huko Gaza. Ikumbukwe tu kuwa YAHYA SINWAR ndiye alikuwa Mastermind wa Mashambulizi ya Oct 07,2023. Sasa Jamaa huyu ataenda kukutana na aliyekuwa Boss wake huko...
  19. Rorscharch

    Kuna umuhimu body spray na perfume zisambazwe bure kama kondomu maana kwenye madaladala humu tutakufa

    Saa 12 asubuhi, mtu kashuka kitandani, hajafikiria maji wala sabuni, lakini tayari yuko kwenye daladala. Jamani, unajua ananuka kama amegaragara na mwanamke halafu akaamua kwenda moja kwa moja kazini? Hakuna hata sekunde ya kufikiria kuwa wenzako pia wanapumua? Najua wanaume hatupaswi...
  20. Natafuta Ajira

    Kwanini unatakiwa kuzingatia sana body count?

    Tuweke unafiki pembeni tuongee ukweli, historia ya mwanamke ni kipengele cha kukizingatia sana, na ninachokoandika hapa ni moja ya sababu ya kwanini unatakiwa kuoa mwanamke ambae umemkuta akiwa bikira Twende kwenye points 1. Daima atakulinganisha na wanaume wengine. Mwanamke ambae tayari...
Back
Top Bottom