Hoja unayo Nape, sema umeiweka kifasihi sana kiasi cha kwamba wasomaji wengine hatukuelewi. Na huenda kosa la msingi limefanywa na mtoa hoja ambaye amekimbilia kukushambulia badala ya kutoa hoja.
Angeuliza hivi, Nape unajiskiaje kutokana na maendeleo ya siasa ndani ya chama chako hasa baada ya mwenyekiti kuuthibitishia umma kuwa Mh. Chenge ni safi na juzi kwenda Monduli kukabidhi ngombe kazi ambayo hata waziri wa mifugo angeifanya, na tafsiri ya wengi ni kuwa ameenda kuuonesha umma kuwa Mh. Lowassa ni safi.
Je, matendo haya ya mwenyekiti wako yatakubadilisha mtazamo wako juu ya watu hawa? Nini maoni yako. JAMANI NAOMBA TUSIKIMBILIE KUTOA LUGHA CHAFU AMBAZO MWISHO WA SIKU ZINATUFANYA TUKOSE KUPATA TAARIFA NA KUWAPA WATU HAKI YAO YA MSINGI YA KUJIELEZA.
Nape ningeomba unijibu maswali yangu.
Angeuliza hivi, Nape unajiskiaje kutokana na maendeleo ya siasa ndani ya chama chako hasa baada ya mwenyekiti kuuthibitishia umma kuwa Mh. Chenge ni safi na juzi kwenda Monduli kukabidhi ngombe kazi ambayo hata waziri wa mifugo angeifanya, na tafsiri ya wengi ni kuwa ameenda kuuonesha umma kuwa Mh. Lowassa ni safi.
Je, matendo haya ya mwenyekiti wako yatakubadilisha mtazamo wako juu ya watu hawa? Nini maoni yako. JAMANI NAOMBA TUSIKIMBILIE KUTOA LUGHA CHAFU AMBAZO MWISHO WA SIKU ZINATUFANYA TUKOSE KUPATA TAARIFA NA KUWAPA WATU HAKI YAO YA MSINGI YA KUJIELEZA.
Nape ningeomba unijibu maswali yangu.