Pole sana, Usikate tamaa hata kidogo hii hali inapita ,mawazo ya kujiua sio solution kabisa jaribu kutafuta watu wakupe ushauri wa kiroho, Mimi nakushauri mpe Yesu maisha yako yeye atakupa neema ya kipekee sana, Usiwaze tena kujiua kabisa ni dhambi lakini pia ukifa kwa njia hiyo lazima jehanamu...
Nyumba inakodishwa, ni two in one apartment zenye vyumba vitatu vya kulala, choo cha ndani, kimoja na cha nje kimoja kwa kila apartment, luku ya umeme kila apartment, jiko, sitting room, feni kila chumba na sitting, floo tiles, parking ndani ya fensi. Maji mpaka ndani.
Kodi kwa mwezi ni Tshs...
Km kweli huyo dada ameokoka nakushauri usipoteze muda maana maisha ya kuokoka yana muongozo wake na taratibu zake ambazo sasa anazifuata ndo maana anakuvutia. Unawezza jitahidi kumpata but upande wa pili yaani yeye atakuwa ameasi ulokole wake ndipo atakuwa mtu wa kawaida kama wadada wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.