Ndiyo hiyo hiyo hakuna nyingine! Watoto wahabugudhiwi na yeyote, hakuna mwalimu, hakuna madawati, hakuna vitabu, hakuna fujo, kuko shwariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wanasoma kwa raha kabisaaaaaaaaaa! Hali hii inanipata hasira sana, EE Mungu nisaidie nisije ua mtu hapa duniani, maana kuna watu wanafanya wenzao wajinga sana. Watoto wao wanasoma wa kwetu wanahudhuria kwenye jengo mfano wa shule. shhht!
Mungu wangu ni Tanzania au ni ndugu waliopata uhuru juzi ie Nambia au Msumbiji au hata Somalia kwa Alshabbab?? Kwa nchi tajiri kama TZ na tukiona hivi tusishangae kuwa jimbo hilo lina Mbunge, waziri na pengine rais ametoka huko. Mimi sishangai hapa tulipo twaweza kuona mambo mpaka tukazirai, ni kije kizazi chenye usongo na nchi hii iliyojaa maziwa na asali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.