Nahitaji upande wa nyumba maeneo ya mikumi

Nahitaji upande wa nyumba maeneo ya mikumi

Kuna nyumba nzima! USD 650/month 4 bedrooms 2 bathrooms parking, fenced water tanks and more. itakuwa wazi kuanzia 1st.july.2012 malipo ni kila mwezi. ukiamua kulipa miezi zaidi. its absolutely up to you. Pm kama vipi.
 
Samahani kidogo,swali langu ni kwanini watanzania tunaishushia hadhi pesa zetu wenyewe kwa kuweka curency za kigeni?Kwanini hatutumii pesa zetu na kuipa ujiko pesa za wengine?Ni swali ambalo muda mrefu hujiuliza lakini sipati jibu.Tupende vyakwetu jamani na tuvithamini.:yo:
 
Samahani kidogo,swali langu ni kwanini watanzania tunaishushia hadhi pesa zetu wenyewe kwa kuweka curency za kigeni?Kwanini hatutumii pesa zetu na kuipa ujiko pesa za wengine?Ni swali ambalo muda mrefu hujiuliza lakini sipati jibu.Tupende vyakwetu jamani na tuvithamini.:yo:

simple. kutamka $650. ni rahisi kuliko $650x1650= 1,072,500.

nafikiri akisema kwa Tshs inatia hata Aibu. kodi ya miezi sita ni msingi wa nyumba aisee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom