Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,023
- 13,210
Au kwasababu niko mjini ila ndani ndani
Ndo maana siyaoni ..
Ipo moja tu Iringa nzima.
Ndo maana siyaoni ..
Ipo moja tu Iringa nzima.
GHALAMA ndio nini?Au kwasababu niko mjini ila ndani ndani
Ndo maana siyaoni ..
Ipo moja tu Iringa nzima.
Watu wa ukanda huo hasa Wabena na Wahehe wana changamoto ya L na R. Sehemu ya L wanaweka R na kinyume chake. Na ukiwasema WanajinyongaGHALAMA ndio nini?
Kwanini mkuu, naomba maelezo zaidi kwani ni moja kati ya gari ninazotamani kuwa nayohamna gari humo
Bima wana body design inayo vutia watu wengi sana, shida kukaa nalo,Kwanini mkuu, naomba maelezo zaidi kwani ni moja kati ya gari ninazotamani kuwa nayo
Hapo sijakuelewa vizuri mkuuBima wana body design inayo vutia watu wengi sana, shida kukaa nalo,
Afu gari yenyewe ina namba plate za sauzi. hata yule jamaa anaeitumia ile bmw sio yake.Au kwasababu niko mjini ila ndani ndani
Ndo maana siyaoni ..
Ipo moja tu Iringa nzima.
Afu gari yenyewe ina namba plate za sauzi. hata yule jamaa anaeitumia ile bmw sio yake.
Niko pale anapo park ile BMW the whole day, kile ndo kijiwe changu!!!!Hahahaha uko Iringa sehem gani
Mbona keleweka.Hapo sijakuelewa vizuri mkuu
Ukipata muda fafanua zaidi
Gari nyingine ninayopenda ni Lexus saloon IS ila wakati napekua picha zake mchana huu nimedondokewa na nyoka kichwani (nilikua chini ya muembe) nimepata mawazo sana mpaka Sasa akili haijatulia
Niko pale anapo park ile BMW the whole day, kile ndo kijiwe changu!!!!