beach

A beach is a landform alongside a body of water which consists of loose particles. The particles composing a beach are typically made from rock, such as sand, gravel, shingle, pebbles. The particles can also be biological in origin, such as mollusc shells or coralline algae.
Some beaches have man-made infrastructure, such as lifeguard posts, changing rooms, showers, shacks and bars. They may also have hospitality venues (such as resorts, camps, hotels, and restaurants) nearby. Wild beaches, also known as undeveloped or undiscovered beaches, are not developed in this manner. Wild beaches can be appreciated for their untouched beauty and preserved nature.
Beaches typically occur in coastal areas where wave or current action deposits and reworks sediments.

View More On Wikipedia.org
  1. Dalali wa Mjini

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Mbezi Beach Sqm 12,000

    Habari maboss. Hiki kiwanja kipo Mbezi Beach Tangi Bovu. Kutoka eneo la kiwanja hadi barabara kuu ya bagamoyo Road ni umbali wa Mita 200 Kiwanja hiki kilikuwa ni kiwanda cha mkonge na bado kina hati kwajili ya matumizi ya kiwanda. Kiwanja hiki kinafaa kwajili ya kwajili ya matumizi ya...
  2. Bosspraise

    Mbezi beach kiwanja kinauzwa

    KIWANJA HIKI HAPA KINAFAA SANAA KWA MAKAZI NA HATA BIASHARA UJENZI WA APARTMENTS Kiwanja kipo ushuani sanaa, Ni mbezi Beach kwa Mwamnyange Mitaa safi, ukijenga nyumba ya kuishi au Ukijenga apartments basi zitakuletea faida kwa haraka sana Ukubwa wa kiwanja ni sqm 900 Kina Hati safi Bei milion...
  3. Kasri Homes Tz

    Plot4Sale Makunduchi: 2.8 Acres Beach Plot For Sale - South Unguja, Zanzibar

    • Direction: • Facilities: • Plot Area: • Beach Strip: • Document: • Ideal: • Price: • Site visiting: . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandao ya Kijamii:
  4. Roving Journalist

    DAWASA na TARURA warekebisha barabara zilizoharibiwa kutokana na mifumo ya Majitaka Mitaa ya Mbezi Beach

    Mrejesho wa Taarifa ya Jamii Forums Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), kwa kushirikiana na Mkandarasi wa mradi wa Usafi wa Mazingira Mbezi Beach kampuni ya Beijing Construction Engineering Group Ltd (BCEG) pamoja na Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA)...
  5. Kitomai

    Plot4Sale House4Sale Nyumba na viwanja vinauzwa

    NYUMBA INAUZWA MKOA: Dar es Salaam, Tanzania WILAYA: Kinondoni MAHALI: Bunju Beach, Moga NYUMBA INAUZWA KAMA ILIVYO BEI: TZS Milioni 550 MAONGEZI YAPO UKUBWA WA KIWANJA: SQM 1600 UMILIKI: Ina hati safi NYUMBA KALI SANA INAUZWA SIFA ZA NYUMBA: Vyumba 4 vikubwa vya...
  6. KJ07

    Confession about wauza mihogo coco beach

    Salaam wana jukwaa. Nimepita sehemu moja nikakuta watu wanajadili kuhusu tabia ya upigaji ya wauza mihogo na mishikaki COCO BEACH. Malalamiko yamekuwa mengi kuhusu tabia yao ya kuuza mishikaki kwa bei ya juu huku bidhaa hizo zikiwa sio za gharama hiyo kwa uhalisia. Sasa kama wanajamvi naomba...
  7. N'yadikwa

    HOJA Unahitajika Mkakati Wa Kusafisha Fukwe Za Dar Nyingi Ni Chafu Sana

    Niko napiga jalamba humu beach ya Mbezi Beach kwa kweli hizi FUKWE ni chafu sana. Ni bahati mbaya pia kwamba hizi ndio FUKWE zilizopo ukanda wenye Mahoteli ya Kitalii kama vile White Sands, Ramada, The Waves, Landmark nk....Mkuu wa Mkoa wa Dar hili ni la kulivalia njuga kama mlivyofanikiwa Coco...
  8. Paul dybala

    KERO Huduma mbovu ya vyoo coco beach

    Hapa beach kuna choo kimoja cha serikali huwezi amini umati huu wa watu eti maji yanatoka kwa shida. Bado mhudumu anashindwa kuhimili uwingi wa wateja wanao kuja kupata huduma,hakuna risiti itolewayo kwa huduma.
  9. Powder

    Kuna Nini maeneo ya Mbezi Beach? Nasikia Sauti kama Mabomu ama Baruti

    Nasikia Sauti kama Mabomu ama Baruti hivi.....
  10. Bosspraise

    Plot4Sale House4Sale Plot, House for sale

    PLOT FOR SALE MBWENI Plot safi kabisa hii hapa Inauzwa Iko Mbweni mpiji inagusa lami Ni sqm 1000 📌🗒Ina Hati safi kabisa 📌Ni pazuri sanaa Kuna nyumba pia kama unavyoiona kwenye picha hapo 📌Plot inataka milion 150 maongez kidogo NB; ZINGATIA PLOT INAGUSA BARABARA KUBWA YA LAMI, PATAFAA SANAA...
  11. Pdidy

