Yaani kweli kabisa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasimama hadharani, bila aibu, bila busara, na kusema Wakenya ni watovu wa nidhamu? For real? That’s messed up! Mama Samia, hii siyo njia ya kuongoza taifa lenye watu wazima, wasomi, na wenye fikra huru. Hawa Wakenya uliowazodoa...