wabara msijidanganye na ulimwengu wa sasaiv, mzanzibar ana uwezo wa kuishi maisha bora bila hata kugusa bara, dunia ni ndogo sana zenu ni pumba tu na ndio maana wanajiamini kudai nchi yao, mbona nyinyi hamudai tanganyika yenu? na mumesoma sana?
wabara je? nyinyi mukoje? nyinyi ni wezi na muungano huu ukivunjika nyie mutauwana, mbara hakuna anaemuamini mwenzake ndio maana kuwepo kwa wapemba bara kunasaidia kuwafundisha ustaarabu ni vip binadam anatakiwa aishi, nyinyi wabara ni kama wadudu.
Wafahamishe wabara hawa ndio maana tunasema hawana akili kazi yao ni wizi na pombe,sasa mpk waznz wawasaidie kudai tanganyika yenu? mbona nyinyi mumekaa kimya? hapa mwenye elimu ni nani? nyinyi tukiwatoa sisi kwenye mikono yetu mutakua watumwa wa nchi nyengine kama c uganda au kenye.
hii kama ulikua hujui ss waznz tunajua kabla ya hili swala la katiba, na kwa kuthibitisha kikwete aliwaunganisha aman na seif sharif ili kupata nguvu ya kuuvunja muungano,
(1) Kilomita kumi kutoka ukanda wa pwani, hili sio jambo la kuzungumza kisiasa tu hili liko umoja wa mataifa na mipaka yote inajulikana. (2) Kiti cha umoja wa mataifa kilichoka sio cha TANGANYIKA ni cha ZANZIBAR.
wewew una bahati sana unaweza kuongea maneno kama haya humu kwenye jf, hebu jaribu siku moja uonge mtaani tukusikie, au jitambulishe vizur, nitahakikisha tunakuhesabia siku, kama ww walikuepo ulizia tuliwafanya nn?
Wazir anasema katiba mpya ndio itakayotoa ufafanuzi ni muungano upi wananchi wanautaka, wakati rais yeye anawatisha watu wasiujadili kabisa kwenye katiba mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.