Search results

  1. M

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Mkuu. Hivi unaijua "Nature" journal wewe au unakurupuka tu? Kupublish as a collaborative capacity na kujumuishwa katika authorlist bado ni jambo kubwa SANA. Kwanza, high-end research siku hizi ni collaborations, hasa katika biomedical research. Kwahiyo kuwa first author sio ishu. Siku hizi kuna...
  2. M

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Mkuu. Nadhani inabidi uainishe katika mada yako unaongelea wasomi (PhD holders) katika fani gani. Kwasababu, mada yako ipo kiujumlajumla utadhani waTZ wote walipiga PhD mtoni hawaandiki publications za maana. Nimeanza kwa hilo, kwani katika fani ya tiba, au magonjwa ya maambukizi kuna watanzania...
  3. M

    Siasa za big results now (BRN)

    Siasa porojo. Leo nimeona hii pia. Yaani wanalinganisha takwimu za ufaulu wa Div 1-3 wa mwaka 2012, na ufaulu wa Div 1-4 wa mwaka 2013 na kudai ufaulu umeongezeka maradufu (kutoka 10% mpaka 58%)! Isitoshe, matokea ya 2014 yamekokotolewa tofauti na miaka mengine, kwahiyo hayawezi kutumiwa...
  4. M

    Watanzania waliosoma Havard

    Nchi yetu inahitaji sana wasomi kutoka vyuo hivyo.
  5. M

    Mtanzania McKinsey & Co

    Wakuu. Hivi kuna mtanzania yeyote anayefanya kazi McKinsey & Co? Naona kama wabongo tupo nyuma kidogo katika hii sekta ya management consulting. Hasa katika hizi Big Three: Bain & Co, McKinsey & Co, BCG.... Tupeane data kuhusu namna ya kujitayarisha na interview...
  6. M

    Kipi kifuatacho baada ya ugunduzi wa dawa ya ukimwi/

    Jamani. Hamna dawa mpya ya ukimwi - tuwe wafuatiliaji wa makala na tusiruke kwenye conclusions. Soma hapa kwa zaidi: Dawa ya UKIMWI - huu ndiyo ukweli... - wavuti
  7. M

    Mt Kilimanjaro, Kenya

    Uzalendo pembeni. Watani wetu wa jadi wana taswira nzuri ya mlima wetu. Fresh snow covered Mount Kilimanjaro seen at sunrise from Ambuseli game reserve in Kenya, May 04, 2008. (MLADEN ANTONOV/AFP/Getty Images)
  8. M

    Rhodes Scholar

    Ni kweli. Tanzania haihusiki na Rhodes scholarship. Ila cha kufurahisha. Nchi karibia zote za kusini mwa Africa (SADC) wanachaguliwa. Tanzania inarukwa huku Kenya ikipeleka wanafunzi Oxford University kupitia scholarship hii. Baadhi ya wanafunzi wa Kenya waliowahi kupata hii scholarship katika...
  9. M

    Tibaijuka Kumvaa Masilingi?

    Naona mzee FMES anajirudia rudia. * Kuwa ubunge wa kuteuliwa, na Uwaziri wa mambo ya nje wa Dr. Migiro haumaanishi kwamba automatically ana uwezo zaidi kiuongozi na utendaji kuliko Dr. Tibaijuka. Umeelezwa ya kuwa nyadhifa ya D-SG ni ya heshima ila ni appointment ambayo kiutendaji ni kama...
  10. M

    Tibaijuka Kumvaa Masilingi?

    mkuu, hakuna mwanamke yeyote Tanzania sasa mwenye accomplishments zenye uzito mkubwa kama za Mama Tibaijuka, hapa tunaongelea record at office. Tutabishana hapa mpaka kesho. from UN-HABITAT web. "...... Anna Tibaijuka is the first African woman elected by the UN General Assembly as...
  11. M

    Seith Chachage

    RIP Comrade Chachage. Just to keep the record straight, rekodi ya mhadhiri aliyepata uprofessor kwa kasi kushinda wote Tanzania inashikiliwa na marehemu Prof. J F Rweyemamu. Msomi huyu alipata uprofessa UDSM akiwa na umri wa miaka 29, mwaka 1971. At that age alikuwa tayari ana machapisho...
  12. M

    Mwalimu Hamisi ana moyo sana?

    I propose "Saidia shule ya msingi Saninga Fund"
  13. M

    Msaada Wenu Wandugu

    you can't even find relevant info about Tanzania on google, let alone Tanzania sports
  14. M

    Kwanini PCM wengi wanaenda commerce na BAF?

    mkuu. in 20 years, hii nchi haitakuwa na wanasayansi au wahandisi. Kwanza hisabati vijana wengi wanafeli? Pili, wale wanaofaulu somo hili na yale mengine muhimu katika fani nilizotaja (Physics, Chemistry, Biology) hawaendelei nayo baada ya form 6. Kwahiyo wanaoweza hisabati na physics wanaenda...
  15. M

    Kwanini PCM wengi wanaenda commerce na BAF?

    je, wale waliosoma biashara sekondari wanapetaje katika job market ukilinganisha na wa PCM?
  16. M

    Kwanini PCM wengi wanaenda commerce na BAF?

    Tatizo curriculum ya kozi za engineering TZ ni mbovu, na vijana wengi sahivi wanaona ni heri kwenda kusoma biashara na kuanza kushika pesa mapema kuliko kwenda kuumia na ma'ikweshenz na kutokuwa na uhakika na kazi baadaye.
  17. M

    Kwanini wahaya wanaogopwa?

    Mimi wahaya wanachonifurahisha ni mapenzi yao na elimu. Hapo tu! Nchi nzima ingekuwa na moyo kama huo ingekuwa poa sana.
  18. M

    Welcome to Ukonga - WAKAZI

    Another hot track from the "Miksitepu Ya Ukweli" by Wakazi http://www.youtube.com/watch?v=AIq7HUiYGW0&feature=related wa Ukonga, ya kweli hayo?
Back
Top Bottom