arusha

  1. K

    JamiiForums Tanzania Polisi Arusha waifariji familia ya aliye uwawa hifandini Ngorongoro

    Maafisa wa Jeshi la Polisi wamefika mapema hii leo katika msiba wa kijana Sefu Mussa, mkazi wa Matejoo jijini Arusha, ambaye alifariki dunia baada ya kudaiwa kupewa adhabu na askari watatu wa Hifadhi ya Ngorongoro. Sefu anadaiwa kufariki baada ya yeye na wenzake kupotea njia tarehe 12 Aprili...
  2. Y

    JamiiForums Tanzania TICD ARUSHA: Kafulila katika mhadhara maalum wa Umma

    https://www.youtube.com/live/pMhiTp9NL64?si=xROoNvI7LdkavRdN Mjadala wa PPP na Maendeleo ya Tanzania Waendelea Arusha == Mjadala kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika kuchochea maendeleo ya Tanzania unaendelea leo, Agosti 14, 2026, katika kongamano la Public...
  3. T

    JamiiForums Tanzania Chupa zilizojaa mkojo zaidi ya 2,000 zakutwa ndani kwa mama ntilie jijini Arusha

    Tazama taharuki iliyotokea baada ya kukutwa chupa zaidi ya 2,000 za mikojo ndani kwa Mama Ntilie. Je, hii ni uchawi, au kuna sababu nyingine nyuma ya tukio hili la kushangaza?
  4. JamiiForums Tanzania Natafuta lori la mzigo tani 32 kutoka kiteto kupeleka Arusha

    Mzigo : mahindi gunia 300 kila gunia kilo 108 (Tani 32.4) Mahali ulipo : kiteto Unapoelekea : Arusha kwa mworombo. Mawasiliano : 0797870940
  5. JamiiForums Tanzania Matako Bar-Ya Arusha

    Mwenye picha yake aiweke hapa tafadhari..!!
  6. M

    JamiiForums Tanzania PPP na dira 2050: David kafulila kuwakutanisha wadau Arusha kutafuta njia mpya za maendeleo ya Tanzania yetu

    === Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-Centre) kimeendelea kuhimiza matumizi ya ubia kati ya Serikali na sekta binafsi kama nyenzo muhimu ya kuchochea maendeleo ya wananchi, kuongeza uwekezaji na kufungua fursa mpya za kiuchumi na ajira nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Wapi Arusha naweza kupata shamba kwa bei ya milioni moja kwa ekari?

    Habari wana jamvi. Nahitaji shamba eka 5 linalofaa kwa kilimo cha migomba. Angalau umbali usizidi kilomita 50 kutoka Arusha mjini.
  8. JamiiForums Tanzania Mmoja afariki. Huku basi likiteketea kwa moto kwa kugongana uso kwa uso na Toyota Alphard Arusha

    Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya basi la abiria aina ya Zugspitze Express, lenye namba za usajili T 639 AQN, kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Toyota Alphard, lenye namba T 837 EMS, katika eneo la Kingori, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha. Ajali hiyo...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya Lemara Kati, Kata ya Lemara Kati - Arusha na maeneo ya Njiro barabara mbaya kama yupo kijijini

    Barabara ya Lemara Kati, Kata ya Lemara Kati, Jiji la Arusha pamoja na maeneo ya Njiro karibu na Fiber Board imekuwa katika hali mbaya kwa muda mrefu ya barabara, inaonekana kama tupo kijijini. Usafiri wetu ni mkubwa Bajaj kutokana na ubovu wa barabara hiyo. Wakati maeneo mengine kama...
  10. JamiiForums Tanzania Je kuna waandishi au vyombo vya habari vimelipwa kuichafua ARUSHA kabla ya AFCON??

