Hongereni kwa kuchaguliwa SAUT Malimbe Campus! Karibuni tulijenge jiji la Mungu huo ndio motto wa saut. Pia huku wanasema our culture should be no fee no school
1.chuo kiko malimbe,Nyegezi ni pembezoni mwa jiji lakini ni daladala moja tu from town na nauli ni sh 300. Unapanda basi la...
Habari zenu wadau,
Sasa, naomba msaada wenu nina mgeni nampokea kesho,anahitaji kufikia hotel nzuri kwa kila kigezo lakini ya gharama nafuu hapa dar es salaam..budget yetu inarange kati ya 35 na 40 usd per night.
Naomba mnisaidie kurecommend hotel hizo na gharama zake na adress. Nitashukuru...
Wakuu,
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu ajali ya basi la sabina, ilotokea tabora kwenda mbeya baada ya basi kupinduka.Tbc wameizungumzia pia kwny jambo alfajiri hii.
Tatizo wameeleza kifupi sana. Sie tuna kaka yetu alikuwepo kwnyw hilo basi Hadi sasa hatuelewi fate take hasa ukizingatia...
Wadau habari zenu,
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiperuzi kurasa mwanana za jamiiforums.
Naomba nikiri pia nimekuwa nikitumia nondo(facts) zinazokuwa poured humu ndani sehemu tofauti tofauti na kujipatia credibility ya hali ya juu.
Sasa,ni wasaa mzuri nami kujiunga ili wengine pia wanufaike na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.