Habari zenu wadau,
Sasa, naomba msaada wenu nina mgeni nampokea kesho,anahitaji kufikia hotel nzuri kwa kila kigezo lakini ya gharama nafuu hapa dar es salaam..budget yetu inarange kati ya 35 na 40 usd per night.
Naomba mnisaidie kurecommend hotel hizo na gharama zake na adress. Nitashukuru sana,there are some matters we need to work on urgently.
Sasa, naomba msaada wenu nina mgeni nampokea kesho,anahitaji kufikia hotel nzuri kwa kila kigezo lakini ya gharama nafuu hapa dar es salaam..budget yetu inarange kati ya 35 na 40 usd per night.
Naomba mnisaidie kurecommend hotel hizo na gharama zake na adress. Nitashukuru sana,there are some matters we need to work on urgently.