bodi ya ligi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NALIA NGWENA

    Jangwani wafuka moshi Wa kijani, Viongozi Wa matawi wahoji TFF na Bodi ya Ligi wanapangaje tarehe ya Mchezo wakati report ya uchunguzi haijawakilishwa

    Yanga Sc kupitia viongozi wa Matawi mbalimbali kutoka jijini Dar Es Salaam wamekutana makao makuu ya klabu yao Jangwani leo hii Mei 10/2025 huku wakiziuliza mamlaka za soka nchini kuwa wanapangaje tarehe mpya mchezo wakati hawajaja na taarifa ya uchunguzi juu ya mchezo ulioahirishwa Machi...
  2. NALIA NGWENA

    Hivi mnauhakika Yanga SC wasipoleta timu uwanjani jun 15, TFF na Bodi Ya Ligi wanao uwezo Wa kuishusha daraja?

    Msichokijua tu, Wazee Wa Makoti wanatafuta Kila aina ya mbinu kuhakikisha Viongozi Wa Yanga SC wamefungua Moyo ili hiyo June 15 mbungi ipigwe. Wameongea na Viongozi Wa serikali, wamegonga Hadi ikulu kwa mama na kilichopo wameongea na kundi la Wazee Wa Yanga SC, waitishe press conference, agenda...
  3. K

    Muda wa uongozi wa TFF na bodi ya ligi unaisha lini?

    Kwa kweli uongozi wa TFF na Bodi ya Ligi una changomoto kubwa sana hasa kutokana vilabu vya Yanga na Simba. Uongozi wao siyo imara. Ninauliza muda wa uongozi wao unaisha lini ili watupishe tuchague uongozi mpya. Nitashangaa sana kama uongozi huo wa TFF na Bodi ya Ligi watarudi tena...
  4. MwananchiOG

    Maendeleo ya Soka nchini yameletwa na Azam TV, wadhamini na wafadhili wa vilabu sio umahiri wa Bodi ya Ligi wala TFF

    Ninashangaa sana wadau wanaosifia kwamba maendeleo ya mpira wa Tanzania yamechangiwa kwa kiasi kikubwa na TFF na Bodi ya Ligi, Jambo ambalo si kweli. Miaka kadhaa hapo nyuma timu nyingi hazikuwa na hali nzuri kifedha kiasi cha kushindwa kusafiri kwenye mechi za mikoani, Ilikuwa ni jambo gumu mno...
  5. Mhafidhina07

    Kama Derby ya Kariakoo ilihairishwa kwa sababu timu moja wapo iligoma kucheza basi si vibaya bodi ya ligi wakahairisha tena

    Mnamo 07/03/2025 mida ya saa 6 usiku klabu ya simba kupitia Idara ya habari ichapisha na kusambaza habari za kutoshiriki mchezo wa ligi ambapo ulipaswa kucheza keshi yake(08/03/2025) watu wengi tulipigwa na butwaa kwa maamuzi haya ambayo yaliipa hasara timu ya Yanga kutokana na maandalizi ndani...
  6. pakaywatek

    Kama Yanga wapo serious waache kuwazubaisha washabiki wao waiandikie bodi ya ligi barua kuwa wasiweke ratiba yao ya tarehe 15

    Uogozi wa Yanga wamepewa taarifa pamoja na timu zingine ratiba ya michezo iliyobaki Sasa kama wapo serious kweli waandike barua TFF kuwa hawapo tayari kucheza mechi ya tarehe 15 kama kweli wanamaanisha.
  7. Kipenzi Changu

    Pamoja na Yanga kuandika barua ya kurasa 170; Serikali yasema haitaingilia Bodi ya Ligi na TFF

    Ninazo taarifa kuwa Klabu ya Yanga imeandika waraka wa kurasa 174 kwa serikali huku ikitumia wadau wake walioko serikalini. Waraka huo ni mwendelezo ya mashtaka yaliyotupwa na CAS. Pamoja na hayo serikali imetoa tamko rasmi kwamba haiko tayari kuingilia suala hilo kwa sababu ni kinyume na...
  8. MwananchiOG

    Endapo timu mgeni akienda uwanjani June 15 Mashabiki wa Yanga waahidi kufanya vurugu, Je bodi ya Ligi haioni hatari za kiusalama na kuahirisha mchezo?

    Kama zilivyokuwa sababu za kuahirisha mchezo tarehe 8, Ndivyo itakavyokuwa tarehe 15, Licha ya Yanga kusema "HATUCHEZI" lakini pia tutafanya vurugu kwa yeyote atakayeleta timu uwanjani. Mabaunsa pia watakuwepo kabla ya tarehe hiyo kuzuia na kuikabili timu yoyote itakayoleta pua uwanjani. Je...
  9. C

    Ujinga wa bodi ya ligi ulianza pale walipopuuza malalamiko ya Simba

    Simba walipoenda kufanya mazoezi,walikutana na watu waluojulikana kama mabaunsa. Walitoa taarifa ya malalamiko yao siku ile ile. Bodi ya ligi walikuwepo na walipaswa kupitia mwakilishi wao kutoa taarifa polisi ili wale wahuni wakamatwe. Huenda walitoa taarifa polisi na huenda kwa sababu polisi...
  10. ngara23

