album

An album is a collection of audio recordings issued as a collection on compact disc (CD), vinyl, audio tape, or another medium. Albums of recorded sound were developed in the early 20th century as individual 78-rpm records collected in a bound book resembling a photograph album; this format evolved after 1948 into single vinyl LP records played at 33+1⁄3 rpm.
The album was the dominant form of recorded music expression and consumption from the mid-1960s to the early 21st century, a period known as the album era. Vinyl LPs are still issued, though album sales in the 21st-century have mostly focused on CD and MP3 formats. The 8-track tape was the first tape format widely used alongside vinyl from 1965 until being phased out by 1983 and was gradually supplanted by the compact cassette during the 1970s and early 1980s; the popularity of the cassette reached its peak during the late 1980s, sharply declined during the 1990s and had largely disappeared during the first decade of the 2000s.
Most albums are recorded in a studio, although they may also be recorded in a concert venue, at home, in the field, or a mix of places. The time frame for completely recording an album varies between a few hours to several years. This process usually requires several takes with different parts recorded separately, and then brought or "mixed" together. Recordings that are done in one take without overdubbing are termed "live", even when done in a studio. Studios are built to absorb sound, eliminating reverberation, to assist in mixing different takes; other locations, such as concert venues and some "live rooms", have reverberation, which creates a "live" sound. Recordings, including live, may contain editing, sound effects, voice adjustments, etc. With modern recording technology, artists can be recorded in separate rooms or at separate times while listening to the other parts using headphones; with each part recorded as a separate track.
Album covers and liner notes are used, and sometimes additional information is provided, such as analysis of the recording, and lyrics or librettos. Historically, the term "album" was applied to a collection of various items housed in a book format. In musical usage the word was used for collections of short pieces of printed music from the early nineteenth century. Later, collections of related 78rpm records were bundled in book-like albums (one side of a 78 rpm record could hold only about 3.5 minutes of sound). When long-playing records were introduced, a collection of pieces or songs on a single record was called an "album"; the word was extended to other recording media such as compact disc, MiniDisc, Compact audio cassette, 8-track tape and digital albums as they were introduced.

View More On Wikipedia.org
  1. Quinton Canosa

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata album za Mr II A.K.A Sugu?

    Habari wanajamii forums, Nilikuwa nahitaji site ambayo naweaa kupatq album za Mr II A.K.A Sugu maana YouTube sipati nyimbo zote. Kwa yeyote mwenye album zake naomba anisaidie. Asante.
  2. Sambinyakwe kitololo

    JamiiForums Tanzania Album ya Rose Muhando yatambulishwa Clouds TV

    Namuona mwanamama wetu mkongwe kwenye ubora wake😁. Hivi huyu mama ana umri gani? Album inaitwa Secret Agenda.
  3. King faisal

    JamiiForums Tanzania Ferre Gola dynastie album

    Kwa wale wapenzi na washabiki wanaomkubali ferre gola lepadre, ambao wameweza kusikiliza album yake yote ya dynastie yenye nyimbo 18. Mtakua mmeona jamaa alivyo na uwezo mkubwa hasa kwenye nyimbo ga toc toc aliyomshirikisha josey, ndio nikasema hatari sana huyu kiumbe hafai kabisa. Hivyo wakuu...
  4. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania World Soccer Photo Album

    Ronaldinho Gaucho. Aliletwa duniani kuiburudisha dunia kupitia miguu yake iliyosheheni ujuzi wa kipekee.
  5. Pettymagambo

    JamiiForums Tanzania Nisaidie nyimbo kutoka Album ya mwaka 1995 ya Captain Komba na bendi yake

    Salaam wazee wa kambi. Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, japo nilikua mdogo ila baadhi ya maneno katika nyimbo hizo nayakumbuka. 1. Muongo mbeya anauaa 2. Nyumba ya jirani yetu inateketea moto twende tukazime 3. Shime shime jaman, shimeshime kuomba tukazanee kuomba 4. Nakazi halina aibuu...
  6. Strictly Syrup

