Search results

  1. J

    kwa wajasiriamali wa sekta ya kilimo

    mkuu pole sana kwa usumbufu. Tulikuwa field mahali penye shida ya mtandao. tucheki kwenye hiyo tigo au jaribu na 0784828927. karibu sana.
  2. J

    kwa wajasiriamali wa sekta ya kilimo

    kaka kwanza hongera sana kwa kuwa na milioni mbili. tunaomba kukuhakikishia kuwa huo ni mtaji tosha kwa kuanzia hasa katika small scale. kumbuka hata mbuyu ulianza kama mchicha. karibu tukusaidie kuvuka hatua nyingine katika maisha. thanx
  3. J

    kwa wajasiriamali wa sekta ya kilimo

    mkuu kwanza karibu sana mbono technologies. kilimo cha tanzania kina matatizo mengi mojawapo ikiwa ni "mambo ya kisera na mifumo" lakini pamoja na changamoto zilizopo bado tunaopportunities nyingi sana ambazo zinaweza kutufanya tuendelee. hayo tuliyoyaeleza ni baadhi tu ya kazi ambazo...
  4. J

    kwa wajasiriamali wa sekta ya kilimo

    kaka kwanza hongera sana kwa kuwa na milioni mbili. tunaomba kukuhakikishia kuwa huo ni mtaji tosha kwa kuanzia hasa katika small scale. kumbuka hata mbuyu ulianza kama mchicha. karibu tukusaidie kuvuka hatua nyingine katika maisha. thanx
  5. J

    kwa wajasiriamali wa sekta ya kilimo

    mkuu tunashukuru kwanza kwa kusoma na kuona umuhimu wa kukomment. Kampuni hii inawataalam wa kila idara kwenye maswala ya kilimo ikiwa ni pamoja na mifugo. karibu upate huduma ya hali ya juu.
  6. J

    kwa wajasiriamali wa sekta ya kilimo

    Habari zenu wadau.Mwanzoni mwa mwaka huu nilianzisha uzi ulokuwa ukiongelea changamoto zinazotukabili wadau wa sekta ya kilimo (cha kisasa) na moja ya sababu nilizozieleza ilikuwa ni wataalamu wa kilimo wanaoweza kumshauri mkulima anaetaka kulima kibiashara kufikia ndoto zake. nilieleza pia kuwa...
  7. J

    Msaada wako utanisaidi kujikomboa na umasikini..

    mkuu biashara ya daladala labda uendeshe mwenyewe maana kama utampa mtu akuendeshee na kusimamia akuletee pesa jioni watauza matairi yako mapya watafunga chakavu, watakuibia vitu kwenye engine na kukufungia chakavu na kisha utaambiwa ukatengeneze na ukienda unauziwa vile walivyoiba. pia...
  8. J

    FikraPevu: Polisi aliyefyatua bomu lililoua mwandishi akamatwa, kushitakiwa kwa mauaji

    Katika hili sakata na mengine mengi yalokwishatokea ndani ya nchi hii kunamaswali mengi sana yanahitaji majibu. Kama vitendo vya dhuluma dhidi ya wananchi vitaendelea wa kasi hii kwa kweli tanzania inaelekea kupozeza heshima iliyojijengea kwa miaka mingi ya kuwa kisima cha amani barani...
  9. J

    USHAURI: Nina million 20 nifanye biashara gani?

    ila ahakikishe analima mahali ambapo pana uhakika wa maji ya kumwagilia. karne hii sio ya kulima kwa kuangalia angani (kusubiri mvua) atafilisika na kutafuta presha bure. pia afuate ushauri wa kitaalam juu ya namna ya kufanya hicho kilimo chake ili kuongeza tija kwa eneo badala ya kuwa na eneo...
  10. J

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    nimeumizwa san tena sana na kifo cha kanumba. Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
  11. J

    Watanzania Wengi ni Wavivu? The Moment of Truth!

    wakuu nakubaliana na bwm. wapo wtz wachache ambao ni commited kwenye majukumu yao ya kila siku na kimsingi wamepiga hatua kubwa sana kimaendeleo bila kuwa mafisadi. lakini asilimia kubwa ya wtz hasa kizazi hiki cha dot com ni wavivu sana na wanapenda short cuts ( wavune wasipopanda) na iwe ofisi...
  12. J

    Maendeleo ya afya ya Waziri Mkuu mstaafu, Edward Ngoyai Lowassa

    Pole sana EL, tunakuombea upone haraka na kurudi nchini.
  13. J

    kweli Tanzania ni shamba la bibi

    wakuu kwa mujibu wa taarifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali (CAG), asilimia 96 (96%) ya uvunaji wa mazao ya misitu unafanyika haramu kinyume cha sheria na taratibu na hivyo kutochangi kwenye pato la taifa. Ni asilimia 4 tu ya mazao ya misitu yanavunwa kihalali. Ikumbukwe kuwa kila mwaka...
  14. J

    Kilimo, soko na faida za Uyoga

    Mkuu enteprenure ninamtandao wa wakulima wa uyoga ambao niliwapatia mafunzo mwaka jana na tayari wamekwishaanza uzalishaji. tafadhali naomba unilink na hao wanunuzi ili tuweze kufanya biashara. naomba unipm namba yako ya simu tafadhali0
  15. J

    Aibu Bw. Magai

    DUUUUU! ukistaajabu ya Musa utayaona ya Bwana Magai
  16. J

    Elimu,ajra na biashara

    mkuu nani wa juyaanzisha hayo mapinduzi kama sio cc vijana? mapinduzi ya fikra lazima yaanzie kwetu na hao wengine uliowataja watafuata baada ya kuanza kuona kwa vitendo. wala huna haja ya kuwachapa viboko. nimetembea nchi nzima ya tanzania kasoro lindi na mtwara, nakuhakikishia tuna...
  17. J

    Hivi ni kwa wa Tanzania tu?

    wa tz kiboko. thinking yetu ni upside down
  18. J

    Elimu,ajra na biashara

    jamani wakuu pamoja na matatizo meeeeeengi ya kisera, kimfumo, utanaduni, namengine mengi tunayoyajua bado ukweli unabaki pale pale kuwa tanzania imejaa resources kibao katika kila eneo la nchi hii ambazo vijana tukiamua kufanya mapinduzi makubwa kwenye fikra zetu na kuamua kuzitumia tutatoka...
  19. J

    Ushauri wa kitaalamu kwa wanaohitaji kulima kibiashara

    nashukuru mkuu kwa mchango wako. napenda kukuhakikishia kuwa bei zetu ni za kizalendo kabisa kwa ajili ya wakulima wadogo na wajasiriamali wa sekta ya kilimo. gharama hutofautiana kutegemeana na shamba lilipo (mkoa ulipo). tafadhali usisite kuwasiliana nasi kupitia namba hiyo. huduma zetu ni za...
  20. J

    Ushauri wa kitaalamu kwa wanaohitaji kulima kibiashara

    Heshima kwenu wanajamvi Tanzania tumekuwa na sera nyingi za kuendeleza kilimo cha mtanzania (mkulima mdogo mdogo) kwa miaka hamsini sasa. Lakini pamoja na sera nyingi na zenye mvuto masikioni tumeshindwa kufikia lengo kama nchi. Moja ya changamoto kubwa ambayo imekuwa ikisahaulika ni wataalamu...
Back
Top Bottom