Akihojiwa na Youtube TV ya S500 TV, Mzee Magoma ameeleza mengi kujibu hoja za uongozi wa Yanga, na mojawapo ni kuweka wazi kuwa Ali Kamwe (msemaji wa Yanga) ni shabiki wa Simba na alilijua hilo zamani tangu Kamwe akiwa mdogo.
Pia amesema Haji Manara yeye hilo liko wazi, na kuongeza wengine...
If you listen close enough. Ali Kamwe kama ajui kinachoendelea yanga.
1. Pre season vs Augsburg fc
Yanga atakipiga na Germany uefa team friendly tarehe ni 20 th July ila sasa Ali Kamwe yupo busy na mechi ya Kaizer Chiefs ajui hata lini team itaenda South Africa for that match.
In short...
Kwako Rais wa TFF,
Shikamoo popote ulipo.
Nichukue muda wangu nisikuchoshe sana, hapa nchini kumekuwa na aina kadhaa za wasemaji wa mpira.
1. Wasemaji viherere.
2.Wasemaji wapiga domo
3.Wasemaji waongo
4.Wasemaji vichekesho
5.Wasemaji waimba taarabu
6.Wasemaji wasomi wenye busara
Ndugu yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.