Kwa kweli ww unapaswa kuchunguzwa kiafya zaidi. Sio mzima wewe lazima una ugonjwa wa akili yaani tukumbatie wezi??? hata hai CDM wakiiba watawajibishwa tu...
natafuta nyumba ya kupanga, iwe Tabata Kinyerezi, iwe na vyumba viwili, sebule, jiko na choo. Parking ni ya muhimu. Mwenye nyumba awe tayar kupokea miezi sita na isizidi laki 2 kwa mwezi
Kampuni ya Mek-Elekt inajishughulisha na electronic renovation, installation za CCTV cameras. Environmental cleaning, Car Rental, kutengeneza uniform za aina zote. Karibuni sana wadau. Kwa mawasiliano zaidi ummylard@gmail.com
angetueleza uswahilini anapaswa aishi nani??? na ni vigezo vipi vinatumika kupaita mahala uswahilini??? Je yeye yupo bungeni kutetea wananchi au kuanza categorization za uswahilini na anapopajua yeye. Hapa ndio anatuonesha jinsi wanavyotujengea matabaka. sijui nani kapeleka hii kitu bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.