Hapo mke huna ndugu yangu. Hilo penzi lao ni hatari na lipo live ushahidi ni mawasiliano yao. Pia huyo mwanamke anampenda jamaa yake hatari kiasi kwamba aliamua kukudanganya. Je uendelee kuishi naye huku humuamini au uanze upya. Hata kama alitembea naye kabla ya kuwa na wewe why wanawasiliana...
Naungana na wewe mkuu. Vijana wa Tanzania kama alivyoeleza mtoa mada ni kweli kuna tatizo. Mimi nimeona na kujiridhisha hasa utendaji kazi vijana wengi hawapo makini kama vijana wa nchi zingine. Wakipewa kazi hawafanyi kwa umakini na kujali muda pia mazungumzo yao mengi hayana tija ktk kujenga...
Upo sahihi, hata ukimchukua mtoto mdogo uanze kumfundisha basic za mpira utagundua mpira na miguu haviko sawa, ila anavyozidi kujifunza ndo mfanano wa miguu kwenye mpira huongezeka, hii ina maana kujifunza mpira tangu mdogo kuna utofauti mkubwa na ukiwa mtu mzima. Nimeshuhudia mtu mzima asiyejua...
Mkuu,
Nakuhakikishia hujapigwa. Binafsi ilinitokea Be Forward nilinunua gari tarehe 19 May 2021 nimepokea gari August 21, 2021.
Tatizo corona imeleta shida biashara na usafiri wa meli. Nilipata gari bora kabisa.
Uwe mvumilivu hizo ni kampuni kubwa huwezi kudanganywa.
Ndiyo mkuu, na ni kiungo chenye virutubisho kuliko karanga. Unaweza kugoogle "macadamia farming in malawi" kuna video ya wanavyotumia macadamia kama kiungo kijijini huko
Ndiyo wapo ila mwakajana ndo waliniunganisha mimi na Lima ambao ni Vwawa. Nilichojifunza kwa sisi watanzania watu wanaongea sana ila ukienda ktk uhalisia si hivyo. Kwa mfano mwaka jana niliwasiliana na jamaa yupo SUA akasema miche ipi na grafted na ya kutosha lakini nilivyofika pale miche haipo...
Ndugu Matindi94,
Kujibu maswali yako napenda kukupa uzoefu kama ifuatavyo kwa sababu mimi pia ni mdau katika kilimo cha Macadamia.
Macadamia (au karanga mti kwa kiswahili) ni zao jamii ya nuts au karanga kama vile korosho.
Hustawi vizuri katika maeneo ambayo hulimwa parachichi, kahawa au...
Mkuuu huo wizi ulitokea pia hapa Njombe jamaa yangu mke wake alikutwa na issue kama hii. Jamaa walikuja na issue za namba za tigo ila waliiba hela kupitia simbanking milioni 2 iliyokuwepo bank, pia simu ya mke wa jamaa yangu hao wezi waliishika kama anavyoeleza mhusika, ila baada ya wale wezi...
Upo sahihi mkuu, mitiki si kwa ajili ya nguzo. Huu mti ni 'the king of the woods' sifa kuu ni ugumu na kutoharibiwa na mdudu yeyote na matumizi makubwa yanayofanya uwe ghali ni kutengeneza floor za nyumba za kifalme na malkia pia linning kwenye boat za kifahari. Tukumbuke ni mti unaostawi mita 0...
Mimi natoa 15 minutes kinyume na hapo naamini hakuona umuhimu pia akijua natunza muda next time hafanyi ujinga. Yaani apoointment achelewe masaa matatu? Hamna kazi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenzao hupanga plan hata miaka miwili, na pesa ikiibwa hata police wanachemka kusaka ushahidi na watuhumiwa. Jamaa wametia aibu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.