Huu mwingine ni upuuzi na uKAJUJUwa hali ya juu,hayo mambo yenu na chama chenu yanatuhusu nini humu??mmeshindwa kumalizana wenyewe huko unaleta ripoti huku then sisi tukusaidie nini??Halafu unaweka tu ripoti eti ukweli umeonekana,ukwei upi na kwa nani??kuna mtu amekulalamikia akisema kuna...
Kuna fununu kwamba waalimu wa COLLEGE YA HUMANITIES AND SOCIAL SCIENCES wamepanga kugomea kusimamia mitihani yetu tunayoanza kesho kutokana na malimbikizo ya miaka mingi ya malipo yao yanayohusiana na usimamizi wa mitihani na mengineyo.
Hivi UDOM kuna nini kila siku sisi tu?? Wiki iliyopita...
Mara nyingi baadhi viongozi na wanachama wa CCM wamekuwa wakijifanya kusema eti viongozi wa upinzani hawana ukomavu wa kisiasa kwa kutoa sababu za juu juu bila kutafakari maana yake.Baada ya Rais kikwete kusema suala la katiba linazungumzika wengi wao walitamani wapinzani waendelee kukataa ili...
Hiyo kauli yako ni ya kinafiki kwani haiko straight na naamini ikitokea hivyo utajifanya kusema walikunukuu vibaya ili uendelee na ubunge wako. acha kutudanganya watu wazima wenye akili na elimu zetu
Hivi ndugu Malecela elimu yako ni level gani??maana niejaribu kufuatilia post na comments zako na nashangaa ni mbunge gani anaweza kuleta hoja za mipasho na kubishana na watu kama muimba mipasho?? Jipange upya ili ujitunzie heshima yako na ya chama chako
Siku hizi naona BSS inaonyeswa TBC na ukweli ni kwamba watazamaji wa TBC siku hizi ni wachache ukilinganisha na vituo vingine. Tena ni wale wenye milengo ya aina fulani isiyoshabikia mabadiliko kutokana na kuitetea serikali na kutokuonyesha taarifa zinazoipinga.Mi nilikuwa mtazamaji mzuri lakini...
Naomba nikwambie wazi ndugu Kigwangala, wewe ni katika wabunge niliokuwa nawakubali sana nikiamini wana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo tofauti na wengine wa CCM lakini kwa jinsi ninavyokuona kwa sasa napata shaka na uwezo wako. Kuna vitu ambavyo naona unashabikia pamoja na wenzako ndani ya...
Yeah!! Kwa Vilabu kujitambua na kutambua majukumu yao badala ya kupigana vijembe hapo sasa tunaanza kuwa na Ligi.Yanga naona kama wanataka tuendeshe liki kiswahiliswahili kwa sababu ya kuwanufaisha baadhi ya watu
Hongera ndugu kwa andiko ambalo hata kama halikidhi haja ya kila mmoja bt linatoa mwangaza kwa ambao hatukujua hayo.Anayedhani umepotosha alikuwa wapi kutuandikia yeye?? kama yupo aweke naye tusome
Ukweli siku hizi hawa Channel 10 siwaelewi kwani kuna baadhi habari naona huwa wanazielezea kwa ufupi sana hasa zinapokuwa kinyume na Chama fulani na nyingine wanaziruka kabisaaa.Kwa mfano habari ya bunge leo kuahirishwa hawakuiweka kabisa na wameishia kuongelea mambo mengine kabisa.Tuwaelewe...
Waacheni waendelee kujifanya wanamjua mungu kuliko wakristo,nijuavyo mungu ni mteteza wa wanyonge na si mtetewa kama wanavyohangaika kana kwamba amewatuma
Mi nilikuwa nakukubali kipindi fulani ila kwa sasa ulivyoingia kwenye siasa za maj taka sina hata Hamu na wewe,hivi mmeshindwa hata kuwa na aibu kwa mambo yanayohusu matatizo yetu wananchi na unatujia na sera ya mfuko wa vijana
Katika Hali inayoonyesha kuzidi kukomaa kwa rushwa Tanzania na hasa ndani ya jeshi la polisi askari wa usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma wanaonyesha waziwazi kusuka mipango ya kula hela za madereva wanapowakamata na makosa babarani bila kuwafikisha vituoni.
Tabia hii inaonekana zaidi kwa Polisi...
Ni mwanafunzi wa Masters ya Public Administration UDOM na sasa hivi yuko Str tv kipindi cha Tuongee asubuhi.Sasa sijui hii style ya kukurupuka na kumsingizia Lema inakuja vipi kama siyo kutishia uhuru wa watanzania kutoa maoni??Nadhani anatakiwa kuomba radhi kwa kukurupuka kwani kiongozi makini...
Namshangaa mtu anapoanza kufanya uchambuzi wa idadi ya waislamu na wakristo serikalini,hivi zinapotangazwa nafasi za kazi huwa wanasema dini gani waombe?Kama ni za uteuzi nani anateua?na anakuwa amepewa mamlaka na nani kuteua kama siyo na rais?Nafasi gani ni kubwa zaidi ya rais ambaye pia ni...
Acheni ujinga nyie,wenzenu ccm wanakesha kutafuta njia za kuiharibu CMD na kujijenga nyie mna wasaidia kwa kuendekeza bifu za uroho wa madaraka.Mnatuboa watanzania tunaoamini ktk mabadiliko ya kweli
Acha kujibu kisiasa weweeeeee,Nyie wenyewe ni Oil chafu na kama mmekumbuka kuiacha kupokea mliyonayo ni nyingi zaidi na hamna hata ubavu wa kujitoa.Nyie ndo mnaotuangusha watanzania kwa kuficha uhalisia halafu mnajifanya mna uchungu na nchi kwa maneno.
Ndugu wana jamvi nianze kwa kusema kwamba Zitto ni ktk watu ninaowakubali kwa umakini wao lakini kwa hili suala la hela zilizofichwa na mafisadi Uswis ananipa shaka na kunifanya nijiulize yafuatayo;
Je! Ni kweli anawajua wahusika kama alivyosema?Kama yeye ni msema kweli,mpenda haki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.