balozi

Baloži (pronunciation ; German: Rollbusch) is a town of Latvia situated in the Ķekava municipality just 12 kilometres from the centre of Riga. In 2020, the city had a population of 6,829.
Baloži was founded soon after the Second World War; as a village at the time, it was developed for the nearby peat factory workers. The oldest part of the town is built in a Stalinist style. During the 1970s, territory of the village was expanded towards the A7 highway. During the 1980s this part was built as a modern residential district and called Titurga. In 1991 Baloži received town rights. After the Latvian administrative territorial reform of 2009, Baloži became part of Ķekava Municipality and thus became one of the few Latvian towns which are not municipal centres.

View More On Wikipedia.org
  1. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Mhe. Balozi Ramadhan Omar Mapuri asisitiza uwajibikaji

    Rai imetolewa na Mjumbe wa Tume HURU Dr Cde Balozi Ramadhan Omar Mapuri kwa kuhimiza uwajibikaji.
  2. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Salamu kwa Balozi Humprey Polepole na wanaong'atuka au kung'atuliwa madarakani

  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwa navyo wafahamu CCM na serikali wanaweza kuogopa kupeleka balozi Cuba sasa

    Kwa jinsi karata zilivyochezwa walijua huyu jamaa atakuwa kama jina lake pole pole kumbe kawa kasi kasi sasa na mbinu alizotumia. Usijeshangaa tanzania itagoma kupeleka balozi au hata mtu kwenda huko kukawa kikwazo wakijua ndio watu wanapata ujasiri na kuwa ubobevu ambao leo idara zilizotakiwa...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Kumbe inawezekana kuachia ofisi bila kukabidhi? Mwenyekiti mstaafu na Balozi wametufunza jambo

    Salaam, Mwenyekiti mstaafu hakuwahi kukabidhi ofisi, na aliyekabidhiwa ilibidi anyamaze tu, maana sasa utasema nilikuta hilli na hili halikuwepo, nani shahidi? Jambo Hilo Hilo limejitokeza kwa aliyekuwa balozi huko jirani na kwa akina Trump, ameachia ofisi bila kufanya makabidhiano, Sasa...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Mafanikio yaliyopatikana kwa Tanzania kutoka nchini Cuba tangia Polepole awe Balozi au lolote la maana alilolifanya huko

    Nasubiria kuyasoma hapa hayo Mafanikio. Asanteni.
  6. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia

    Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu, Kombo, ametuma ujumbe mzito kwa aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kufuatia kujiuzulu kwake hivi karibuni. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo Julai 16, 2025 , Kombo alieleza kushangazwa na kauli za Polepole...
  7. Subira the princess

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kumbukizi: Balozi pole pole; "uchaguzi ukiwa huru na haki CCM ijiandae kukabidhi ikulu"

    Wasalaam. Kujiuzulu ubalozi kwa aliekua balozi wa Tanzania nchini Cuba hakujaja kwa bahati mbaya, kwani ni mara kadhaa hapo nyuma mzalendo huyu amekua akikionya chama chake ccm juu ya kuheshimu misingi ya democrasia na utawala bora. Lakini CCM ni kama sikio la kufa halisikii dawa kiasi wenye...
  8. F

    JamiiForums Tanzania Balozi Humphrey Polepole aungwe mkono ana jambo zuri kwa watanzania. Tunasubiri kwa hamu kusikia hotuba yake hapo 17-07-2025.

    Balozi mstaafu wa Tanzania nchini Cuba ndugu na comred Humprey Polepole anatarajia kuzungumza na umma hapo kesho 17-07-2025. Sina uhakika atatumia platform gani ila jambo hili ni kubwa na tunalisubiri kwa hamu. Huu sio wakati wa kuangalia sana madhaifu ya comred Polepole bali ni wakati wa...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Balozi Polepole naye anadai reforms akiwa ndani ya CCM!

    Salaam! Kwa andiko ulilloandika Jana Mh Polepole, ni dhahiri kuwa, watanzania tumekusamehe madhambi yako yote ikiwamo Ile ya kuturingushia v8 tulliyokununulia kwa pesa zetu. Baada ya Mh Gwajima,Mpina,Padre Kitima,Lissu, sasa ni zamu yako ndugu Pole Pole, ujasiri huu ni mkubwa,tunakupongeza...
  10. Ritz

    JamiiForums Tanzania Barua ya Polepole itakuwa imeandikwa na wanaharakati siyo ya level ya Balozi

    Wanakumbi. Tukiipitia barua mara mbili mbili tunaendelea kushangazwa sana inakuwaje balozi wa nchi mwenye jukumu la kutumikia taifa huko nje cuba, anaandika kujiuzulu kwake si kwenye majukumu aliopewa bali kwa tuhuma zinazo wasilishwa na wapinzani , kisha humo humo analalamika maswala ya CCM...
  11. Magufuli 05

    JamiiForums Tanzania Makamu kajitoa,waziri mkuu kajitoa na sasa Balozi kajitoa. Nyie mnaona Nini mbele?

