SI JAMBO GENI KWA KOCHA KUMBRAND MCHEZAJI ILI APANDE THAMANI, TATIZO NI PALE LINAPOFANYIKA KWA MASILAHI BINAFSI, UTAKUTA HUYO MOLINGA ANA MKATABA WA MWAKA MMOJA TU
Wakuu habarini! naomba mwenye kujua kuhusu gharama za uwekezaji wa biashara ya mafuta, ukianzia na mantaki, mita na ujenzi wa miundo mbinu ya kituo, biashara hii nataka kuifanya dodoma. kiwanja ninacho tayari. naomba kuwakilisha
Tucta ni jipu lililoiva tayari, wamekuwa watetezi wa serikali badala ya wafanyakazi, rais aliwadanganya wananchi kwamba atawaongezea mshahara kwa kupunguza paye mpaka leo hola, viongozi wa tucta wao bize kueneza sera za ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.