mtatifikolo
Member
- Feb 9, 2008
- 43
- 7
Wakuu. Hivi kuna mtanzania yeyote anayefanya kazi McKinsey & Co?
Naona kama wabongo tupo nyuma kidogo katika hii sekta ya management consulting. Hasa katika hizi Big Three: Bain & Co, McKinsey & Co, BCG....
Tupeane data kuhusu namna ya kujitayarisha na interview.
https://www.youtube.com/watch?v=2C5a2L5NHl0
Naona kama wabongo tupo nyuma kidogo katika hii sekta ya management consulting. Hasa katika hizi Big Three: Bain & Co, McKinsey & Co, BCG....
Tupeane data kuhusu namna ya kujitayarisha na interview.
https://www.youtube.com/watch?v=2C5a2L5NHl0
Last edited by a moderator: