Habari wana jamvi.
Jamani naombeni msaada kwa mwenye uelewa, nahitaji kufuga kuku wa mayai ila eneo ninalotaka kufugia umeme bado haujafika, je naweza kutumia nishati gani mbadala.
Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Kama hampendi huyo mwanamke aliyenaye kwa sasa ni bora amwambie mapema asiendelee kumpotezea mwenzake muda, na kuhusu huyo mwanamke anayempenda akubali tu kuwa huyo mwanamke hampendi ki hivyo, kwasababu wazazi hawahusiki na ndoa za watoto wao, kama huyo mwanamke angejua kwamba huyo ni mwanaume...
Unapaswa ufahamu mimba haiingii mara mbili hiyo hiyo mara moja mtu anapata mimba, so kukutana naye mara moja au mbili kusiwe sababu ya wewe kuikataa hiyo mimba labda uwe na sababu nyingine au uwe unaelewa siku za mzunguko wa huyo mwanamke.
Kama alikuwa hampendi aliwezaje kulala naye? Hiyo ni tabia chafu sana kuwafanya wadada wa watu sehemu za kupumzikia. Na mtaisha kwa Ukimwi kwa tabia zenu hizo.
jamani muwe mnatudokeza kidogo sisi tulio nje ya Tz. Huyo mama lazima ajutie uamuzi wake wa kugombea uspika kipindi hiki ambacho watu wameshafumbuka macho, hakuna kuzibwa midomo tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.