Mkutano Wa Chadema London
M4C LONDON
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO CHADEMA KINAPENDA KUWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAISHIO LONDON NA SEHEMU ZA JIRANI KUWA KUTAKUWA NA MKUTANO WA UFUNGUZI WA TAWI LA CHADEMA LONDON. TAWI AMBALO LITAFUNGULIWA NA MHESHIMIWA GODBLESS LEMA
UFUNGUZI HUO UTAFANYIKA...
Hoja unayo Nape, sema umeiweka kifasihi sana kiasi cha kwamba wasomaji wengine hatukuelewi. Na huenda kosa la msingi limefanywa na mtoa hoja ambaye amekimbilia kukushambulia badala ya kutoa hoja.
Angeuliza hivi, Nape unajiskiaje kutokana na maendeleo ya siasa ndani ya chama chako hasa baada ya...
Madiwani washtushwa upotevu wa Shangingi la halmashauri
Send to a friend
Wednesday, 01 August 2012 21:13
Ester Sumira,Geita
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato,mkoani Geita wamemtaka Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Charles Maisha kueleza lilipouzwa gari jipya la halamashauri...
Mheshimiwa mbunge naomba ulitolee tamko hili la viwanja vya Gezaulole!
Kwanza wale waliokuwa na mashamba yale walidhurumiwa na wilaya ya temeke kwa kisingizio cha uendelezaji mji,lakini ilikuwa ni mbinu ya wakubwa kuwadhurumu wananchi asilia.
Sasa, tunakuomba uwaulize na wakupe takwimu...
1. Hussein mwinyi waziri wa afya=mtoto wa Ally Hassan Mwinyi.
2. vita kawawa na dada wake wabunge wa CCM =watoto wa Rashid Kawawa.
3. David matayo mbunge na naibu waziri wa CCM=mtoto wa Cleopa Msuya.
4. Binti wa sokoine mbunge CCM Arusha=mtoto wa Edward Sokoine.
5. Mtoto wa bilali mbunge wa east...
KWA MNAOFATILIA SANA SIASA ZA TANZANIA UAMSHO NI KIKUNDI KILICHOASISIWA NA CCM KUISAMBARATISHA CUF SASA MATUNDA YAKE YAMEANZA KUONEKANA BAADA YA CUF KUJIUNGA NA CCM WANAUAMSHO WAMEKOSA PA KUEGEMEA WANANZA KULIPIZA KISASI KWA MGONGO WA DINI,WAMECHOMA MAKANISA BILA KUGUSWA,WAMETANGAZA WATAKAOVAA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.