Albam ya Marioo "The Kid You Know" yapata Streams Milioni 100 Boomplay

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,379
8,123
Mkali wa Bongo Flava, Toto Bad a.k.a Marioo ameshare picha ya Plaque kutoka Boomplay zikionesha idadi ya watu usikilizwaji wa albam yake pamoja na wimbo wa Mi Amore ambao umepata streams Milioni 30.

Ni rekodi nyingine ya Wasanii wa Tanzania kuvunjwa kwa Afrika Mashariki baada ya Rayvanny kufikisha Streams Milioni 100 mwaka 2022.
Screenshot 2023-02-07 at 20-51-57 Instagram.png
Screenshot 2023-02-07 at 20-51-44 Instagram.png

 
Her hongera zake mtunga nyimbo alieamua kuigiza kuimba hatimaye ameng'ara kwenye uimbaji kuliko katika uandishi
 
Back
Top Bottom