Mimba isiyotarajiwa ni mimba ipi?
Maana Hadi mnavua nguo na kusex bila kinga hamkujua matokeo yake?
Mkuu, nakusihi uwe mpole Tu, usimpanikishe bint wa watu jitahidi kumpa ushirikiano.
Mnaweza kulea Tu mtoto pasipo mchumba wako kujua.
Mimi ni wewe Kabisa, Sema Mimi nategemea mapacha April...
Mkuu mabank mengi yanatumia Mfumo wa Calculator ya EMI kupigia hesabu mikopo Yao.
Mimi kabla sijakopa nilipiga hesabu Kwa calculator ya EMI na hesabu zilikuja Sawa na za bank.
Una hoja, Ila binafsi sioni Tatizo la kuhubiri habari za Mungu mitaani.
Mimi ni muislam, Ila kamwe sijawahi kuchukizwa na mahubiri ya wanaomtangaza Mungu.
Hakuna dini inayohamasisha matendo mabaya. Dini zote zinatuhimiza kutenda wema na kuacha mabaya.
Kwa jamii yetu ilipofikia, watu wengi...
Acha kuwa na mawazo ya kizamani ww
Hii ni dunia huru, sio dhambi kutamani anachokipenda.
Kufunga nywele ni hobby Tu ya mtu. Hamuwezi kufanana kifikra.
Kila mtu na style zake, Acha kumkebehi mwenzio.
Ila wanawake muna huruma Sana.
Ni rahisi mwanamke kumsapoti mwanamke mwenzie Ila sio Sisi wakiume.
Cha kuzingatia ni kuwa na vimradi viwili au vitatu ili vikusaidie unapopata matatizo.
Sisi wengine hata tupate matatizo kiasi gani hatuwezi kujieleza Aiseeh!
Aiseeh!! Kweli watu tumetofautiana.
Kwa muundo ule mbona naona Kama linatisha afu lipo chini Sana.
Mimi huwa najiambia gari nyingi zilizopo chini sana ni kwaajili ya dada na mama zetu.
Mkuu Kipendacho roho lakini, Kila la Kheri
Kwa mtazamo wangu, nadhani wakati sahihi WA kufurahia maisha ni pale ambapo wewe mwenyewe unaona Kabisa upo vizuri kiuchumi, kielimu na kimahusiano iwe na Mungu au mpenzi wako.
Usipende kuyazingatia maneno ya watu, sababu mostly wanaokwambia hivyo hawajui umetoka wapi, umepitia yapi na upo...
Uzuri WA nyumba au chumba iwe ndogo au kubwa ni nidhamu ya usafi Tu.
Kama unajijua ww sio msafi Wala mstaarabu kuishi kwenye eneo dogo kwako ni mtihani.
Na usafi ni tabia sio kila mtu anayo.
Eti "Iryn unachochukia na kuninunia ni nini, wakati hatuna mahusiano yoyote Kati yetu"
Mkuu, umefeli Sana hapa, hii sio kauli ya kuitoa Kwa mwanamke ambaye inaonesha anakuelewa Sana.
Afu inaonekana Huwezi hata kubembeleza kidogo, Iryn anaamua Tu kusema muondoke hakuna Tena maongezi nawe...
Kisheria na kiutaratibu matokeo ni Kwa ajili ya aliyefanya mtihani sio Public.
Siungi mkono matokeo kutolewa Kwa majina, Hata Kama zamani walitoa Kwa majina Hilo halihalalishi kuwa ni sahihi.
Jukumu la kuona matokeo ni Kwa aliyefanya mtihani pekee. Awadanganye wazazi wake au laah!! Hiyo ni...
Kwa mtazamo wangu, watu wanaopenda kuwafatilia wenzao Kwa kila kitu na kila muda awe mwanamke au mwanaume ni watu ambao naona Kama Wana matatizo ya akili.
Kiufupi sio watu wazuri wa kuwa nao kwenye mahusiano, haya matukio ya kuchinjana na kuuwana Kwa wapenzi ni moja ya matokeo ya kutopeana...
Mwamba mbona design Kama unayumba hivi?
Unaanzaje kwenda kikao cha kikazi na mchepuko Mzee.
Eti Ooh upendi kubishana na mwanamke, unadhani dunia hii Kuna mwanaume aliyefanikiwa bila kubishana na mwanamke.
Uyo Prisca ungemkazia Tu unaenda kibishi then unarudi na zawadi yake analainika maisha...
Aiseeh!! Yaani hakuna Jambo Baya Kama mwanamke akianxa kukuchukia.
Ni hatari Sana, hasa mwanamke ambaye alikuwa anakupenda.
Anaweza kukuharibia ndani ya Dakika Tu. Mbaya zaidi ni kama uyo mwanamke atakuwa ni mtu unayemtegemea Kwenye hustle zako.
Ndo mana huwa sipendi mahusiano ya mapenzi...
Siku utakayoanza kumuelewa mwanamke, ujue ndo siku ambayo umeanza kuwehuka.
Hao viumbe ni pasua kichwa, Wana Mambo mengi Sana. Ukiwaendekeza hutotoboa.
Katika vitu ambavyo huwa navizingatia katika harakati za maisha ni pamoja na kuishi sehemu ambayo upatikanaji wa maji ni rahisi.
Aiseeh siwezi kukaa siku mbili kuoga.
Muajemi kashazingua, sijui kalopoka nini Kwa Iryn? Yaani unaweza kukuta mtu ni tajiri Ila Kwa upande mwingine mweupe kichwani Hana cha maana ni mjinga mjinga Tu.
Kweli Mungu hakupi vyote Aiseeh!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.