Hii ni sawa na ile report iliyo wazungusha wazungu city centre, then wakatoa report kwamba Dsm in general ndio jiji safi kupita yote ukanda wa africa mashariki! Tatizo naloliona hapo ni accuracy ya data zinazotumiwa hapo kenye hiyo tathmini hasa upande wa strength!
Hii ishu ya mpaka ziwani ni kubwa mno, serikali waipe uzito unaostahili, wasije wakazani ni kama wanadili na CDM useme watafojifoji kama walivyozoea kuwafanyia CDM. Tanzanians, we real need very constructive argument and impeccable evidence for outwitting this little nation, I real doubt...
Hapo kwenye red , ninamashaka makubwa kumbe hata TZ hawana hizo nyaraka, waziri anapata wapi ubavu wa kuwahakikishia wa TZ ushindi mapema hii wakati bado wanatafuta nyaraka?
sometimes mwanaume akimtamani mwanamke, anaanzaga na gia ya urafiki kwanza.. then anausoma mchezo..baadae lazima uliwe, ikishindikana urafiki unakufa taratibu..!
Mheshimiwa Dhaifu , pigania hilo la mpaka kwa nguvu zako zote, umalize madaraka yako kwa kumbukumbu iliyotukuka.
Tumia exposure yako ya kimataifa na nguvu ya safari zako za nje kuwasomesha.
Ingawa nasikia majadiliano yako na Aunt JOY walishayachomolea.
... i real doubt, the same thing is going to happen in 2015 Elections!
which ever reason it might be, ccm will continue outwitting the oppositions .... (wazee wa fitina na zengwe!).
Barely a week after the immediate former Deputy Secretary-General, Dr. Asha Rose Migiro returned to Tanzania after serving a five-year term at the helm of the world body, sources within the UN have hinted that poor performance and failure to fit "in the diverse and complicated body" were some of...
Mr Ban ilibidi amfariji tuu.We ulitaka aongee mbovu. Migiro hamna kitu!TZ inawanawake wengi vichwa, ila sio Migiro.
Arudi kwenye ualimu akafundishe tuu.Kama nchini mwake hajawahi kufanya kitu akakumbukwa, Kimataifa atawezaje?
Hujajibu swali! Koment yako ya hapo mwanzo ulisema Asha hajaperfom sawasawa.
Kama katbu mkuu wa sasa wa UN anatumikia kipindi chake chote (5yrs+5yrs=10yrs) kama ilivyokuwaga kwa watangulizi wake, kwanini Asha rozi nae asimalizie kipindi chote cha miaka 10?.Hata hapa nyumbani pia Uraisi ni kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.