    Kasi ya Uhalifu Kawe na Mbezi Beach Mamlaka za Usalama chukueni hatua

    Jeshi la Polisi Napenda kutoa taarifa kuhusu eneo la Kawe na Mbezi Beach, maarufu kama "Makazi Mapya," ambalo limekuwa kimbilio la wahalifu. Eneo hili linatumika kama maficho ya wahalifu wanaovuta bangi na kuuza madawa ya kulevya. Aidha, kuna shughuli za uchimbaji wa mchanga zinazoendelea...
  12. A

    KERO Uhaba wa maji mtaa wa Simba, kata ya Kilungule Bunju Beach

    Tumekua tukikosa maji bila taarifa hata wiki 3 mfululizo na DAWASA wakipewa taarifa wanajibu watashughulikia na hawafanyi chochote. Aidha maji yanaweza kutoka wiki moja tu ili waweze kutuletea bili,sasa tunahoji kama yanaweza kutoka kwanini muda mwingine hayatoki? Inatulazimu kununua maji kwa...
  13. P

    Responded Hatimaye maji yameanza kutoka Mbezi Beach kwa Zena, JF mbarikiwe

    Wakuu, kumbe vitu vikiruka kupitia JF mambo yanaenda eeeh? Baada ya JF kurusha maji yamerejea, hapa ndio pa kuleta kero zetu Wakuu. Tukaoge vizuri na kuosha vyombo vichafu vya siku mbili. JF iishi milele🔥🔥🔥 Pia soma: KERO - Mbezi Beach kwa Zena hatuna maji siku ya 3 leo tatizo ni nini?
  14. Kasri Homes Tz

    House4Rent Bahari Beach: Standalone 4 Bdrm Ensuite House For Rent - Dar

    • Direction: Bahari Beach • Facilities: 4 bedrooms, 5 washrooms, swimming pool • Rent: TZS 1.5 million/month • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ inapangishwa bila samani (unfurnished) ✓ vyumba vinne self, sebule, jiko, dinning, public washroom, stoo ✓ madirisha vioo, viyoyozi, malumalu sakafuni...
  15. Kasri Homes Tz

    House4Rent Mbezi Beach: 2 Storeys Standalone House For Rent - Dar

    • Direction: Sea Side • Facilities: 4 bedrooms, 5 washrooms, swimming pool • Rent: USD 3,500/month (payment in TSH accepted) • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ nyumba ya ghorofa 1 ✓ inapangishwa na samani zake ✓ Vyumba vinne self, sebule, jiko, dinning, public washroom, Stoo ✓ madirisha vioo...
  16. mirindimo

    Mauji beach ya Ununio na yale ya Dodoma yanatuma ujumbe gani kwa uongozi?

    Viongozi mlioko kwenye nafasi zenu yanapotokea mauaji ya namna hii kuna ujumbe mnatumiwa ambao kuuelewa inabidi ku na hekima sana na si kua na akili kama za kwenu. Kuna mauaji mengi zaidi haya ripotiwi hasa beach ya Ununio ili kuzuia Taharuki zaidi na unapo ona Polisi wanatokeza na kusema nchi...
  17. radhiya

    Plots, Apartments for Sale

    Apartments for Sale Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa. Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool. Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini) Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
  18. Kasri Homes Tz

    Plot4Sale Kariakoo: 850 sqm Plot For Sale - Dar

    • Direction: Muhoro • Plot Area: 850 sqm • Document: Title deed • Price: TZS 800 million • Viewing charge: TZS 30,000 . ✓ hapa ni mahali pa soko la kibiashara la kimataifa ✓ plot inafaa kwa makazi na biashara . Call/Watsap: +255 767 15 77 88 . In Real Estate We Connect
  19. ndege JOHN

    Dodoma watengenezewe beach artificial

    Kuna huu Ufukwe mkubwa zaidi barani Afrika wa 'Man-made unaitwa Munyaka Estate crystal lagoon umefunguliwa Johannesburg, ni mkubwa mara 7 ya uwanja wa mpira na ni ufukwe wa 3 wa Afrika Kusini uliotengenezwa na binadamu. Nina wazo tu serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi waunde huo mradi...
  20. Pdidy

    Hizi beach Zanzibar kudai asilimia 5 ukitumia visa kadi kulipa zinaenda kwa nani?

    Nimeshangaa sana jana nilikuwa beach nmoja wakati wa kulipa tukaomba kulipa hapa Zanzibar wakadai unakatwa asilimia 5 ya pesa unayolipa Kwa ñn agizo la bosi Leo nkaenda nyingine uwiiii mambo ni yaleyale sijui wameambiana nikageuka shaah baada ya kunywa soda Sijui mnaojua haya mambo ninaona...
Back
Top Bottom