Inasikitisha kutembeza chuma cha zaidi ya thamani ya
Tsh Milioni 100 bila kuwa na bima.
Waweza kuhakiki kwa kuweka namba ya gari T555EPN
https://tiramis.tira.go.tz/#/
Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini Baba Levo amesema kuwa rais Samia ametoa zaidi ya Bil. 4 ili kujengwa kwa mifereji ya kutoa maji kata ya Katubuka.
Wote wanaoona kiingereza ni kigezo/kikwazo kwa Babalevo kwenda bungeni hawana hoja kwani bungeni kuna wakalimani wa lugha mbalimbali lakini hata hivyo sidhani kama wabunge wa urusi,china,korea,japani,nk wanajadili mambo yao kwa kiingereza?
Kazi kubwa ya diwani/mbunge ni kuwasemea wananchi wao matatizo yanayosibu ili kupata ufumbuzi kwa maendeleo ya watu wake hayo mengine i.e:kutunga sheria,kupangua hoja,kujadili miswada ni ziada tu na ujanjaujanja ili kuwaibia watu kwani hata madiwani wanatunga sheria ndogondogo bwana?
Hili...
"....Wabunge 16 ambao tovuti ya Bunge imethibitisha rasmi kwamba wewahi kuingia bungeni wakiwa na kiwango cha elimu ya msingi ni Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Kasheku (Msukuma) ambaye ameandika alipata elimu yake hiyo katika Shule ya Msingi Fulwe, Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Stephen...
Watanzania wanaowalalamikia kwa ufisadi,wizi,ubadhirifu,mikataba feki,madeni,nk ni wasomi haoahao ambao ni wabunge na watumishi wa serikali anaowasema Polepole.
Sasa mnapowakataa watu wenye uzalendo kama kina Babalevo tena na kusema hawawezi kutafasiri sheria na mikataba kwakuwa siyo wasomi...
Walikuja wasomi kina Dkt Kaburu walifanya nini cha maana?
Wabunge wasomi wangekuwa wa maana kungekuwa na ufisadi kila leo?
Kujua kuongea kiingereza ndiyo kipimo cha elimu kwa waTanzania walio wengi na ingekuwa hivyo basi nchini uingereza wote wangekuwa wabunge
WaTz wengi haeajui uhalisia wa mambo hasa kisiasa wanadhani mtu kisiasa anapimwa kwa elimu yake na pesa au style ya maisha yake,wengi mlimdharau Babalevo na kumkashifu na kusahau kuwa kuna Mungu haya msiemtaka kaletwawa.
Mjifunze kubakiza maneno wakati mwingine,Babalevo ni bora kuliko wote...
Nyota ya mtu inaweza kufifia lakini bado kuna watu wataendelea kuithamini na kuiona ni nyota bora kuliko zote.
Amonaizy Wamataizy ni jina maarufu sana mkoa wa Kigoma hususani wilaya ya Kasulu.
Binafsi nimemfahamu 2009 kipindi nafanya kazi kambi ya shirika la GTZ, ngoma yake ya kwanza inaitwa Ua...
Wenye akili watalifanyia kazi awe ameshindwa au ameshinda ila haki ya kweli ingekuwa pale tu kuwashindanisha washindi wa3 wa mwanzo na kupata namba 1 isiyo na mazonge.
Kama siasa ni lelemama kajaribu na wewe!!
NAKUPONGEZA BABALEVO USIKATE TAMAA SUBIRI TU SAUTI YA WANANCHI ITAKUBEBA!!
Clayton Chipando almaarufu kama Babalevo, aliyekuwa mtiania na mgombea wa ndani wa Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kigoma Mjini amejiharibia. Kama ulikuwa ni mtego, umemnasa.
Kitendo chake cha kumpora 'kihuni' karatasi ya matokeo Katibu wake wa CCM wa Wilaya, aliyekuwa Msimamizi wa Uchaguzi...
Kucheza kamari siyo kosa bali vioongozi walioidhinisha kamari ndiyo hawafai kabisa hasa wa serikali na dini ambao wanatumia kodi za kamari kuendesha maisha yao.
Degree imekua nyepesi sana kuipata aseee!!!
Toka lini kitu kinachopatikana kirahisi kiwe na thamani?
Ushauri: Kabla ya kupoteza muda wako kwenda kusoma degree hebu jitafakari kwanza.
Game imechenji, chawa wanapata kuliko wenye degree zao(sihamasishi uchawa)
Tazama hiyo video hapo chini...
act
babalevo
ccm
chadema
chawa
chuo kikuu
diamond
elimu
kusoma
mafwele
mtaani
mwanachuo
mwijaku
mzumbe
nyege
rais
samia
simba
singeli
tanzania
udsm
umoja
veta
vijana
wassira
wazalendo
yanga
zanzibar
Nilikuwa natazama nominations ya tuzo fulani hapa Tanzania.
Nikaona majina ya brand ambassadors wanaochuana kama mnavyoona kwenye picha.
Kwa mtazamo wako unadhani ni nani bingwa hapa kwa kuitambulisha bidhaa kwa mteja na ikamvutia na kuitumia?
Mimi kwa sasa nasimama na Babalevo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.