Search results

  1. L

    Wa Mkwawa High School complex tujikumbushe makanyagio

    Mmemsahau mama Massawe jamani ! Mama alikuwa mnoko yule. Sijui hata sasa hivi yuko wapi
  2. L

    Wa Mkwawa High School complex tujikumbushe makanyagio

    Bora sisi tuliokuwa tunajilia msosi wa DH na vimboga vya majani vya wale wake za walimu.
  3. L

    TANZIA Abeli Motika (Mr. EBBO) Afariki Dunia

    pumzika kwa amani mr Ebbo
  4. L

    Joseph shamba vengu wa orijino komedi

    jamani tuzidi kumwombea hilo ni la muhimu zaidi
  5. L

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Asante sana, hii itatusaidia sana. Kama hutajali naomba namba yako unaweza kuni pm, nadhani nina mambo mengi ya kukuuliza kabla ya kuanza mradi huu.
  6. L

    tra vacancy

    Thanks
  7. L

    Tanzania Airports Authority EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

    <br /> <br /> kweli akatafute qualification kwanza, ushauri mzuri huo
  8. L

    mtoto amezaliwa ubongo wake ukiwa nje.

    Jamani inashangaza sana, Tumwombee huyu mtoto na wazazi wake pia, kwani hakuna kinachoshindikana kwa Muumba
  9. L

    Baraza Jipya la Mawaziri hili hapa...

    Thanx Pasco for this habari.
  10. L

    Nyumba ya kupangisha inahitajika

    Vipi suala la maji? umbali kutoka barabarani? na kodi anaweza kupokea ya miezi sita?
  11. L

    huyu ni nani??

    ha ha ha ha jamani mmmh!!!!!!!!!!!
  12. L

    Msaada tafadhali

    Nataka kufugia Goba kunguru. Thanks kwa ushauri
  13. L

    Msaada tafadhali

    Habari wana jamvi. Jamani naombeni msaada kwa mwenye uelewa, nahitaji kufuga kuku wa mayai ila eneo ninalotaka kufugia umeme bado haujafika, je naweza kutumia nishati gani mbadala. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
  14. L

    ushauri wa haraka jamani unahitajika

    Kama hampendi huyo mwanamke aliyenaye kwa sasa ni bora amwambie mapema asiendelee kumpotezea mwenzake muda, na kuhusu huyo mwanamke anayempenda akubali tu kuwa huyo mwanamke hampendi ki hivyo, kwasababu wazazi hawahusiki na ndoa za watoto wao, kama huyo mwanamke angejua kwamba huyo ni mwanaume...
  15. L

    Huyu mtoto wa kichaga kanibambikia au?...plse help!

    Unapaswa ufahamu mimba haiingii mara mbili hiyo hiyo mara moja mtu anapata mimba, so kukutana naye mara moja au mbili kusiwe sababu ya wewe kuikataa hiyo mimba labda uwe na sababu nyingine au uwe unaelewa siku za mzunguko wa huyo mwanamke.
  16. L

    Huyu mtoto wa kichaga kanibambikia au?...plse help!

    Kama alikuwa hampendi aliwezaje kulala naye? Hiyo ni tabia chafu sana kuwafanya wadada wa watu sehemu za kupumzikia. Na mtaisha kwa Ukimwi kwa tabia zenu hizo.
  17. L

    Pinda hastahili kuwa PM, si mbunge wa kuchaguliwa

    Tupo source. Huo uhakika wako umeutoa wapi?
  18. L

    Mnyika, Lissu wameianza kazi waliyotumwa

    jamani muwe mnatudokeza kidogo sisi tulio nje ya Tz. Huyo mama lazima ajutie uamuzi wake wa kugombea uspika kipindi hiki ambacho watu wameshafumbuka macho, hakuna kuzibwa midomo tena.
  19. L

    Hebu wachek hawa Aspirin sijui ndio Chrispin sina uhakika na Dark City (DC)

    ndio wale wale wa kule kwetu musoma nini? Unakaribishwa
  20. L

    A TOUCH STORY ON MARRIAGE......What do we have to learn?

    so sad ila inafundisha, Thanx kwa hii post
Back
Top Bottom