Habari za weekend wana jamvi.
Naomba msaada wa kiufundi nina tv yangu aina ya LG led inch 32 (sio smart wala digital) inakata power ukiiwasha.
Tatizo lilianzia kwenye sauti miezi kadhaa imepita sauti ikawa inajikata muda mwingine inarudi but week kama 2 hivi sauti ikakata moja kwa moja na jana...
Heshima kwenu wakuu, Naomba kwa anaefahamu kiundani zaidi anieleweshe tofauti zilizopo kati ya aina za Tvs zilizotajwa hapo juu katika nyanja za
1. Ubora
2. Uimara wake
3. Bei
4. N.K
ZUNGUKA kumbi zote za disko.
Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity) katika
fani yoyote maarufu kuanzia, filamu,
muziki hadi siasa. Na sio hao tu,
wanasoka wa Tanzania wanaishi
dunia tofauti na wanawake wenye
hadhi za juu (high Personalities...
Natanguliza shukrani kwenu.
Wadau naomba msaada wa jinsi ya ku-unlock simu tajwa hapo juu, ni simu niliyotumiwa toka nje ya nchi sasa kwa huku haikubali laini yoyote. Inatumia Android version 4.0.3.
Tangazo la kozi za Afya - 2013JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIAWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMIIMAOMBI YA NAFASI ZA MAFUNZO MWAKA WA MASOMO 2013/14Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii anakaribisha maombi ya kujiunga na kozi mbalimbali zinazotolewa na Wizara ya Afya kwa mwaka wa masomo...
Wanajamvi naomba mnisaidie kwa mawazo huyu ni mdogo wangu ameangukia division four ya point 26 na amefanikiwa kupata C mbili tu za chemistry na biology ila physics ana D na yeye ndoto zake ni kuendelea na form five kwa combination ya PCB na hapo tatizo ni kwamba hana credit 3 inabidi atafute...
Wanawake walikuwa kwenye semina wakaulizwa., mara ya mwisho kumwambia mumeo kuwa unampenda ni lini? wengine wakasema leo asubuhi, wengine muda sio mrefu.muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi amuandikie mumewe sms amwambie nakupenda mume wangu halafu badilishaneni simu kila mmoja asome...
Wana jamvi naombeni kuuliza ni chakula gani bora naweza kumpatia mtoto wa miezi 4 na hata jinsi ya kuvichanganya maana najua vinakua katika mfumo wa uji.
Msikie mwehu huyu alienda kwa rafiki yake kupiga story, mara mvua kubwa ikanyesha mshkaji akabidi amwambie rafiki yake usijali utalala hata hapa sebuleni kwa kuwa mvua kubwa! jamaa akasema poa Nitalala usijali.! mwenyeji alipoingia chumbani kwake kulala kama dakika kumi akatoka chumbani...
A young Chagga man walked into a bank in New York City and asked for the loan officer. He told the loan officer that he is going to Moshi on a vacation, for two weeks, and need to borrow $5,000. The bank officer told him that the bank will need some form o security for the loan, so the chaga man...
MCHAGA anamdai MPARE hela. Huku MSAMBAA akishuhudia
MPARE:nimesema sikupi bora nijiue... (kwa ubahili wake mpare akajichoma kisu akafa)
...
MCHAGA:kiruu umejiua mbee sikubali na kufuata huko huko unipe pesa yangu (kwa kupenda hela mchaga nae
akajichoma kisu ili amfuate)
MSAMBAA:tateee...
Mlokole mwenye guest
alikataa yanki mmoja
aliyekuja na mama mtu
mzima kupata chumba
akisisitiza kuwa guest yake
hairuhusu uasherati. Yule
mama akaja juu na
kumwambia Mlokole kuwa
yule kijana ni mwanae,
basi wakapewa chumba.
Mlokole akamtuma
muhudumu mmoja
akachungulie kwenye
dirisha...
Jana nimedownload window 8 ambayo ina ukubwa wa 2.38GB ila baada ya kumaliza kudownload nilivyojaribu hilo file halina ile icon kama ya setup na nikijaribu kufungua inaandika nichague application ya kufungulia.
Naomba msaada wakuu juu ya hl tatizo na nitatua vp!
Wana Jf naomba kuuliza kuhusu ule mkonge wa taifa wa mawasiliano umeanza kutumika? Maana ulisambazwa karibu wilaya zote na serikali kugharamia usambazwaji wake huku kukiwa na ahadi lukuki juu ya faida za mkongo huo.
Unapewa taarifa kuwa mumeo wa ndoa yuko na hawara yake wamekaa garden, ile unafika karibu yao unasikia kimada wake anamwambia
"Honey chukua hii laki 7 hizi umpelekee mkeo nyumbani umwambie zimsaidie kwa leo na kesho, ila ikifika mwisho wa mwezi nitakupigia tukutane sehemu nikupatie million...
Katika kipindi cha kuperuzi ameanza kutetea kua inawezekana zile fedha tsh mil 150 zilizokua zimeibwa na majambazi kariakoo kisha wananchi kuzinusuru toka mikononi mwa majambazi na kisha kuzikabidhi kwa polisi kisha polisi hao kukabidhi begi tupu kituoni kwamba hao askari hawakugawana fedha...
Interviewer: There are 500 bricks on a plane.
You drop one outside. How many are left?
Applicant: That's easy, 499
Interviewer: What are the three steps to put an elephant into a fridge?
Applicant: Open the fridge.
Put the elephant in.
Close the fridge.
Interviewer: What are the four...
Math Teacher
If a=b and b=c then a=c,
now give me the practical example of this principle from real life.
Student :
I love you sir
and you love your daughter
which means I love your daughter.
There was a guy at a bar, just looking at his drink. He stays like that for half of an hour.
Then, big trouble-making truck driver steps next to him, takes the drink from the guy, and just drinks it all down. The poor man starts crying.
The truck driver says, Come on man, I was just...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.