bakteria

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MAWEED

    Mdudu wa kidole, natamani kukata kidole

    Salaam wanajamvi, natumaini mko salama na kwa wale mliokatika mfungo, Mungu akawaongezee palipo pungua. Wakuu mwenzenu yamenifika, kidole changu cha kati mkono wa kulia kimevimba hatari. Kinauma mno yaani hakukaliki, hakulaliki. Najihisi mnyonge, nimekosa tumaini. Nimeweka mafuta ya taa...
  2. BARD AI

    Bakteria Sugu kwa Dawa watajwa kuwa chanzo kingine hatari cha vifo Afrika, Tanzania ikiwemo

    Uchunguzi uliofanywa na Jumuiya ya Kiafrika ya Madawa ya Maabara (ASLM) imeonesha nchi 14 za Kusini mwa Jangwa la Sahara, Tanzania ikiwemo zinakabiliwa na hatari ya kuongezeka wagonjwa wenye vimelea wasiotibika kutokana na usugu wa dawa. Ripoti hiyo imebaini kuwa ni vimelea vitano tu kati ya 15...
  3. V

    SoC02 Kudhibiti usugu wa dawa za kutibu magonjwa yanayo sababishwa na bakteria na kuvu (Fangasi) Tanzania

    KUDHIBITI USUGU WA DAWA ZA KUTIBU MAGONJWA YANAYOSABABISHWA NA BAKTERIA NA KUVU (FANGASI) TANZANIA. Usugu(Upinzani) wa dawa ni hali ambayo vijidudu kama bakteria na fangasi kuzishinda dawa ambazo zimeundwa kuziharibu na hilo husababisha mtu kushindwa kupona ugonjwa fulani unaosababishwa na...
  4. JanguKamaJangu

    Chokoleti inavyoweza kukupa bakteria wa homa ya matumbo, watoto wameathirika zaidi

    Aprili 27, 2022, Uingereza ilitoa taarifa kwa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa (WHO) kuhusu kundi la wagonjwa wenye maambukizi ya bakteria wa Salmonella Typhimurium. Uchunguzi ulihusisha mlipuko huo na chokoleti ambayo imesambazwa katika nchi 113. Ripoti ya WHO inaeleza zaidi ya watu 150...
  5. Miss Zomboko

    Hadhari: Chocolate za Kinder Joy zadaiwa kuwa na Bakteria aina ya Salmonella

    Shirika la viwango vya vyakula nchini Uingereza liliondoa bidhaa hizo zinazo tengenezwa nakampuni ya Italia -Ferrero – ambayo ni watengenezaji wa Kinder Joy – wiki hii kutokana na visa 63 vya bakteria aina ya Salmonella husasan ni miongoni mwa Watoto. Ferrero ilisema kuwa hakuna bidhaa yake...
  6. B

    SoC01 Maabara ni uti wa mgongo wa Huduma bora za Afya Tanzania

    MAABARA NI NINI Maabara ni jengo maalumu lilojengwa mahususi lilosheheni mashine na vifaa maalumu (machine and equipments) na vitendanishi (reagents) kwa ajili ya kufanya majaribio (trials), vipimo (tests) mbalimbali kulingana na mahitaji. zipo maabara za aina nyingi sana kama vile maabara za...
Back
Top Bottom