Maafisa wa Jeshi la Polisi wamefika mapema hii leo katika msiba wa kijana Sefu Mussa, mkazi wa Matejoo jijini Arusha, ambaye alifariki dunia baada ya kudaiwa kupewa adhabu na askari watatu wa Hifadhi ya Ngorongoro.
Sefu anadaiwa kufariki baada ya yeye na wenzake kupotea njia tarehe 12 Aprili...
https://www.youtube.com/live/pMhiTp9NL64?si=xROoNvI7LdkavRdN
Mjadala wa PPP na Maendeleo ya Tanzania Waendelea Arusha
==
Mjadala kuhusu nafasi ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP) katika kuchochea maendeleo ya Tanzania unaendelea leo, Agosti 14, 2026, katika kongamano la Public...
Tazama taharuki iliyotokea baada ya kukutwa chupa zaidi ya 2,000 za mikojo ndani kwa Mama Ntilie.
Je, hii ni uchawi, au kuna sababu nyingine nyuma ya tukio hili la kushangaza?
===
Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-Centre) kimeendelea kuhimiza matumizi ya ubia kati ya Serikali na sekta binafsi kama nyenzo muhimu ya kuchochea maendeleo ya wananchi, kuongeza uwekezaji na kufungua fursa mpya za kiuchumi na ajira nchini.
Mkurugenzi Mtendaji wa...
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya basi la abiria aina ya Zugspitze Express, lenye namba za usajili T 639 AQN, kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Toyota Alphard, lenye namba T 837 EMS, katika eneo la Kingori, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha.
Ajali hiyo...
Barabara ya Lemara Kati, Kata ya Lemara Kati, Jiji la Arusha pamoja na maeneo ya Njiro karibu na Fiber Board imekuwa katika hali mbaya kwa muda mrefu ya barabara, inaonekana kama tupo kijijini.
Usafiri wetu ni mkubwa Bajaj kutokana na ubovu wa barabara hiyo. Wakati maeneo mengine kama...
Anonymous
Thread
arusha
barabara
barabara mbaya
kati
kijijini
maeneo
mbaya
Rejea aina ya habari kutoka kwa waandishi feki wa mitandaoni kila wanapotoa taarifa kuhusu mkoa wa Arusha huongelea mauaji tu husikii habari za matukio mazuri yanayotokea huko ambayo ni mengi kuliko haya yanayopewa kipaumbele na yenye kuumiza saikolojia ya binadamu.
Wizara ya Habari ,TCRA na...
Kwa ambaye hajafika Arusha kwa miaka mitatu iliyopita akienda kwa sasa lazima ashangae kila kitu. Hapa namaanisha mkoa mzima wa Arusha yaani kuanzia Arusha jiji hadi huko wilayani. Yaani mkoa mzima umechafuka maendeleo ndani ya miaka mitatu tu. Mimi hadi naandika huu uzi bado ninatafakari kwa...
Mimi ni mkazi wa Arusha. Naomba kuwasilisha kero kuhusu taa za barabarani ambazo hazifanyi kazi katika baadhi ya maeneo ya jiji.
Taa zilizopo kuanzia Sanawari hadi Ilboru, pamoja na kipande cha barabara kuanzia Tanki la Maji hadi kwa Mollel, haziwaki kwa muda sasa. Hali hii imesababisha giza...
Sheikh Lema ahukumiwa kunyongwa☝️
Ajumuishwa na Mashekh wengine watano
Ameandika...Bakari Mwakangwale
SHEIKH Jafari Lema ambaye alikuwa Imam wa Masjid Quba Jijini Arusha, na wenzake watano, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama ya Rufaa Arusha.
Mahakama imetoa hukumu hiyo Jumatatu ya...
BINTI ATOKA KIGOMA ADAI KUVULIWA NGUO NA KUCHOMWA PASI YA MOTO NA MWAJIRI WAKE ARUSHA
Binti anayetokea mkoani Kigoma amedai kufanyiwa ukatili mkubwa na mwajiri wake, Nema Mushi, mkazi wa Moshono jijini Arusha, akisema alivuliwa nguo, akaachwa akiwa uchi na kisha kuchomwa kwa pasi ya moto...
Dar Es Salaam - Ni jiji lenye ofisi nyingi za uongozi wa kitaifa na East Africa commercial city
Dodoma - Ni jiji linalowekewa bajet kubwa sana ili kuhamishia ofisi za serikali huko
Arusha - Ni jiji linaloendelea kupata back up ya miradi kwa kuwa na hadhi ya umoja wa Afrika Mashariki na...
Basi linalomilikiwa na kampuni ya Kandahari limegongana uso kwa uso na lori lilikowa limebebe trela.
Lori lingine limeanguka pembeni.
Mamlaka husika zitoe msaada.
=========
Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Kandahari kugongana na lori la mizigo katika eneo la...
Kiukweli huyu mnufaika wa michango ya CHADEMA na Mbunge aliyestaafishwa Godbless Lema huwa ana madini sana kwenye mambo ya familia na ndoa. Mimi huwa natofautiana naye kiitikadi ila kwenye ishu za familia na ndoa namkubali sana.
Media zimeamua kupromoti upuuzi unaofanywa na vijana wachache...