basata

Ras Burqa, (“head of the blessing” in Ararbic) is a small bay on the Red Sea in the district of Nuwaiba, Egypt.
In 1985, Suleiman Khater, a lone Egyptian assailant, perpetrated the Ras Burqa massacre killing eight people.

View More On Wikipedia.org
  1. NALIA NGWENA

    JamiiForums Tanzania Hivi Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) Huwa hamuoni Ujinga na Upumbavu unaofanywa na wasanii Wenu?!!

    Matusi yamekua mengi sana mitandaoni na hao wasanii Wajinga Wajinga wanaojiita kioo Cha jamiii Nimesikitishwa sana na hii video ya gigy money akiwa ndani ya Gari akiimba na Wenzake nyimbo yenye lugha chafu na zamatusi Je Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) mnasubiri mpaka mtu ajirekodi...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania BASATA mmekuwa zaidi ya mizigo! Eti wimbo Oscar Oscar 'Mniombee' upigwe saa Sita Usiku na ushasambaa

    Katibu Mtendaji Wa Baraza La Sanaa Taifa Kedmon Mapana amesema wimbo wa Mtangazaji Oscar Oscar Jr hautaruhusiwa kupigwa sehemu za wazi, utapigwa kuanzia saa sita usiku na utasikilizwa na watu wazima pekee. Mapana ameyazungumza hayo baada ya kumuita Oscar Oscar BASATA kujadili mustakabali wa...
  3. P

    JamiiForums Tanzania BASATA nguo za Wema zilikuwa na shida gani na alikuwa club? Siku mtamuita msanii kwa kuvaa nguo za kuogelea beach!

    Wakuu, Hili limenishangaza, BASATA inakuwa kama vile mpo kwaajili ya kusumbua wasanii tu na kuwaona wanafeli kwa nguvu zote, yaani kwa miaka yote hii hiki ndio kikubwa Watanzania wanaona mnafanya. Mtu anaenda club, ambako watoto hawatakiwi kwenda, anaenda kujiachia zake na kula starehe hayo...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Harmonize, Ibraah waitwa BASATA. Watakiwa kufika ofisini Jumatatu

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limechukua hatua ya kuingilia mvutano unaoendelea kati ya msanii Ibraah na bosi wake, Harmonize, kwa kuitaka pande zote mbili kufika ofisini kwao Jumatatu Mei 12, 2025 kwa lengo la kutafuta suluhu ya mgogoro huo. Taarifa hiyo ya BASATA inakuja kufuatia mvutano...
  5. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Baada ya kutizama kwa kina nyimbo za Diamond Platnumz zilozofungiwa na BASATA, Hallelujah, Wakawaka na nyinginezo sikuona kosa la kimaadili

    Baada ya kutizama kwa kina nyimbo za Diamond Platnumz zilozofungiwa na BASATA, Hallelujah, Wakawaka na nyinginezo sikuona kosa la kimaadili Miaka ya nyuma BASATA ilichukua uamuzi wa kufungia nyimbo hizo kwa madai ya kuvunja maadili, baada ya kutazama kwa kina sikuona maudhui mabaya, akina dada...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Basata mbona mnatia aibu na kuchangia kuharibu maadili?

    Miaka hii wasanii hawaumizi tena vichwa kuimba nyimbo za kuelimisha wamejikita kuimba nyimbo za burudani tu lakini bado si rafiki kwa vizazi vyetu. Wanaimba nyimbo wanachanganya wa dini na singeli ndani ya wimbo mmoja.mf Yesu nipeleke kule mbinguni"unachanganywa hii tabia inadhalilisha nyimbo...
  7. Huihui2

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 BASATA & Tume ya uchaguzi zuia tapeli Msama na tamasha lake la kuombea uchaguzi

    Huyu tapeli ana rekodi mbaya kwenye utapeli wa ardhi na madawa ya kulevya. Nawasihi BASATA au Tume ya uchaguzi (NEC) msimruhusu kamwe ajihusishe na uchaguzi mkuu wa 2025. -- TAMASHA la kuombea Uchaguzi Mkuu linatarajiwa kufanyika katika mikoa 26 ya Tanzania, likianza jijini Dar es Salaam mwaka...
  8. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wizara ya Habari na Michezo pamoja na BASATA kuja na Tamasha la Kadansee la Mama Samia!

    Wakuu, Uchawa ni kansa ambayo tunaulea, siku vikibumbuluka tutajita sana! ===== Kupitia ukurasa wake wa Insta@Gerson Msigwa ameandika haya; Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) tunakuletea Tamasha la Muziki wa Dansi liitwalo KADANSEE LA MAMA...
  9. Mindyou

    JamiiForums Tanzania BASATA wameanzisha kipengele cha "Best Chawa Of The Year" kwenye tuzo. Hivi CCM mnatupeleka wapi?

    Wakuu, Yaani ni wazi kabisa kuwa serikali ya CCM ina-propagate hii idea ya Uchawa ionekane ni kitu cha kawaida. Hivi karibuni wameanzisha tuzo za wachekeshaji na ndani yake wanaweka kipengele cha BEST CHAWA OF THE YEAR. Yaani wakati mataifa mengine wana tuzo za mathematicians, astronomers...
  10. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania BASATA tafadhai katazame huu wimbo haufai

    Vijana jitahidi sana kufaya ubunifu ambao pamoja na kuburudisha jamani kaelimishe walau jambo lolote. katika group letu la ukoo imetupiwa hii clip nimesikitika sana. sioni ubunifu wowote na lengo la video hii au labda umri wangu. https://www.youtube.com/watch?v=SREbSNFduzs
  11. Damaso

    JamiiForums Tanzania Basata mnafeli kwenye utendaji wenu wa kazi.

