Heshima kwenu wanajamvi
Tanzania tumekuwa na sera nyingi za kuendeleza kilimo cha mtanzania (mkulima mdogo mdogo) kwa miaka hamsini sasa. Lakini pamoja na sera nyingi na zenye mvuto masikioni tumeshindwa kufikia lengo kama nchi. Moja ya changamoto kubwa ambayo imekuwa ikisahaulika ni wataalamu wenye uwezo wa kumshauri mkulima kwa wakati sahihi juu ya zao gani aoteshe wapi, aoteshe vipi, lini, udhibiti wa magonjwa na wadudu waharibifu, uhifadhi wa udongo kwa kilimo endelevu na matumizi sahihi ya mbolea. hii imekuwa ni changamoto kwa muda mrefu sasa kwa wakulima wa Tanzania ukilinganisha na baadhi nchi za jirani zilizofanikiwa kuboresha kilimo.
Kwa kutambua changa moto hii tumeanzisha consulting firm ambayo kwa sasa ina ofisi zake mjini Morogoro na Moshi ambapo unaweza kupata ushauri sahihi wa kitaalam kuhusiana na kilimo cha mazao yote yanayostawi katika ukanda wa kitropiki (tropical crops) popote ulipo katika Tanzania. Pia tunatoa huduma ya upimaji udogo ili kutambua mahitaji ya rutuba katika udongo, tunauza mbegu mbali mbali zenye ubora na madawa ya kudhibiti wadudu na magonjwa.
kwa wale wafanyabiashara na wafanyakazi wa sekta nyinginezo (zisizo za kilimo) ambao wangependa kulima kibiashara nafasi ndio hii.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuni PM au kutumia simu namba 0653649152.
Tanzania tumekuwa na sera nyingi za kuendeleza kilimo cha mtanzania (mkulima mdogo mdogo) kwa miaka hamsini sasa. Lakini pamoja na sera nyingi na zenye mvuto masikioni tumeshindwa kufikia lengo kama nchi. Moja ya changamoto kubwa ambayo imekuwa ikisahaulika ni wataalamu wenye uwezo wa kumshauri mkulima kwa wakati sahihi juu ya zao gani aoteshe wapi, aoteshe vipi, lini, udhibiti wa magonjwa na wadudu waharibifu, uhifadhi wa udongo kwa kilimo endelevu na matumizi sahihi ya mbolea. hii imekuwa ni changamoto kwa muda mrefu sasa kwa wakulima wa Tanzania ukilinganisha na baadhi nchi za jirani zilizofanikiwa kuboresha kilimo.
Kwa kutambua changa moto hii tumeanzisha consulting firm ambayo kwa sasa ina ofisi zake mjini Morogoro na Moshi ambapo unaweza kupata ushauri sahihi wa kitaalam kuhusiana na kilimo cha mazao yote yanayostawi katika ukanda wa kitropiki (tropical crops) popote ulipo katika Tanzania. Pia tunatoa huduma ya upimaji udogo ili kutambua mahitaji ya rutuba katika udongo, tunauza mbegu mbali mbali zenye ubora na madawa ya kudhibiti wadudu na magonjwa.
kwa wale wafanyabiashara na wafanyakazi wa sekta nyinginezo (zisizo za kilimo) ambao wangependa kulima kibiashara nafasi ndio hii.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuni PM au kutumia simu namba 0653649152.