    Hii record imewahi kutokea lini katika historia ya nchi yetu? Hili si jambo la kawaida hata kidogo. Kama mtampa Moyo kwamba mama usiangalie nyuma songa mbele mnampoteza ndugu yenu. Huko mbele meli inazama. Narudia meli inazama. Hii record na trend si nzuri hata kidogo na ni taa kwamba hatari...
  12. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ukiteuliwa kuwa Balozi (Diplomat) kisha ukateuliwa tena kuwa Mkuu wa Mkoa unapokea Mishahara ya Vyeo vyote (Teuzi zote) au wa Cheo kimoja tu?

    Wajuvi wa mambo nasubiria majibu yenu tafadhali ili nijue jinsi gani Pesa za walipa Kodi Masikini (kutoka duniani) zinavyochezewa na Raia wa Oman.
  13. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo amuaga Balozi wa Angola

    WAZIRI KOMBO AMUAGA BALOZI WA ANGOLA Balozi wa Angola anayemaliza muda wake, Mhe. Sandro De Oliveira amekutana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb) kwa madhumuni ya kuaga. Katika kikao hicho kilichofanyika jijini Dar es Salaam Juni 21...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Aida Kenani ni balozi mzuri wa viongozi wanamke wapambanaji

    Wakuu Baada ya kilichotokea kwenye uchaguzi mkuu wa 2020, CHADEMA ilipata mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa ambaye ni Aida Kenani muwakilishi wa Jimbo la Nkasi. Aida ni ishara ya wanawake waliozitumia nafasi zao za uongozi vizuri. Licha ya kuwa peke yake pale mjengoni lakini bado alipambana...
  15. 5

    JamiiForums Tanzania Nilienda mafichoni zaidi ya mara 5 wakati Iran inashambulia Tel Aviv - Balozi wa US nchini Israel

    Ndivyo ilivyo kuwa wakati Iran inaijibu Israel usiku wa kuamkia Jumamosi
  16. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Balozi Matinyi awasilisha hati za utambulisho kwa Mfalme wa Sweden

    Mheshimiwa Balozi Mobhare Matinyi (wa tatu kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Maofisa wa Kasri la Mfalme wa Sweden (wa pili kushoto na wa mwisho kulia) na Ofisa Msindikizaji wa Mabalozi (kushoto kwake) mara baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mfalme Carl XVI Gustaf wa...
  17. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Marekani amtembelea Dr. Kitima; akemea ukandamizaji

    Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Andy Lentz amekutana na Padre Charles Kitima wakati akiendelea kupona kutokana na shambulio la kikatili dhidi yake lililotokea mwezi uliopita.Katika mazungumzo yao Balozi Lentz alisisitiza na kulaani vitendo vyote vya ukatili, hasa vile vinavyolenga...
  18. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Nitahakikisha kunakuwa na Tanzania master plan model na kuanzia balozi, mwenyekiti, afisa mtendaji, wakuu wa wilaya na mikoa watakuwa na hardcopy

    Nikiwa Rais wa Tanzania ntahakikisga nchi nzima inapimwa, na hii kazi ya kupima nchi nzima watapewa waholanzi, wakimaliza Tanzania master planning itakuwa kwenye three dimension na hardcopy watapewa mabolozi, wenyeviti wa mitaa, wakuu wa wilaya, na wakuu wa mikoa ili mwananchi akitaka kujenga...
  19. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Balozi Matinyi akutana na Watanzania wanaoishi nchini Uswidi

    BALOZI MATINYI AKUTANA NA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI USWIDI Balozi wa Tanzania katika Ufalme wa Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi, tarehe 29 Mei, 2025, alifanya kikao na Watanzania wanaoishi nchini humo katika viwanja vya ofisi za ubalozi jijini Stockhom. Katika kikao hicho kilicholenga...
  20. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Bunge la 12, Mkutano wa 19, Kikao cha 34, Mei 28, 2025

    https://www.youtube.com/watch?v=DHqu2q18Qzg "Kukamilika kwa mapitio ya Sera ya Mambo ya Nje, Toleo la 2024, iliyoambatana na mkakati wa utekelezaji wake, ikiwa ni pamoja na matumizi ya Kiswahili kama nyenzo ya diplomasia." "Katika Mwaka wa Fedha 2024/2025, Wizara iliidhinishiwa jumla ya...
Back
Top Bottom