    Bodi ya ligi hawajui majukumu ya timu mwenyeji

    Timu mwenyeji kwenye Kariakoo derby amegoma lakini bodi ya ligi wao wanatangaza tarehe ya mchezo Hawa bodi ya ligi naamini hawako timamu kichwani Majukumu ya timu mwenyeji 1.kuandaa uwanja na vifaa Timu mwenyeji (Yanga) ana jukumu la kimuandalia Simba vifaa vya mchezo kama mipira na cones za...
  11. N

    Bodi ya ligi haitanii, yatoa ratiba ya derby ya Kariakoo. Sasa kupigwa Juni 15, 2025

    Bodi ha Ligi imetoa ratiba za viporo vilivyobaki, huku ikifanyia pia marekebisho ya tarehe kwa baadhi ya michezo. Jambo kubwa zaidi ni kuwa derby ya Kariakoo bado ipo palepale, itapigwa Juni 15, 2025, saa 11:00 Jioni uwanja wa Benjamin Mkapa. Hii inajiri masaa machache baada ya Klabu ya Yanga...
  12. ngara23

    TFF na bodi ya ligi chutuma, haya maji ni marefu mtazama

    TFF na taasisi zake zimeshindwa kusimamia maslahi ya football Tanzania Viongozi wa TFF wamejawa na mahaba na ushabiki Kwa Simba 1. Bodi ya ligi moihairisha mechi mkasema Kuna uvunjifu wa kanuni na Tuhuma za rushwa Leo mnatoka mnataka kupanga tarehe ya mchezo je hao waliosababisha mchezo...
  13. S

    Yanga SC hawaitaki TFF na wapo tayari hata kushushwa ligi daraja la 3

    Kwingineko Yanga wameziandikia mamlaka za serikalini barua yenye kurasa 167 ambayo inapinga uonevu na dhiluma zinazofanywa na bodi ya ligi chini ya TFF. Yanga wamesema hawaitaki na hawana Tena imani na hii TFF. Wako tayari kucheza hata ligi daraja la tatu.
  14. ngara23

    Bodi ya ligi kupanga ratiba mpya ya derby ni kudharau maamzi ya CAS

    Bodi ya ligi imewasikiliza wachambuzi na kuja maazimio ya kuipangia derby tarehe zingine CAS imeshauri kuwa shauri lisikilizwe na kutolewa maamzi na ngazi ya Rufaa ya TFF, haijasema bodi ya ligi upande tarehe mpya ya derby ambayo Yanga alipinga Hawa bodi ya ligi wamejaa vilaza Wanasikiliza...
  15. ngara23

    Yanga hajashindwa kesi CAS dhidi ya TFF, Bodi ya ligi na Simba sc

    Kuna upotoshaji unaendelea ati Yanga ameshindwa kesi, sio kweli Bali Yanga amepewa mwongozo kuwa aanzie kwenye kamati ya Rufaa ya TFF Kanuni za CAS ni kuwa tukio linalolalamikiwa linapotokea CAS hutoa siku 21 liwe limefika mezani kwao Baada ya bodi ya ligi kuhairisha mechi kihuni, Yanga...
  16. MwananchiOG

    Tetesi: CAS yabaini Bodi ya Ligi na Simba Sc zilikula njama kuahirisha mchezo halali wa ligi

    Habari za kikachero zimebainisha kwamba mpaka sasa kwa mujibu wa report zilizotumwa katika mahakama ya usuluhishi wa michezo (CAS) kutoka pande zote, mpaka sasa imebainika kwamba sababu za utetezi wa bodi ya ligi kuahirisha mchezo wa ligi tarehe 8 hazina mashiko, Hivyo hawakuwa na sababu zozote...
  17. ngara23

    Bodi ya ligi tafuta matokeo ya Simba huko Egypt

    TFF na bodi ya ligi baada ya kukaa wameazimia Kufuta matokeo yaliyotokea huko Egypt Simba kupigwa goli 2 Bodi ya ligi imejiridhisha kuwa Simba walionewa baada ya kuzuiwa kufanya mazoezi Pia bodi ya ligi imegundua kuwa Al Masry wakifunga magoli ya counter attack, Simba alionewa kwanini afungwe...
  18. T

    Jicho langu: Ya bodi ya ligi (TPLB) Yanaweza tokea CHADEMA!

    TPLB ilihairisha mchezo wa Simba na Yanga Kwa kusema wataupangia tarehe nyingine, cha ajabu kuchelewa kwao kutangaza tarehe yameibuka ya kuibuka! Nafananisha haya na yanayoendelea CHADEMA na kundi linalojiita G55. Nionavyo Mimi hawa ni VIVURUGE tu! Nasema ni VIVURUGE Kwa sababu Kwanza ata Hilo...
  19. M

    TFF na Bodi ya Ligi, igeni mfano wa Jeshi la Polisi katika kushughulika na wahuni kwenye mpira wetu

    Mimi nilitaka kushangaa mtu anasimama mbele ya halaiki, tena mtoto mdogo tu anatamba eti atachacha, where do you get that arrogance? Kwamba Yanga ni kubwa kuliko authority? Unaongea as if unayemuongelea ni mtu mdogo sana halafu umetegwa omba radhi unajibu tena kwa kejeli. Hongereni Jeshi la...
  20. Waufukweni

    CAS yapokea barua ya Yanga, TFF, Bodi ya Ligi na Simba SC wapewa siku 10 kujibu

    Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) imepokea rasmi rufaa iliyowasilishwa na Klabu ya Young Africans SC dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) na Klabu ya Simba. Rufaa hiyo inahusiana na uamuzi uliotolewa na TPLB tarehe 8 Machi 2025. Soma: Bodi...
Back
Top Bottom