murutongore
Acha kujiunga na waTZ wenzangu wachache wapenda vita,kwa kuchukua picha moja kama kielelezo, wakati kuna picha nyingi wamepiga,Ni vizuri kutafuta amani na watu wote , na kwa hili uwa namuunga mkono JK japo siipendi ccm, ktk kadhia hii ameetembea na maandiko ya neno la...
1Sam9:15-17 Basi Bwana alikuwa amemfunulia Samweli, siku moja kabla Sauli hajamwendea, akisema,
Kesho, wakati kama huu, nitakuletea mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe mtie mafuta ili awe mkuu juu ya watu wangu Israeli, naye atawaokoa watu wangu na mikono ya Wafilisti; maana nimewaangalia...
Mkuu FL1
Zab1:1Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu,
Wala hafuati njia ya wenye dhambi au kukaa katika baraza la wenye
mizaha.(Siku ya wajinga ni kazi ya mfalme wa anga.Mkuu Waberoya upo!!?)
Joshua1:4 Nchi yenu itaenea kuanzia jangwa hili hadi Lebanoni, tena kuanzia mto huu mkubwa, yaani, Eufrati, nchi yote ya Wahiti, hadi Bahari ile Kubwa ndiyo Mediterania iliyoko upande wa magharibi. 5Hakuna mtu ye yote atakayeweza kushindana na wewe siku zote za maisha yako. Kama vile nilivyokuwa...
Mzee Mwanakijiji..Sisi tunaoangalaia kwa jicho la mtu wa ndani,Pale ni madhabahu,ndiyo maana hakuna damu pale imeenda wapi!!!?angalia vizuri picha za ajali vizuri.pale panahitajika kuachilia damu ya YESU ndio kweli pekee,hakuna sayansi
[COLOR="Blue"]Lakini hili siyo kila tom dick and harry can harass you. Kama unasafiri sana utawajua nani ni Immigration na nani ni Custom officer. Custom officer akiuliza passport ni verification tu[/COLOR]
Mzee Waga1 inaonekana unasafiri sana. GT asafiri sana kwahiyo hajui kutofautisha,au na...
JUMLA ya vocha za pembejeo za kilimo 1,114 zenye thamani ya zaidi Sh 21 milioni kati ya vocha 34100 zilizogawiwa kwa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro zimepotea katika mazingira mbalimbali kwa mawakala wa kata tatu za Manispaa ya Morogoro.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi mjini...
Hakuna kabila la Kichagga,kuna Wa-Machame kuongea kwao awasikilizani na Wa-Rombo,na Wa Rombo awasikilizani na kibosho nk, Kwa hiyo hawa ni kabila tofauti.Labda Lugha sio kabila.
Mkuu Bujibuji unachanganya Mfalme Daudi yeye ndiye aliyeua jemadari wake sio Suleman,samahani nilikuwa naweka sawa,watu wengine hawasomi biblia wasije qoute vibaya.amani iwe nawe
.
Barubaru.Tatizo naona ni kwasababu Waraka wametoa Wakatoliki.Hata Kakobe anajua kuwa Waraka wake hauwezi leta tofauti. WaTZ na hata Mafisadi wasingejali/wasingeshughulika. Malumbano yanavyoendelea inakula upande wa Ufisadi na chama tawala.ngoja tuone muda utasema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.