    JamiiForums Tanzania Drake x 21 Savage 🦉🗡- Her Loss (OVO & 4L) Album Out Now

    Rapper kutoka Toronto, Canada, Drake, pamoja na rapper kutoka Atlanta, Georgia, 21 Savage wameshirikiana kuandaa album inayoenda kwa jina la "Her Loss." Album hii ilitarajiwa kuachiwa hewani mnamo 28-11-2022, lakini kutokana na maandalizi yaliokuwa wakiendelea, iliwalazimu kusogeza muda wa...
  7. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Kikwete kuzindua albam mpya ya Ommy Dimpoz

    Msanii Omary Nyembo aka Ommy Dimpoz ametangaza kuachia album yake leo Ijumaa Nov 4, 2022 ambapo katika kuizundua amesema Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ataongoza shughuli hiyo "Tuna-launch rasmi album na itakuwa weekend ndefu kidogo kwa sababu tutaanzia hapa Johari Rotana, itakuwa invitees only...
  8. Ali Nassor Px

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa bongo hawatoi album, wanatoa tu nyimbo nyingi kwa siku moja

    Hizi nyimbo wanatoa wakina HARMONIZE (HIGH SCHOOL), IBRA (THE KING OF NEW SCHOOL) .kwa upande wangu ni mkusanyiko wa nyimbo kali tu. na sio album. yale maneno ya ROMA MKATOLIKI kwenye nyimbo ya 2030 " MZIKI UMEJAA STRESS KILA NYUMBA INA MSANII " ayo maneno yalikuwa yapo sahihi na ndo...
  9. MALCOM LUMUMBA

    JamiiForums Tanzania Omah Lay ameonesha uwezo mkubwa sana kwenye album yake mpya

    Binafsi kama mdau mkubwa wa sana ya muziki, hasahasa ule wa Afrika. Hizi siku mbili nimesikiliza album mpya ya msanii kutoka Nigeria, Omah Lay. Niseme tu, mimi kama shabiki mkubwa wa huyu msanii kinda sijaangushwa kabisa. Album yake inaitwa BOY ALONE na imetoka leo hii. Nilichofurahishwa sana...
  10. benix samson

    JamiiForums Tanzania Dizasta Vina - Simulizi, ubunifu na maisha ya jamii yake ndani ya album ya The Verteller

    Msanii wa muziki kutoka nchini Tanzania, Dizasta Vina ni mmoja wa viongozi katika orodha ya wafalme wa Hip-Hop wa kizazi cha leo. Muziki wake umebeba falsafa, mafunzo na mitazamo inayogusa jamii kwa namna tofauti. Ana mtindo wa kipekee, mashairi yenye ujumbe na mtiririko wa visa na matukio ya...
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mrisho Mpoto anaweza kuwa hana copy ya album zake za mwanzo au hazisikilizi

    Mrisho Mpoto alianza enzi na mashairi yaliyomleta kwenye ramani akianza na lile la "Mpendwa mjomba, tumetengenishwa na ukuta..." Watu wakamuelewa na namna yake ya kughani, wimbo wa mwisho wa aina hiyo ilikuwa Sizonje, baada ya hapo naona hali imekuwa tofuati. Sidhani kama anaweza kukaa...
  12. Mwalimu wa tuisheni

    JamiiForums Tanzania HURU WAIMBAJI FULL ALBUM

    Habari wanajamvi, album ya huru waimbaji hii hapa Karibuni wahenga wenzangu.
  13. Makanyaga

    JamiiForums Tanzania Wahusika: Tunaomba album ya nyimbo za ujio wa Baba Mtakatifu Yohanne II Septemba 1990 mtuwekee youtube

    Kwa watumishi wa Mungu wanaohusika kwa namna yoyote ile; Tunaomba Album hiyo iliyotoka mwaka 1990 baada ya ujio wa Baba Mtakatifu Yohanne Paul II, nyimbo zake mtuwekee kwenye youtube. We are terribly missing the album! Kwa kipindi hiki kwenye youtube kuna wimbo mmoja tu wa album hiyo, ambao...
  14. Jr Xavi Hernandez