    Hawa viongozi wa Bar-Sata ni wa kukemewa na kila mtanzania mwenye akili timamu. Wamefungia wimbo wa Ney wa mitego kwa sababu ameimba "wanaokuja kututeka wanakuja kama Polisi" yaani kwa utashi wao wanadai na wanasema ni maneno yenye uchochezi. Lakini upande wa Polisi wenyewe wanakiri wazi kwamba...
  12. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania BASATA waufungia wimbo wa Nay 'Nitasema'

    Wakuu, Ila BASATA mmekuwa zaidi ya mizigo! Kwa hawa watu wote wanaotekwa na kuwataja polisi 🤣 🤣 au wenzetu hamjui Kiswahili. Mapana naona ndio utakuwa kiongozi kituko kuwahi kutokea tokea BASATA ianzishwe! Halafu serikali na CCM hamjifunzi, yaani mnarudia mambo yale yale ambayo yakuja ku...
  13. Vichekesho

    JamiiForums Tanzania BASATA inaunga mkono kitendo cha Zuchu kuonesha dole la kati kwa mashabiki wa muziki?

    Hawa BASATA mbona hawaeleweki? Naona wamelaani mashabiki na wamesahau kumfungia Zuchu kwa kutukana hadharani. Je ishara ile kwao sio tusi? Au kwakuwa amesema mitano tena basi sheria za BASATA hazimhusu? BASATA waache kupendelea.
  14. D

    JamiiForums Tanzania BASATA yalaani vitendo alivyofanyiwa msanii Zuchu jukwaani

    Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limelaani vikali kitendo alichofanyiwa Mwimbaji wa Bongo Flava, Zuhura Othman Soud cha Mashabiki kumtupia vitu jukwani katika Tamasha la Wasafi Festival lililofanyika Septemba 28, 2024 Mkoani Mbeya. Katika taarifa yake kwa Umma, BASATA imetoa rai kwa Wadau wa...
  15. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Haya ndiyo makosa ambayo BASATA wanamtuhumu Nay wa Mitego kutokana na wimbo wake wa "Nitasema"

    Wakuu, Ndio walikuwa wanajitapa na uhuru wa kutoa maoni kuongezeka. Kauli za kichochezi inatakiwa kutolewa maana. Huku ni kutufanya mabubu wazi wazi. ====== HATI YA MAKOSA KOSA LA KWANZA Kutoa wimbo kwa walaji bila kibali, kinyume na Kanuni ya 25(1) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa...
  16. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Ney wa Mitego aitwa BASATA kujadili wimbo wake wa ‘Nitasema’

    Ni kutokana na Wimbo wake Kabambe unaozungumzia Utekaji wa watu kutupwa Ununio Namshauri aongozane na Mwanasheria wake. ======= Msanii Nay wa Mitego amesema amepokea barua ya wito kutoka Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), kufika kwenye kikao ili kujadili wimbo wake wa ‘Nitasema’ kilichopangwa...
  17. maroon7

    JamiiForums Tanzania BASATA hawakuelewa matusi ya Harmonize mbele ya viongozi wa nchi?

    Katika vitu vya kushangaza ni hili la msanii harmonize kutaja matusi kwa makusudi tena kwa kurudiarudia bila ya kujali uwepo wa viongozi wa nchi siku ile ya yanga day. Nilitegemea angenyang'anywa kipaza sauti na waandaaji lakini ajabu haikua hivyo. Akaendelea tena na tena kutamka lile neno...
  18. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz ni Msanii mkubwa duniani, BASATA pamoja TASUBA kuna haja ya kumpongeza kwa jitihada zake za kukuza lugha ya Kiswahili

    Diamond Platnumz ni Msanii mkubwa duniani, BASATA pamoja TASUBA kuna haja ya kumpongeza kwa jitihada zake za kukuza lugha ya Kiswahili Diamond ni kijana wa Tanzania mwenye kiu ya kufikisha mbali Muziki wa Tanzania kuna ulazima wa kila mtanzania kuunga mkono jitihada zake za kukuza muziki wa...
  19. mwanamichakato

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Sanaa na BASATA, kuna baadhi ya nyimbo zinapaswa kutazamwa na kuzuiwa kuepusha uharibifu wa vizazi vyetu

    Utamaduni wetu ni tunu ya taifa Wasanii ktk nyanja mbalimbali wana nafasi kubwa ya kujenga, kuimarisha au kubomoa maadiri, miiko na mila pamoja na desturi. Pamoja na janga la mimba za utotoni. Dunia na nchi yetu bado tunapigana vita pana ya kutokomeza magonjwa ya kuambukiza yanayochochewa na...
  20. P

    JamiiForums Tanzania SoC04 BASATA okoeni sanaa ya Tanzania

    Baraza la sanaa la Tanzania linahusika kwenye ukaguzi wa maudhui ya sanaa pamoja na utoaji wa hakimiliki ya kazi za sanaa za wasanii wa Tanzania. Baraza hili limekua likijitahidi kuhakikisha maudhui yanayowasilishwa kwenye jamii hayavunji maadili ya kitanzania kwa kufungia kazi za sanaa...
Back
Top Bottom