Tunapendana ila tunaogopa kuambiana

Tunapendana ila tunaogopa kuambiana

monn

Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
25
Reaction score
10
Tumekuwa marafiki mda mrefu sasa kama miezi saba, kijana huyu amekuwa akinivutia sana hasa kwa tabia namuonekano wake yeye anasali kanisa katoliki pia ni mwana kwaya anamambo ya dini sana hivyo tukiwa peke yetu hata usiku huwa tunapiga story za dini tu na kusikiliza kwaya huwa anapenda kunikumbatia na kushika mikono Yangu tunapokuwa peke yetu na ninapokuwa kifuani kwake huwa anashidwa hata kuongea na moyo wake huwa kasi mm hujikuta nimelowa lakini naogopa kusema yy pia, naomba ushauri nifanyaje ajue nampenda maana nyege zinatuua
 
mmmmmh subiri akwambie yeye vuta subira akianza yeye kufunguka ina raha yake
 
tengeneza mazingira akambie ila msichana ukianza kwa afrika sio vizuri
 
1. Mnaimba kwaya
2. Mnakutania kanisani akili zikiwa na matanio
3. Mna nyegeshana huku mnasikiliza nyimbo za dini

Mbona mnatenda mambo mawili yanayo pingana. Kanisa na kunyegeshana Wakati si wana ndoa!!

Bwana awarehemu kwakweli
 
tengeneza mazingira akambie ila msichana ukianza kwa afrika sio vizuri

msaidie mwenzetu genye zinamuua, atengeneze mazingira vip yaani dadavua.
 
hahahahaa hawa ''kondoo'' bado dakika sifuri tu wanatoka kundini. Genye kitu kingine bhana
 
Hapo mnachokifanya ni kuyachochea mapenzi na kumpa shetani nafasi.

Ni vema muda huo ukamuuliza kuhusu mategemeo yake ya kuoa na kama ana mchumba. Ili usije ukaumia siku akisema ana mtu mwingine.

Kutaneni na kuongea katika maeneo ambayo si hatarishi,nina wasiwasi kwa huo mwenendo muda si mrefu mwanakwaya ataharibu ushuhuda wake mzuri na kuwa mfano mbaya kwa jamii na wote anaowahubiria kupitia nyimbo.
 
tukiwa peke yetu hata usiku huwa tunapiga story za dini tu na kusikiliza kwaya huwa anapenda kunikumbatia na kushika mikono Yangu tunapokuwa peke yetu na ninapokuwa kifuani kwake huwa anashidwa hata kuongea na moyo wake huwa kasi

Poleni sanaaaaaa
 
Jikaze mwombe Mwenyezi Mungu atakusaidia kuhusu hilo,siku zote nyota njema uonekana asubuhi
 
labda hakuogopi ni kwamba tu amekutamani anashindwa aanzeje na akati ana mke!!!!!!!!!!!!! nyie nao hatareeeee mnaongea mambo ya dini huku mnashikana adi unaloa?????? kama anakupenda mwaya subiri afunguke mwenyewe ndo raha zaidi
 
Kanisa lenyewe katoliki. Hapo kweli mnapenda mambo ya dini. Nikwambie kitu, siku nyingine ukiwa hapo "kifuani" uliposema kuna siku unakuwaga hapo, badala ya kumpima hayo mapigo ya moyo, fanya ka kusahau uushushe mkono kuna kitu inaitwa flaisi chini ya mkanda wake, jifanye umesahau uishushe taratiiiiib, kama ukikuta pako kimyaaa kimbia huyo hakufai. Ukiosikia kitu ka kinatetema na kuwakigumugumu mwache mengine atafanya mwenyewe. Baadaye uende kwa baba paroko ukamwambie ulivyo jisikia vizuri vibaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom