ali kamwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lupweko

    Mzee Magoma: Ali Kamwe ni Simba damu. Awataja pia Manara na Ricardo Momo

    Akihojiwa na Youtube TV ya S500 TV, Mzee Magoma ameeleza mengi kujibu hoja za uongozi wa Yanga, na mojawapo ni kuweka wazi kuwa Ali Kamwe (msemaji wa Yanga) ni shabiki wa Simba na alilijua hilo zamani tangu Kamwe akiwa mdogo. Pia amesema Haji Manara yeye hilo liko wazi, na kuongeza wengine...
  2. D

    Ali Kamwe naye kama hajui kinachoendelea Yanga

    If you listen close enough. Ali Kamwe kama ajui kinachoendelea yanga. 1. Pre season vs Augsburg fc Yanga atakipiga na Germany uefa team friendly tarehe ni 20 th July ila sasa Ali Kamwe yupo busy na mechi ya Kaizer Chiefs ajui hata lini team itaenda South Africa for that match. In short...
  3. Pdidy

    Rais Karia, tunaomba Ali Kamwe ajengewe sanamu uwanja wa Taifa

    Kwako Rais wa TFF, Shikamoo popote ulipo. Nichukue muda wangu nisikuchoshe sana, hapa nchini kumekuwa na aina kadhaa za wasemaji wa mpira. 1. Wasemaji viherere. 2.Wasemaji wapiga domo 3.Wasemaji waongo 4.Wasemaji vichekesho 5.Wasemaji waimba taarabu 6.Wasemaji wasomi wenye busara Ndugu yangu...
Back
Top Bottom