Kwenye pato la muungano Zanzibar inachangia % ngapi na Bara wanachangia % ngapi? jibu kwanza kabla ya kukimbilia kwenye porojo za wanasiasa. Zitto ni mchumi so nina uhakika anaujua ukweli ila anatafuta kiki tu
Wahudumu wa lodge asilimia kubwa wanaliwa kimasihara sana na wateja, hususan wale wanaolala zaidi ya siku moja. Kuna wale wababa wanaoenda kikazi sehemu analala siku 3 hadi wiki, usipokula umejiamulia tuu. Hapo wala hutongozi, vistori flani flani tu hivi mara umemuagiza kitu flani, mara...
Umezingua sana mwana. Mimi natamani kama sheria ingeruhusu nipewe changu mapema at 50 maana kuna fursa kibao naona zinanipita kwa sababu ya kubanwa na taratibu na sheria kibao za mwajiri sipati muda wa kufanya full utilisation of my potentials
Hilo kundi la wawakilishi waondoe, hao kwa TZ siyo sehemu ya wananchi na hawapo kwa maslahi ya wananchi, japo hutumia wananchi kwa kuwahadaa kana kwamba wapo kwa ajili ya wananchi, ila ukweli hawapo kwa ajili ya wananchi. Kama mbunge anashinda ubunge kwa tamko la Rais na hakuna anayehoji hapo...
Mkuu sisi wanaume tunajuana, kudate mke wa mtu watu wanafanya sana, ila kuna vigezo na masharti vya kuzingatiwa. Wewe nimekushangaa sana hapo kwenye kwenda kulala kwake hadi unacheza na watoto wa mwanaume mwenzako hapo nimeshangaa sana. au ndo ile kusema mapenzi upofu
Kwani wakati unamchakata hujui kama ni mke wa mtu? ila wee una roho ngumu kama paka, hadi unaenda kulala kwake? hadi watoto wake unawaletea zawadi? Kwa taarifa yako Hao watoto ndo informer wazuri kwa baba yao akirudi toka safarini. Vaa kiatu cha huyo mwanaume mwenzako mkeo afanyiwe hivyo...
Hii nchi ngumu sana. Tukifika kiangazi tutaambiwa ukame maji yamepungua sana na bado tutakosa umeme. Zikinyesha mvua tutaambiwa mafuriko yamezidi. Naanza kumkubali Msukuma anavyotukana wasomi
Wacha upigwe tu hadi akili zitakapokukaa vyema. Mabinti wamejaa mtaani unakosaje binti wa miaka kuanzia 27 hadi 30s. kuna mahali unafeli, wenzio tunalemewa tunashindwa kuwakwepesha wewe huwaoni, really?
Unampa mwalimu kishikwambi ili hali alipo hata umeme hakuna, mtandao hakuna. Labda hamjatembea nchi hii kuna sehemu ukienda mitandao ya simu kati ya voda, airtell, tigo na halotel, unapatikana mmoja tena kwa mbaaaaaali. tena utumie simu kiswaswadu, haya masmart phone hayashiki network.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.