    Rejea aina ya habari kutoka kwa waandishi feki wa mitandaoni kila wanapotoa taarifa kuhusu mkoa wa Arusha huongelea mauaji tu husikii habari za matukio mazuri yanayotokea huko ambayo ni mengi kuliko haya yanayopewa kipaumbele na yenye kuumiza saikolojia ya binadamu. Wizara ya Habari ,TCRA na...
  11. JamiiForums Tanzania Mkoa wa Arusha hatuna deni na mama

    Kwa ambaye hajafika Arusha kwa miaka mitatu iliyopita akienda kwa sasa lazima ashangae kila kitu. Hapa namaanisha mkoa mzima wa Arusha yaani kuanzia Arusha jiji hadi huko wilayani. Yaani mkoa mzima umechafuka maendeleo ndani ya miaka mitatu tu. Mimi hadi naandika huu uzi bado ninatafakari kwa...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Baadhi ya taa za barabara kwenye barabara ya Sanawari - Ilboru, Tanki la Maji - Mollel hazifanyi kazi, zimekuwa kero

    Mimi ni mkazi wa Arusha. Naomba kuwasilisha kero kuhusu taa za barabarani ambazo hazifanyi kazi katika baadhi ya maeneo ya jiji. Taa zilizopo kuanzia Sanawari hadi Ilboru, pamoja na kipande cha barabara kuanzia Tanki la Maji hadi kwa Mollel, haziwaki kwa muda sasa. Hali hii imesababisha giza...
  13. JamiiForums Tanzania Ugaidi Arusha: Shekhe Lema ahakumiwa kifo na Mahakama ya kanda Arusha

    Sheikh Lema ahukumiwa kunyongwa☝️ Ajumuishwa na Mashekh wengine watano Ameandika...Bakari Mwakangwale SHEIKH Jafari Lema ambaye alikuwa Imam wa Masjid Quba Jijini Arusha, na wenzake watano, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama ya Rufaa Arusha. Mahakama imetoa hukumu hiyo Jumatatu ya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Arusha: Binti adai kuvuliwa nguo na kuchomwa na pasi na mwajiri wake

    BINTI ATOKA KIGOMA ADAI KUVULIWA NGUO NA KUCHOMWA PASI YA MOTO NA MWAJIRI WAKE ARUSHA Binti anayetokea mkoani Kigoma amedai kufanyiwa ukatili mkubwa na mwajiri wake, Nema Mushi, mkazi wa Moshono jijini Arusha, akisema alivuliwa nguo, akaachwa akiwa uchi na kisha kuchomwa kwa pasi ya moto...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kufikia 2050 majiji yatayokuwa yamejengwa zaidi kwa mapato ya mikoa mingine, mikopo na misaada ya nje ni Dar Es Salaam, Dodoma na Arusha

    Dar Es Salaam - Ni jiji lenye ofisi nyingi za uongozi wa kitaifa na East Africa commercial city Dodoma - Ni jiji linalowekewa bajet kubwa sana ili kuhamishia ofisi za serikali huko Arusha - Ni jiji linaloendelea kupata back up ya miradi kwa kuwa na hadhi ya umoja wa Afrika Mashariki na...
  16. JamiiForums Tanzania Godbless Lema agusia hatari ya usela wa wanawake wa Arusha

    Hatimaye Nabii Goldbess Lema amekea tabia iliyokithiri ya usela mavi kwa kina dada wa Arusha. Sisi watanzania tunakereka sana na awa kina dada.
  17. M

    JamiiForums Tanzania Kuna ajali mbaya sana maeneo ya karibu na Makuyuni Arusha

    Basi linalomilikiwa na kampuni ya Kandahari limegongana uso kwa uso na lori lilikowa limebebe trela. Lori lingine limeanguka pembeni. Mamlaka husika zitoe msaada. ========= Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Kandahari kugongana na lori la mizigo katika eneo la...
  18. JamiiForums Tanzania Wazazi wa Arusha chukueni hatua kama alivyosema Lema kuwalinda mabinti zenu na huu uselamavi unaozidi kuota mizizi Arusha

    Kiukweli huyu mnufaika wa michango ya CHADEMA na Mbunge aliyestaafishwa Godbless Lema huwa ana madini sana kwenye mambo ya familia na ndoa. Mimi huwa natofautiana naye kiitikadi ila kwenye ishu za familia na ndoa namkubali sana. Media zimeamua kupromoti upuuzi unaofanywa na vijana wachache...
  19. JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Arusha inaharibiwa na uselamavi

    Je haya madai ya Godbless Lema yana ukweli? Imekuwaje Jiji la Arusha ambalo lina sifa zote za kitalii likaendekeza uselamavi na wadudu?
  20. JamiiForums Tanzania VIDEO: Nafikri vijana wa Arusha wameshindikana aisee

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…