KARIBU TUITION TEGETA NYUKI
TUNAFUNDISHA MASOMO YA SAYANSI
PHYSICS
MATHEMATICS
CHEMISTRY
KWA WANAFUNZI KUANZIA KIDATO CHA KWANZA MPAKA CHA SITA
PIA HOME TUITION TUNATOA KWA MAELEWANO MAALUMU.
KWA MAWASILIANO TUMA UJUMBE KWENYE NAMBA 0786855280
Salaam Wakuu....
Usiku wa kuamkia jana niliibiwa vipuli vya gari aina ya Caina Ti T711 DEH
Kwakuwa jamii forum ni mtandao mpana nimeona ni vema kuwajulisha ili ambao mna magari mkawa makini msije kukutwa na yaliyonipata.. Vifaa walivyoiba ni side mirror,power window na taa za nyuma, vifaa vyote...
Habari wanandugu:
Nafundisha masomo yafuatayo:
Basic Mathematics na Advanced Mathematics kwa level zote
Physics kwa level zote
Bei ni nafuu sana. Napatikana kupitia number hii 0786855280
Asante
Habari ndugu. Kwa yeyote ambaye anahitaji mwalimu wa kufundisha (home tuition) basi anione. Ninafundisha masomo ya Hisabati (Basic mathematics & advance mathematic) na fizikia (Physics). Ninatumia mbinu za kisasa kumfanya mwanafunzi aelewe vizuri juu ya kile anachofundishwa.
Masomo yatakuwa...
Wadau ninauza viwanja viwili vyote vipo wazo Mivumoni kwa Makamba.
1. Kiwanja cha kwanza ukubwa ni 20*20- Maji umeme vipo na usafiri wa daladala unapatikana mpaka karibu na kiwanja. Bei ya kiwanja ni milioni 14.
2. Kiwanja cha pili hakipo square. Ukubwa wake ni kama ifuatavyo;
-...
Nilikutana na mpenz Wang cku za hatar. Awal alidai anackia dalili za mimba tulivopima hakukutwa nayo. Baadae mpenz Wang akanambie alinunua flag il akanywa masaa saba baada ya ten do kwa lengo LA kuzuia mimba kutungwa... kwa kwel ckumwelewa maana cjui kama flag il zina mahusiano na mimba. Wadau...
Habari wanajamii forum wenzangu....
Kwa yeyote anayefahamu dokta au mtaalamu yoyote anayehusika na maswala ya usingizi naomba anijuze hapa niweze kumuona. Kifupi nakosa usingizi kwa muda mrefu hivyo nataka niende hospital kwa tiba.. Asanteni kwa maoni na ushauri
Habari wana jamii wenzangu!... Awali ya yote niwasalimu katika bwana. Kwa anayefahamu samaki aina ya pono ningependa kujua anasaidia nini katika mwili wa mwanaadumu. Nasikia analeta usingizi naomba mnijuze ndugu zangu.
Asanteni!
Habari wanajamii mimi ni kijana umri miaka 27.
Nina tatizo kubwa la kuwahi kumaliza(kuwahi kufika kilele) hii inanipa tabu sana mana mpenzi wangu nakuwa simlizishi kwakweli ananivumilia sana kwa hali yangu. Naomba msaada wa ushauri wowote ama tiba kamili ya kuondokana na adha hii mbaya sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.