Shida nadhani ni allergy ya maji dada yangu. So hata kama ume andikiwa dawa alafu una rejea kwenye same exposures Ndio maana ni emdelevu. Dodoma Una muda gani?
Hivi ufupi ni ulemavu? Wembamba ni ulemavu? Na hata kama nini kasoro? Kwa ubaguzi huo tu sidhani kama mke mwema ana aina hiyo ya ubaguzi!!!
Elewa Mungu hajawahi kosea katika uumbaji.
Mafanikio mema.
It is clearly illustrated here, the liquid effluent is directed to soak pit. Where the is fulfilled you can pump out.
Mtoa baada tusaidie how comes hayo maji yapo tee completely in soil.
Effluent kwenda kuunga a na water level. Just 30Cm above water level. If I got you well. It is Completely unacceptable for public Health(Water Pollution). Ground water will be polluted with( fecal coliform)/ Escherichia coli. And isn't env friendly.
Hence it is contrary to law that protect...
Mosi: Ndio kusema hii teknolojia sio rafiki kwa eneo lenye high water table
2. Fafanua kidogo hususu french drain na inasaidiaje kuongeza uwezo wa kupotea kwa effluent (ardhini) ukiacha hizi Saokage pit zilizozeleka na kutumika kwa miongo kadhaa ambapo tunalazima kunyonya maji kwa waterboozer ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.