sijui tunakwenda wapi majuzi basi limegonga bodaboda bila kujua mwenye kosa ni nani huko singida wanachi wakaamua kuchoma basi moto....sasa hili nalo sahihi mambo mengine tujiangalieni jamani
Nimegundua Jf msaada ukiomba wakufanya biashara unaweza ukakata tamaa mpaka ukaamua pesa yako ukaitie kiberiti tu ...embu nenda vijiweni kwa wajasiliamali wadogo wadogo usikie ushauri wao humu ndani utapagawishwa tu؟
hao wote wanaokwenda kanisani na misikitini kwa kufanya siasa wameshapoteza muelekeo kabisa tanzania yetu hatutaki udini wala ukabila hapa,!wasituletee fujo kwa maslahi yao binafsi.
ila upelelezi unaweza hata kukamata watu zaidi ya mia ukiendelea kuwahoji na hiyo itasaidia kuengua wasiohusika ila kusaidia polisi kwa upelelezi na kuwa na uhakika na wanachokifanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.