    JamiiForums Tanzania Thriller ya Michael Jackson yaendelea kuwa album bora zaidi duniani kwa wakati wote

    Kwahiyo hakuna Album iliyowahi kufanya mauzo kuizidi Thriller ya Michael Jackson? Na Thriller ni ya kitambo miaka ya 1982. Nawaza zimetoka Album ngapi kali lakini wapi? Za kina Ed Sheeran, Taylor Swift, The Weekend na wakali kibao lakini hazijaifikia Album ya MJ kwa mauzo? Tuzo 8 usiku mmoja...
  15. anonymousafrica

    JamiiForums Tanzania Nas ajifananisha yeye, Biggie na Jay Z ni sawa na J Cole, Drake na Kendrick Lamar, kwenye album yake ya Magic. Awakumbuka na Wu Tang Clan

    Kwa wasiofuatilia wanaweza kudhani Msuguano baina ya Nas na Jay Z unaendelea lakini nikuambie tu ya kuwa mtafaruk wao ulishakwisha zamani sana. Awali familia zao zilihusishwa kwenye michano na mwisho wakaamua kukaa chini na kuyajenga. Wakashirikishana kwenye nyimbo baadhi na hivi majuzi...
  16. anonymousafrica

    JamiiForums Tanzania Nas ajifananisha yeye, Biggie na Jay Z ni sawa na J Cole, Drake na Kendrick Lamar, kwenye album yake ya Magic. Awakumbuka na Wu Tang Clan

    Kwa wasiofuatilia wanaweza kudhani Msuguano baina ya Nas na Jay Z unaendelea lakini nikuambie tu ya kuwa mtafaruk wao ulishakwisha zamani sana. Awali familia zao zilihusishwa kwenye michano na mwisho wakaamua kukaa chini na kuyajenga. Wakashirikishana kwenye nyimbo baadhi na hivi majuzi...
  17. I

    JamiiForums Tanzania Embu tuzungumzie kidogo hii album mpya ya Harmonize

    Ebana mimi binafsi sio shabiki wa msanii yeyote isipokua mziki mzuri. Naamini kuwa Harmonize ni msanii mwenye kipaji kikubwa sana cha uimbaji ila sasa baada ya kusikiliza hii album yake mpya nimesikitika sana. Inaonesha wazi kuwa fikra na malengo yake kupitia album hii ni mazuri lakini...
  18. C

    JamiiForums Tanzania Orodha Ya Album Za Bongo fleva Zilizosikilizwa Zaidi Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Spotify.

    Orodha Ya Album Za Bongo fleva Zilizosikilizwa Zaidi Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Spotify. 1. #ABoyFromTandale -Diamond Platnumz Streams 30.4M 2. #SoundFromAfrica -Rayvanny Streams 26.2M 3. #DefinationOfLove -Mbosso Streams 3.6M 4. #StoryOfTheAfricanMob -Navy Kenzo Streams 3.3M...
  19. barcelonista

    JamiiForums Tanzania Album gani ya Bongo ni kali zaidi kwako?

    #TBT Album gani ya Bongo hasa zile za kitambo ilikuwa kali kiasi cha kushindwa kuskip hata ngoma moja. Najua Album zilikuwa zimeenea sana.. Mimi Album ya A.K.A Mimi ya Albert Magwair kwangu mpaka leo tamu. Nambie kuhusu ww mdau? #forgive Me.
  20. C

    JamiiForums Tanzania Upcoming album of Kendrick Lamar

    Rapa Kendrick Lamar ameandikisha nyimbo mpya 30 ktk taasisi ya kusimamia haki za kazi za sanaa za wasanii nchini Marekani ikiwa ni matayarisho ya kutoa album yake ya mwisho chini ya lebo ya TDE [Top Dawg Entertainment]. Nyimbo hizo ni pamoja na 'Feel For You', 'End of the Line', 'Erika Kane'...
Back
Top Bottom